Tabia za Ajabu za Watoto

Ahahahahahaahaha mtoto kaitikia salam! Nacheka Kama mazuri dah! Watoto wa digital
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wanawake wa kiswahili hasa Dar kutukana mbele ya watoto kawaida tuu...!! yani wanaharbu Sana watoto
Sio Dar tu hata Tanga. Unakuta mtoto hata kuongea vizuri hawezi ila anatukana
 
Hahahahahaaa. Kalikuweza. Utasema kametumwa
 
Hahahahaa. Alikua na umri gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…