Tabia ya Watoto wadogo kuimba na kucheza nyimbo za kijinga na wazazi wanafurahia na kuwaona wajanja

Mimi nasema hijabu zipigwe marufuku mashureni zime leta udini na unafiki kwenye kizazi chetu
 
Word!!! Wazazi tubadilike.
Hata style za kuvaa na kunyoa pia
 
Ukiona hivyo, jua hao Wazazi ni mazuzu na mapumbavu!
 
Mimi nasema hijabu zipigwe marufuku mashureni zime leta udini na unafiki kwenye kizazi chetu
Lakini Hata ukristo imeandikwa kwenye Wakorint 11. kuwa mwanamke anapaswa Funika Kichwa chake, Sio kama kuna tatizo Wakifunika nywele zao, kwasababu ni imani yao, Kinachotukwamisha hatusomi maandiko tujifunze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…