makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Hapo ndugu William Bhoke hajawahi kuja kufanya semina ? Ni mtu mzuri sana katika kanisa la katoliki Tanzania hiiMacmillan kolbe Mwenge,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndugu William Bhoke hajawahi kuja kufanya semina ? Ni mtu mzuri sana katika kanisa la katoliki Tanzania hiiMacmillan kolbe Mwenge,
🤭Sahihi kabisa, mm nasali KKKT Manzese, ibada inaanza saa moja afu kutoka n saa 5:30 huko.
Mambo yanayofanyika n upuuzi tuu.
Kwanza, saa 1:00 - 1:30 ni muda wa kusubiri wachelewaji, yn mchungaji kabisa anasema huo n muda wa kusubiri wale ambao bado hawajafika kanisani.
Pili, kwenye matangazo lazima mchungaji awe na matangazo yake binafsi na mengine tayari yalishasomwa ila atayarudia tena yn kama vile waumini n watoto wadogo kwamba wanasahau hapo hapo. Kila siku matangazo yale yale ad muda wa kuingia kanisani bado mtaambiwa kuwa n saa moja.
Tatu, tukio hadi la mwaka jana bado litasemwa mwaka huu mwezi wa tatu, mfano mwisho wa mwaka huo kuna siku maalum ya sadaka ya mavuno, ila hy sadaka itasemwa kila siku hata miezi sita ipite.
Nne, mzunguko wa kutoa sadaka ni wa kupoteza muda kinoma, kuna sadaka ya jengo na uwakili hizi sadaka zinatolewa kwenye bahasha hvy n mzunguko mmoja ila wanalazimisha iwe mizunguko miwili.
Yn mm vitu vya maana naona havizidi hata saa 3.
Tofaut na jumapili huwa sinaga schedule katikati ya wiki kwenda hapo, japo seminar zipo sijawahi hudhuria!Hapo ndugu William Bhoke hajawahi kuja kufanya semina ? Ni mtu mzuri sana katika kanisa la katoliki Tanzania hii
Unajua maisha yako hivi!Tofaut na jumapili huwa sinaga schedule katikati ya wiki kwenda hapo, japo seminar zipo sijawahi hudhuria!
Labda unipe ushawish bruh 😂
Nimekuelewa bruh unasali Roman?Unajua maisha yako hivi!
Nakupa tafakari yangu ya siku! Huwaga Nina utaratibu wa kuwa thought au wazo la siku la kulitafakari.
Na wazo Hilo Huwa nataka siku zote liwe linanikosoa ili kuniboresha!
Sasa wazo langu la Leo ni hili ... Kila kitu unachotumia muda wako mwingi kuhusiana nacho, kinakufanya ufananane nacho
"Whatever you spend a lot of time with makes you become like it."
Muda wako mwingi unatumia kusoma, kuangalia Nini? Utakuwa Hiko!
Ukipata nafasi ya kuhudhuria semina katikati ya wiki ... Hiyo nafasi ukiwa nayo ... Fanya!
Inakufanya uwe mwepesi kunyaka vitu vya Rohoni na kumsikia na kumuelewa Mungu kwa wepesi sana!
Sio kama Mungu hasemi na sisi, ila nafsi zetu na mioyo yetu imejaa karokoro mengi yenye sauti kubwa sana kuliko Neno la Mungu ndani yetu
Kwa sababu tu hatuna au hatujampa Kipaumbele na muda wa kutosha Katika maisha yetu
Kwa utaratibu huo yule anayeondoka baada ya masaa mawili na nusu hatendi dhambi yoyote, badala yake yule anayezidisha muda ndiye anachuma dhambi, dhambi nzito.Ibada ya Kilutheri ni masaa mawili na nusu.
Wachungaji wengi hawazingatii time management ndio maana utakuta tangazo linarudiwa mara 5...kwaya zinaimba mara tatu tatu
Hapana sisali Roman! ... Mimi nipo nipo tu 😂Nimekuelewa bruh unasali Roman?
Mimi katikati ya wiki nakuwa around posta hv ko muda mwingi nakuwa pale st Joseph Ibada ya jioni hasa jumatano nasali Misa na wanafunz wa IFM, alhamis naingia Ibada ya jioni na kumuabudu Yesu
Ibada ndefu halafu mtoke nje ya kanisa kwa mstari muanze kupeana mikono. Baada ya hapo vinaletwa vitu, ndizi, maparachichi inafanyika mnada. Loh inachosha kwa kweliToka jumatatu mpaka jmos ni siku ya kutafuta.
siku pekee ya mapumziko ni hiyo hiyo jpili.
Ni siku hiyo hiyo inakua na ibada ndefu.
Ndio maana idadi ya watu wanao lala makanisani ni kubwa.
Na kuna wengine hamu ya kwenda kanisani imeisha.
watu wanakwenda kanisani kwa matukio maalumu kama jtano ya majivu,.nk
mbe tunapishana na husemi 😂😂..... Jf inatufanya tusijuaneHapana sisali Roman! ... Mimi nipo nipo tu 😂
Ndo maana nakwambia, siku Mungu Kuna Jambo akinitendea ... Nitakuwa nimevuka pa mkubwa sana!
Nakujaga sana hapo st Joseph Kwenye adorate chappel sijui kama nimeitaja Kwa usahihi!
Kile kichumba Cha maombi kule ambacho kimeandika Tafadhali usilale hapa madhabahuni
Kwenye vibenchi 😂 ... Napapenda sana, nikiwa na mzigo Huwa nakuja hapo ... Namlilia Mungu pasipo aibu!
