Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Ili yasinitokee kama ya jamaa hapo juu kupewa mtoto asie wake. Mi kabla ya kuoa ni lazma nimchunguze kwa kina uyo mtoto wa kike ninaetaka kumuoa yaani ntatumia ujuzi wangu na pesa ikibidi. Walau ujue background yake na familia yake.
Hayo mambo ya kubebana bebana kisa "i love you" nyingi ndio matokeo yake hayo.
Wanawake ni mabingwa wa kupretend aisee hebu fikiria mtu anaweza kua haridhishwi na mpenzi/mume wale lakini bado anajifanya anampenda kwa muda hata miaka anamlia timing tu.
Kuna nyuzi humu wadada wanaelezda jinsi wanavowavulia wanaume wasiowapenda ila wameolewa nao tu na ni miaka kibao.
Tofauti kabisa na sisi wanaume huwa hatukopeshi aisee kwanza tu ukininyima tunda utaona tu nishaanza kukubadilikia mapemaa.
Ni vizuri kuelewana kabla ya ndoa hasa kwa sisi wakristo ambao tunaoa mke mmoja wa maisha. Hawa ndgu zetu wenyewe dini inawabeba kupiga chini na kuchukua vyuma hata vinne.
Hayo mambo ya kubebana bebana kisa "i love you" nyingi ndio matokeo yake hayo.
Wanawake ni mabingwa wa kupretend aisee hebu fikiria mtu anaweza kua haridhishwi na mpenzi/mume wale lakini bado anajifanya anampenda kwa muda hata miaka anamlia timing tu.
Kuna nyuzi humu wadada wanaelezda jinsi wanavowavulia wanaume wasiowapenda ila wameolewa nao tu na ni miaka kibao.
Tofauti kabisa na sisi wanaume huwa hatukopeshi aisee kwanza tu ukininyima tunda utaona tu nishaanza kukubadilikia mapemaa.
Ni vizuri kuelewana kabla ya ndoa hasa kwa sisi wakristo ambao tunaoa mke mmoja wa maisha. Hawa ndgu zetu wenyewe dini inawabeba kupiga chini na kuchukua vyuma hata vinne.