Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hata tunapokuwa sebuleni au uwani na familia ni lazima tujue kanuni na taratibu za mavazi.Thamani ya Mwanaume inashuka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata tunapokuwa sebuleni au uwani na familia ni lazima tujue kanuni na taratibu za mavazi.Thamani ya Mwanaume inashuka sana.
Mimi ni mtumishi,Weka picha ya pensi lenyewe tuone tatizo liko wapi
Mambo haya huanza Polepole,Hizi ndio pensi zangu sasa, napiga sana hizi. Nadhani mleta mada anaongelea zile penzi za rangi rangi zile za kina Noel zile hizo kweli miyeyusho sana hizo
Vibaka wale.Pensi ya LUKOLE AU KWISA?
Hahahqhahahahahqh
Nakazia.KINJUGA KUVAA MWANAUME NA KUTOKA ROAD NI USHONGA
NO DISCUSION..
Mambo ya kina mondi [emoji1] styleKINJUGA KUVAA MWANAUME NA KUTOKA ROAD NI USHONGA
NO DISCUSION..
Naongea na wanaume wenzangu Watanzania.Kwani,pens kwa mwanaume, na skin taiti kwa wanawake kipi cha ajabu? Unawaonea aibu!! Mambo yoooote,umeona yako sawa,kasoro kuvaa pens! Maadili gani huvunjwa mtu anapovaa pens!
Mbona wa Brazil wanavaa tu chupi na sidilia,wanatembea?! Mbona hujalalamikia mama na dada zako wanaocheza vigodolo! Hao ndo wapo sawa eh!!!
Hizi TABIA mmeanza Juzi tu,Kwa joto hili unataka watu wavae suti? Kuna maadili ya kushikilia mengine ni ya kuyaacha huko yalipo..
Mademu wanaa zinaishia juu ýa magoti na wanaume zinavuka magoti
Pensi sio tatizo, tatizo wanaovaa vikapturaNimeshangaa sana mkuu, binafsi nikiwa home na mazingira yanayofaa ni mwendo wa pensi
Sawa,Brazil tuiache. Kosa la kuvaa pens ni lipi? Kwa wanawake,mnasemaga viungo vyao vinatamanisha wanaume. Ila,wanawake sidhani kama wanaweza kutamani mwanaume kwa kuona miguu yake. Elezea tujueNaongea na wanaume wenzangu Watanzania.
TABIA hii ya kuvaa vipensi ni ukosefu wa Maadili.
Hapa Si Brazil ni Tanzania.
Acha TABIA hiyo mara Moja ujitofautishe na Mashoga.
Wanawake msiingie baraza la wanaume.zile zinazoishia juu ya magoti zimebana kila kona hazileti picha nzur kwa mwanaume
Ile iliyoachia?zile zinazoishia juu ya magoti zimebana kila kona hazileti picha nzur kwa mwanaume