Afu pia Huwa naenda kwenye duka kule kupata Ile wine ya Lita moja
Roman Misa ni lisaa mpka nusu au mawili haizidi hapo!! Labda kuwe n ugeni lkn masaa manne aseeh paroko atajikuta mwenywMm nilijua tu kwa Wakristo wa Kipentekoste uchelewaji wa kumaliza ibada kumbe na huko pia upo?
Mm nawashangaa watumishi wenye kufundisha kuhusu tunda la Roho kwenye Galatia 5:22 miongoni mwa matokeo ya tunda la Roho ni Kiasi, (self control) Je Hawa wachungaji na baraza la wazee hawana tunda la Roho? Kama wanalo wanakosaje kuwa na kiasi?
Kama wana kiasi ndani yao wanashindwaje ku control muda?
Siku nikiwa na ratiba ya kwenda hapo ntakwambia ... Tukaombe pamojaKu
mbe tunapishana na husemi 😂😂..... Jf inatufanya tusijuane
Basi kesho tukijaaliwa ninaweza kuwa hapo cathedral
😂😂😂 Bolotoba saa hz haelewi braza chogo kamvuruga
By the way siku tukipanga kuonana hapo, unikumbushe nikuletee copy ya Kitabu changu!😂😂😂 Bolotoba saa hz haelewi braza chogo kamvuruga
Amini hakika ukimuita Mungu anaitika!
Maana
Isaya anasema mtafuteni bwana maadam anapatikana
Aaaah sawa sawa brother........ Naamini iko hivyoBy the way siku tukipanga kuonana hapo, unikumbushe nikuletee copy ya Kitabu changu!
Si unajua Nina sahau sahau siku hizi 😂
Mtajuana wenyewe na brother chongo wenu!
Daudi anasema "Bwana uliposema niutafute uso wako, Mimi nilisema Uso wako nitautafuta"
Mzee wa makutupora karibu Msalato nyama zimebakiHahahaha Azania front ... Ukifika hapo Luther house nenda kwenye Ile cafeteria pale chini ya Mzee shayo mwambie akupe breakfast Kwa jina langu!
Usisahau kubeba TUMWABUDU Mungu
Mkuu kwani Leo si jumapili? Mnada si ulikuwa ni Jana? Na wine ntapata?Mzee wa makutupora karibu Msalato nyama zimebaki
Habari wakuu,
Mimi dhehebu langu ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),
Kanisa letu lina utaratibu wa kufuata kalenda ya mwaka, ni jambo zuri, Lakini kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye baadhi ya vitu ili kuendana na dunia ya leo
Usomaji wa matangazo ya week,
Kwa dunia ya sasa kuna namna nyingi matangazo kuwafikia waumini, Unakuta mzee wa kanisa kamaliza kusoma matangazo, mchungaji naye anakuja kutolea ufafanuzi wa matangazo yale yale
Ibada binafsi kuunganishwa na ibada za jumapili,
Mfano issue za ubatizo watoto zingefaa zipangiwe muda wa kipekee, Kama ilivyo ibada ya kufunga Ndoa,n.k
Muingiliano wa ratiba nyingi katikati ya ibada unapekea waumini wengi kushindwa kuvumilia kukaa mpaka mwisho, matokeo yake mchungaji akimaliza neno utaona idadi kubwa ya waumini wanaondoka kabla ya Ibada kuisha, hii sio ishara nzuri sana, kama kanisa inabidi kutafakari hili kwa kina
Wote tunajua lengo kuu la ibada ni Kusifu, kuabudu na kupata chakula cha kiroho (Neno la Mungu)
Ibada kuwa ndefu sio tatizo ,ila inategemea ime base upande gani, haya ni mawazo yangu binafsi,
Asanteni
WAKRISTO NI WAPUMBAVU ....KWENYE UKRISTO WA KWELI HAKUNA MUDA WA IBADA KUANZA WALA KUISHA BALI INATEGEMEA NA MTU MWENYEWE ....HUU UKRISTO ULIOPO DUNIANI LEO SIYO KABISA ULE ULIOKUWEPO ZAMANI KABLA YA KUJA KWA MADHEHEBU YA DINI....IBADA NI SIRI YA MTU MOYONI MWAKE NA MUNGU WAKE ...KASOMENI VIZURI HIZO DINI ZENU ...Kasomeni kisa cha 👉( mama yake Nabii samweli na mkuu wa dini) ...namna alivyo mdhani huyo mama kuwa ni mlevi kwa sababu zamani watu walikutanika ibadani na kila mtu alifanya ibada ya siri ya moyo wake na Mungu wake na kuondoka tofauti na sasa...
👉WAPUMBAVU HADI MNASALISHANA 👈 kusalishana ni dhambi kubwa sana kwa anaye Sarisha na anaye kubali kusarishwa.....tumieni akili.....ndiyo maana ndani ya uislamu kuna kuswarishana 👉 ni tendo la KISHETANI MBELE ZA MUNGU WA KWELI. Kama hamjui kivipi niulizeni.
Ratiba inapangwa na makao makuu na nilazima ifuatwe, KKKT ni kama mkusanyiko na kila kikundi kinapanga yake, mfano baadhi misa ya Jumapili inaanza saa 12 asubuhi mpaka saa tatu kisha inaingia misa ya pili, lakini wengine inaanza saa 1 asubuhi na ni misa moja tu.