Tabia ya wasanii wa kiume kuvaa nguo za kike na kutoboa masikio ni ujinga!

Tabia ya wasanii wa kiume kuvaa nguo za kike na kutoboa masikio ni ujinga!

Kuzungumziwa kwa ubaya?. Mwanaume unavaa kanga ya kike imekubana makalio ili uzungimzwe. Tukiendelea na hii trend Kuna msanii wa kiume ataolewa ili attend.
Mbna wanaume huku mtaani wanaolewa na ndoa juu, sio had msanii tyuuh.
Na picha zipo zinazagaa mtandaoni, hakuna jipyaa tena.
 
Huyu sijui msanii gani naye

Ova
IMG-20231102-WA0005.jpg
IMG-20231102-WA0008.jpg
IMG-20231102-WA0009.jpg
 
Ushogaaa ulikuwepo hapa Bongo tangu hata mbosso hajazaliwaa, hebu acheni kuleta uongo wenu hapaa.

Uongo ndio Nini?. Na umejuaje ni uongo?. Halafu tofautisha chanzo na kuendeleza ushoga. Mwanaume kuvaa kanga imebana makalio na wanaume wanatamani wayashike sio kuendeleza ushoga?
 
Mbna wanaume huku mtaani wanaolewa na ndoa juu, sio had msanii tyuuh.
Na picha zipo zinazagaa mtandaoni, hakuna jipyaa tena.

Sasa unachopinga ni Nini? Wanaume kuolewa au kutokuolewa?. Je mwanaume kuolewa na mwanaume mwenzake ni sahihi?
 
Nini maana ya neno effeminate? nenda kwenye dictionary utaelewa. Maana yake ni (with reference to a man) having characteristics and ways of behaving traditionally associated with women and regarded as inappropriate for a man.

1 WAKORINTHO 6:9 inasema, "Know ye not that the unjust shall not inherit the kingdom of God? Do not err: neither fornicators nor idolaters nor adulterers nor effeminate nor homosexuals.

kwa hiyo ninyi mnaigiza kwenye tamthilia mko wanaume ila mnavaa midera na kupaka wanja, kuvaa sketi, ninyi kina joti na kale kakijana kanaitwa nani sijui, wewe mnyakyusa kwenye maigizo ya kina masanja na wengine wote, mnaigiza dhambi na mnafanya dhambi.

Wanaume wote mnaofanya kazi kwenye fashion shows mnavaa minguo ya kike mnalembua mimacho, mnanengua na kuishi as if ninyi ni wanawake, nje yakwamba homosexuality ni dhambi, dhambi nyingine attached to it mtakayohukumiwa nayo ni kuishi as if ninyi ni wanawake kumbe sio. Siku ya hukumu msijesena hatukuwaambia.

Mmechafua jamii, mmeharibu watoto, na mnasambaza tabia za kishoga. Mungu anawaonya.

sddefault.jpg




maxresdefault (3).jpg
maxresdefault (2).jpg
images (4).jpeg
images (5).jpeg
images (3).jpeg
sddefault (1).jpg
 
Back
Top Bottom