Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Vipi Wamasai wanaojitanda shuka mbili lakini tako bado liko wazi; na anakatisha mtaani tu bila wasiwasi?

Mimi navaa kaptula nzuri za kishua nafunga na mkanda. Na huwa nasifiwa na akina mama kuwa napendeza sana pamoja na uzee wangu wa miaka 77.

Fanya ukipendacho ali mradi huvunji sheria vinginevyo ukitaka kumfurahisha kila mtu utapata tabu sana nyandone 😁
Mkuu kuna wanaume siku hizi wana shape..chunguza vizuri.
Kuna wenzetu vinawabana hata ukiwa na Mama watoto anauliza yule ni Mbaba au mbona ana tako hivyo na hicho kipensi kilivyombana sasa.
Kuna shida pahalaa.
 
Salaam,Shalom!!

Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,

Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.

TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?

Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!

Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.

NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.

Ni hayo tu!!


Ni issue ya utamaduni, uache ujinga
 
Kwani,pens kwa mwanaume, na skin taiti kwa wanawake kipi cha ajabu? Unawaonea aibu!! Mambo yoooote,umeona yako sawa,kasoro kuvaa pens! Maadili gani huvunjwa mtu anapovaa pens!
Mbona wa Brazil wanavaa tu chupi na sidilia,wanatembea?! Mbona hujalalamikia mama na dada zako wanaocheza vigodolo! Hao ndo wapo sawa eh!!!
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vipi Wamasai wanaojitanda shuka mbili lakini tako bado liko wazi; na anakatisha mtaani tu bila wasiwasi?

Mimi navaa kaptula nzuri za kishua nafunga na mkanda. Na huwa nasifiwa na akina mama kuwa napendeza sana pamoja na uzee wangu wa miaka 77.

Fanya ukipendacho ali mradi huvunji sheria vinginevyo ukitaka kumfurahisha kila mtu utapata tabu sana nyandone [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] paragraph ya mwisho, umemaliza kila kitu
 
Kuna pensi na vipensi Shem Bae

Unakuta Mwanaume kavaa kipensi kipo mapajani,kinambana, Makalio yamebanwa, kitu yake imebanwa, hadi fedheha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa dada kipensi avae mwingne, fedheha uone wee? Kwelii?
Naamini haujamaanisha.
 
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Binafsi,sipendi mavazi yasiyo na staha. Lakini,kama mvaaji kaamua mwenyewe,unamtafuta ubaya wa nini? Leo hii,wapo wanaokaa na kujiachia,hata chupi hawajavaa. Utalalamikia wangapi?! Wapo wanaotembea na nguo za ndani tu. Si watoto,si wakubwa.
Kama ilivyo,kila mwanamke anavyovaa au maisha anayoishi,ana limbukeni anaempenda hivyo alivyo au alivyovaa,na mwingine humuomba avae hivyo hivyo.
Na kwa wanaume au watoto wenye uume, kina anaejiona akivaa hivyo,ndo anapendeza(anaetaka atazamwe au aongelewe).
Ameona wanaovaa mlegezo na nguo za dada zao hawana shida,ila pensi tuuu.
Mi nahisi hapa tatizo kubwa ni kuingilia uhuru wa watu au kuchunguza maisha yasiyomhusu.
 
Back
Top Bottom