Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Tena vinabana ..unakuta Kaka ana kitako flan hivi😀😀😀 kaweka na Wallet kama Jeneza.😀😀😀
Wanaume si kila Mbaba anatakiwa kuvaa Pensi...tunatiana aibu huku mitaani.
Siku hizi haya mavyakula kuna wanaume wamenza kuwa na vitako vitako vya ajabu ajabu sana aisee.
Ongeza na hizi Gym wanaenda waelekezaji badala ya kutoa mazoezi ya kiume,unakuta Mbaba anaendesha baiskeli ile kabinuka kiuno juu..what the hell uje umevaa na kipensi.
 
Sawa,Brazil tuiache. Kosa la kuvaa pens ni lipi? Kwa wanawake,mnasemaga viungo vyao vinatamanisha wanaume. Ila,wanawake sidhani kama wanaweza kutamani mwanaume kwa kuona miguu yake. Elezea tujue
Kwamba Mwanaume hawezi mtamani Mwanaume mwenzie?

Unajua maana ya USHOGA?

Roho ya shetani Iko kazini, acheni mambo haya Ili tuiponye JAMII yetu.
 
Vipi Wamasai wanaojitanda shuka mbili lakini tako bado liko wazi; na anakatisha mtaani tu bila wasiwasi?

Mimi navaa kaptula nzuri za kishua nafunga na mkanda. Na huwa nasifiwa na akina mama kuwa napendeza sana pamoja na uzee wangu wa miaka 77.

Fanya ukipendacho ali mradi huvunji sheria vinginevyo ukitaka kumfurahisha kila mtu utapata tabu sana nyandone 😁
 
Tena vinabana ..unakuta Kaka ana kitako flan hivi😀😀😀 kaweka ba Wallet kama Jeneza.😀😀😀
Wanaume si kila Mbaba anatakiwa kuvaa Pensi...tunatiana aibu huku mitaani.
Siku hizi haya mavyakula kuna wanaume wamenza kuwa na vitako vitako vya ajabu ajabu sana aisee.
Ongeza na hizi Gym wanaenda waelekezaji badala ya kutoa mazoezi ya kiume,unakuta Mbaba anaendesha baiskeli ile kabinuka kiuno juu..what the hell uje uvaa na kipensi.
Dunia inavalishwa sketi jamani!!

Tanzania tusikubali Ujinga huu.
 
Vipi Wamasai wanaojitanda shuka mbili lakini tako bado liko wazi; na anakatisha mtaani tu bila wasiwasi?

Mimi navaa kaptula nzuri za kishua nafunga na mkanda. Na huwa nasifiwa na akina mama kuwa napendeza sana pamoja na uzee wangu wa miaka 77.

Fanya ukipendacho ali mradi huvunji sheria vinginevyo ukitaka kumfurahisha kila mtu utapata tabu sana nyandone 😁
Unasifiwa na akinamama sio?
 
Vipi Wamasai wanaojitanda shuka mbili lakini tako bado liko wazi; na anakatisha mtaani tu bila wasiwasi?

Mimi navaa kaptula nzuri za kishua nafunga na mkanda. Na huwa nasifiwa na akina mama kuwa napendeza sana pamoja na uzee wangu wa miaka 77.

Fanya ukipendacho ali mradi huvunji sheria vinginevyo ukitaka kumfurahisha kila mtu utapata tabu sana nyandone 😁
Wamaasai hawavai nguo za ndani, sio kwamba hawajifuniki

Hizo kaptula zako zinabana? Kama hazibani basi sio vibaya
 
Utovu wa Maadili huo.

Acheni kuiga Kila mkionacho machoni,

Huo unaouita ujanja ndo unasababisha vitendo vya USHOGA kushamiri katika JAMII.
Mbona pensi zipo nyingi tu tena za heshima. Ni vile siwezi kuweka picha zangu huku lakini mimi ni mpenzi sana wa pensi na nyingi kaninunulia mke wangu
 
Salaam,Shalom!!

Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,

Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.

TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?

Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na Mashoga.

Ni hayo tu!!
Una inferior complexity.
 
Wamaasai hawavai nguo za ndani, sio kwamba hawajifuniki

Hizo kaptula zako zinabana? Kama hazibani basi sio vibaya
Ni cadet kama zile huwa wanavaa watalii zenye mifuko mingi zile. Nilipokuwa mdogo nilikuwa mdokozi mzuri sana wa karanga huko kijijini. Mamifuko hayo huwa yananikumbusha kama ndiyo nimezifuma karanga mahali zimeanikwa nijazemo 😁😁😁

Ni kaptula decent, pana and they are not cheap hasa ukitaka zenyewe orijino!
 
Tatizo hili kumbe ni kubwa sana!!
Mkuu jifunze kutofautisha pensi na vikaptula. Aisee mi ni mpenzi sana wa pensi na hapa nilipo nimekula pensi yangu na tusheti nipo kaunta nakula Serengeti lager zangu mdogo mdogo.

Mada yako ingekuwa na mashiko kama ungesema vikaptula vya juu ya magoti vya kubana

Okay, nimeangalia vizuri umesema kweli juu ya magoti. Nakuunga mkono kwa hilo
 
We mpumbavu kweli, kila mahala na utamaduni wake usiforce utamadun wenu kwa wengine uwe mzuri, hata ivyo ilitakiwa tuwe tunatembea nusu uchi yaani ama na boksa tu na wanawake wakificha vichupi tu maana ndivyo mlivyokutwa kabla ya kuletewa mavazi, hapo ulipo ukiulizwa vazi la heshima ni lipi utaishia kutaja kanzu,maushungi, na hayo masuti&kadeti mavazi ambayo nayo ni tamaduni za kuletewa.

Ungekuwa na akili ungekataza watu tusivae mavazi yasiyoendana na tamaduni za kiafrika, ambayo baadhi ni hizo takataka mnazozitukuza kuwa za heshima
 
Mkuu jifunze kutofautisha pensi na vikaptula. Aisee mi ni mpenzi sana wa pensi na hapa nilipo nimekula pensi yangu na tusheti nipo kaunta nakula Serengeti lager zangu mdogo mdogo.

Mada yako ingekuwa na mashiko kama ungesema vikaptula vya juu ya magoti vya kubana
Mimi sitofautishi.

Mwanaume mwenye Maadili havai pens Wala vikaptula hadharani.

Hili wimbi tukiendelea kuliacha bila kukemea, Mwanaume atatafutwa Kwa tochi siku Si nyingi.
 
Utovu wa Maadili huo.

Acheni kuiga Kila mkionacho machoni,

Huo unaouita ujanja ndo unasababisha vitendo vya USHOGA kushamiri katika JAMII.
Mavazi ya heshima ni yapi? Na babu zako unajua walivaa nn? Ninyi watu brainwashed mnashida ya kunajisi kila kitu mnataka kupangia watu lifestyle, endeleeni na mnayoyaona ninyi kwenu ni sahihi na sio kubeza visivyowahusu
 
We mpumbavu kweli, kila mahala na utamaduni wake usiforce utamadun wenu kwa wengine uwe mzuri, hata ivyo ilitakiwa tuwe tunatembea nusu uchi yaani ama na boksa tu na wanawake wakificha vichupi tu maana ndivyo mlivyokutwa kabla ya kuletewa mavazi, hapo ulipo ukiulizwa vazi la heshima ni lipi utaishia kutaja kanzu,maushungi, na hayo masuti&kadeti mavazi ambayo nayo ni tamaduni za kuletewa.

Ungekuwa na akili ungekataza watu tusivae mavazi yasiyoendana na tamaduni za kiafrika, ambayo baadhi ni hizo takataka mnazozitukuza kuwa za heshima
UKWELI Huwa mchungu always.

Bt ikiwa ujumbe umefika, inatosha.
 
Back
Top Bottom