Tabia yangu ya kutojipendekeza, kusujudia maboss na kutokuwa mfitini inanisotesha mtaani

Tabia yangu ya kutojipendekeza, kusujudia maboss na kutokuwa mfitini inanisotesha mtaani

Umekosea kidogo tu,Ulitakiwa kutafuta kazi kabla ya kuacha kazi.
 
Ujanja ni kuwa Boss mwenyewe.
People works for you.
Money works for you.
 
Pole sana.
Binafsi baada ya kukumbana sana na huu ujinga Wa watu kutaka uwapetipeti na kuwalamba lamba miguu nikaamua kujiajiri..
Sasa wao ndo wananitafutaga kuniomba ajira.
 
Siku zote mtu unapaswa kuishi kwa kujiamini na kwa principle zako kitu ninachokijua ni siwezi kujipendekeza kwa mtu ofisini pride ninayo & im cool with that i always speak my mind it doesnt matter wewe ni nani kama nina facts nazi state bold & clear..nafahamu kua mtu wa aina hio inaweza kukuletea matatizo lakini inabidi ukubali na hali na jinsi ulivyo..i can never be a puppet...
 
Pole sana kuna sehemu unatakiwa uishi kulingana na mazingira.

Kama natakiwa nijipendekeze ili mambo yangu yaende najipendekeza vizuri tu, cha msingi sivunji sheria za kazi.
Katika kujipendekeza lazima utakua mnafiki na ukiwa mnafiki lazima utapika majungu...na ukipika majungu lazima uwe mlamba majivu...😀😀😀😀
 
Wanakupa changamoto uwe mjasiliamali na wewe uajiri watu wajipendekeze kwako.

Yani bosi hata ukivaa vibaya mdela haueleweki utasikia unasifiwa tu.
Utasikia "Bosi hii ya leo umeitoa wapi, Dubai au Paris".

Wakati wewe unaona kabisa hapa hamna kitu mtu anajikomba tu.
Ahahaha haha dah
 
Back
Top Bottom