binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
ππππNifute surual yangu kesho nikajumuike na waamini wa Azania Front DSM, secretarybird ushatoa tithing ni kesho Azania Front.......
Neno la Mungu
Takata....
Lililo tokaa mbingunii
Ambapo moto na kutu haviwezi kuliishinda
Twakushika siku zote maishani na kufani!
Nime notice wengi mnasali Azania Front hapo!ππππ
Wewe huwezi kabisa kusali haya makanisa ya manabii wa mwendokasi mana Ibadan inajulikana muda wa kuanza ila muda wa kumaliza haujulikani na apo katikati mambo kibao mara sijui shuhuda na zingine za uongo Aya saa ya kupakwa mafuta ya upako n.kHabari wakuu,
Mimi dhehebu langu ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),
Kanisa letu lina utaratibu wa kufuata kalenda ya mwaka, ni jambo zuri, Lakini kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye baadhi ya vitu ili kuendana na dunia ya leo
Usomaji wa matangazo ya week,
Kwa dunia ya sasa kuna namna nyingi matangazo kuwafikia waumini, Unakuta mzee wa kanisa kamaliza kusoma matangazo, mchungaji naye anakuja kutolea ufafanuzi wa matangazo yale yale
Ibada binafsi kuunganishwa na ibada za jumapili,
Mfano issue za ubatizo watoto zingefaa zipangiwe muda wa kipekee, Kama ilivyo ibada ya kufunga Ndoa,n.k
Muingiliano wa ratiba nyingi katikati ya ibada unapekea waumini wengi kushindwa kuvumilia kukaa mpaka mwisho, matokeo yake mchungaji akimaliza neno utaona idadi kubwa ya waumini wanaondoka kabla ya Ibada kuisha, hii sio ishara nzuri sana, kama kanisa inabidi kutafakari hili kwa kina
Wote tunajua lengo kuu la ibada ni Kusifu, kuabudu na kupata chakula cha kiroho (Neno la Mungu)
Ibada kuwa ndefu sio tatizo ,ila inategemea ime base upande gani, haya ni mawazo yangu binafsi,
Asanteni
Amen Mtumishi, kama kuna mahali nimepotoka, Mungu aniongoze ππ»Mungu akusaidie utambue kuwa wale ni makuhani wamewekwa na Mungu kutimiza kazi yake. Suala la muda wa ibada kuwa mrefu ni jambo ambalo unaweza kufika ofisi ya mchungaji kiongozi ukatoa ushauri kuliko kuja hapa kulalamikia jambo ambalo wengi wa unaowalalamikia ni ama wa mlengo mwingine au si watu hata wanaoamini uwepo wa Mungu. Pia ufahamu suala la ibada ni nyeti na ni la kiroho kwa hiyo kuhani wa zamu anaweza kutumia muda wa ziada akifundisha au kuombea kwa kadri Roho wa Mungu atakavyomuongoza. Jambo la msingi la kujihoji wewe binafi ni kwa jinsi gani unapoingia ibadani unamwabudu Mungu katika Roho na kweli au unaenda kutimiza desturi tu. Mungu sio wa mazoea.
Mi nasali kwa kimaro.Nime notice wengi mnasali Azania Front hapo!
Ooh mchungaji mwenye hekima na busaraMi nasali kwa kimaro.
Sahihi kabisa.Ooh mchungaji mwenye hekima na busara
Anakubalika sana mchungaji kimaro aseeh!!Sahihi kabisa.
Kufa uone!Mnakuwaga na ndoto za mchana watu wa dini. Hizo hekaya unaziamini kabisa na akili zako? π€£π€£
ππ» karibu sana.Huyu jamaa namkubali sana, ni vile tuu nakaa mbali, ila ningekua nakuja kusali Hapo k/nyama, namfuatiliaga sana YouTube
Naona unazidi kudhihirisha upumbavu wako!Kwa hiyo wewe fara ndiyo unajua diniπ
Mkuu nimeoa toka kwetu sgd..njoo unitembelee nafugaSema Nini Kuna fursa sana huko ..ila jiangalie warembon wa kimwera wasije kukutoa nje ya mchezo
Haya mangese ya makanisani ni mapumbavu sanaNaona unazidi kudhihirisha upumbavu wako!
Naweza kupata kuku hasa vifarangaMkuu nimeoa toka kwetu sgd..njoo unitembelee nafuga
Umeongea jambo msingi sana makutuporaUnajua maisha yako hivi!
Nakupa tafakari yangu ya siku! Huwaga Nina utaratibu wa kuwa thought au wazo la siku la kulitafakari.
Na wazo Hilo Huwa nataka siku zote liwe linanikosoa ili kuniboresha!
Sasa wazo langu la Leo ni hili ... Kila kitu unachotumia muda wako mwingi kuhusiana nacho, kinakufanya ufananane nacho
"Whatever you spend a lot of time with makes you become like it."
Muda wako mwingi unatumia kusoma, kuangalia Nini? Utakuwa Hiko!
Ukipata nafasi ya kuhudhuria semina katikati ya wiki ... Hiyo nafasi ukiwa nayo ... Fanya!
Inakufanya uwe mwepesi kunyaka vitu vya Rohoni na kumsikia na kumuelewa Mungu kwa wepesi sana!
Sio kama Mungu hasemi na sisi, ila nafsi zetu na mioyo yetu imejaa karokoro mengi yenye sauti kubwa sana kuliko Neno la Mungu ndani yetu
Kwa sababu tu hatuna au hatujampa Kipaumbele na muda wa kutosha Katika maisha yetu
Ndo maana kkkt wengi sasa hivi wanajiunga na Wasabato wanajifunza ukweli wa Bibilia wamechoka kudanganywa hukoHabari wakuu,
Mimi dhehebu langu ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),
Kanisa letu lina utaratibu wa kufuata kalenda ya mwaka, ni jambo zuri, Lakini kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye baadhi ya vitu ili kuendana na dunia ya leo
Usomaji wa matangazo ya week,
Kwa dunia ya sasa kuna namna nyingi matangazo kuwafikia waumini, Unakuta mzee wa kanisa kamaliza kusoma matangazo, mchungaji naye anakuja kutolea ufafanuzi wa matangazo yale yale
Ibada binafsi kuunganishwa na ibada za jumapili,
Mfano issue za ubatizo watoto zingefaa zipangiwe muda wa kipekee, Kama ilivyo ibada ya kufunga Ndoa,n.k
Muingiliano wa ratiba nyingi katikati ya ibada unapekea waumini wengi kushindwa kuvumilia kukaa mpaka mwisho, matokeo yake mchungaji akimaliza neno utaona idadi kubwa ya waumini wanaondoka kabla ya Ibada kuisha, hii sio ishara nzuri sana, kama kanisa inabidi kutafakari hili kwa kina
Wote tunajua lengo kuu la ibada ni Kusifu, kuabudu na kupata chakula cha kiroho (Neno la Mungu)
Ibada kuwa ndefu sio tatizo ,ila inategemea ime base upande gani, haya ni mawazo yangu binafsi,
Asanteni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan mpaka saa 5 Katoliki tushasali ibada nne hapo [emoji23][emoji23] !