Alikuwa na umri gani? Hayo maneno sio mazuri hats kidogo na alisikia watu wazima wakiyaongeaKuna kengine kalikuja home na mama yake
Na mimi nikawa home likizo kipindi hiko nipo chuo
Sasa mi kwa kawaida sipendi mazoea na vitoto
Sikuiyo nipo sebuleni na pc kakaja nako kuangalia
Sijui ikaweje nimesahau. Kakaniambia "wewe hufanyagi kazi unakaa tu hapa kula" nilitamani nikapige sana ila kwa kuwa najua hasira zangu ningekaumiza ilibidi nikafukuze sebuleni
Hahahaha kuna kijana Niko nae hapa ana 7 yes alianza kugombana na Dada aa kwa kumfuata jikoni anamwambia * unanipakuliaga wali kidogo wewe* nilipokuja kusikia nilimwambia ale wali wote. Inatia aibu Dada hakuwa hata na wiki jamani loo.....!!! amekoma siku hizi maana zile ngumi ni km shambulio La kushtukiza.Yani mkuu
Dogo anaweza kula mpaka akabakiza chakula ila after 5 min akiona mtu anakula naye anataka
Kuna siku nikawa nakapakulia jikoni .sufuria lipo chini natumia kijiko nikakaaekea nyama moja na mchuzi kwa kijiko sasa si kakaanza kuunguruma kanasema "weka bana nyama sasa ndio nini hiko afu hata mchuzi kidogo emu mimina sufuria:
Mimi hugombana nao tena huwa nawaambia kabisa nitaenda kuwaaambia mama zaohahaha unamwambia tu usiww unaomba eh subiri mtu akupe mwenyewe usimuombe, ni tabia mbaya na walivyo atarudia tena na tena
Hivi ndio vichwa vibovu, unaweza ukatafuta Mapadri na Masheikh waje kuwafanyia maombi hawa watoto, au lasivyo wanaweza kukutoa roho kama ni mzazi.View attachment 885275View attachment 885277View attachment 885278
[emoji23] nilikaa nikafikilia yale maneno nikahisi hivi huenda kametumwa
Keko na Segerea hakuna JamiiForums, shauri yako[emoji18]Khaaa nimkute Dogo ndio kaniharibia PC yangu kama Ivo nakanyonga kwa kweli[emoji53][emoji53][emoji53][emoji53]
Ha Ha .mgeni akajibu vipi ?Huenda ikawa hivo, kuna mmoja ye alitumwa kabisa akamuuliza mgeni utaondoka lini
Nimecheka sana, huyo dogo ni wakua na makini sana.Kuna mdogo wake rafiki yangu mmoja aliona ile video ya kondoo wakiwa wanatembea na wanaonekana wanatikisa makalio (ilisambaa sana whatsapp) akasema "mbona wanatembea kama mashoga". Aisee, nilishangaa sana.
Dogo huyo huyo alishamwambia mshkaji fulani aliyekuwa anacheka " mbona unachekacheka kama mwanamke?" Dogo mwenyewe sijui anamiaka minne sijui..
Tuna mtihani sana.
aliaga siku hiyo hiyoHa Ha .mgeni akajibu vipi ?
Nilipompeleka shemeji yenu nyumbani mdogo wangu binamu akasema *Dada ms mol* jinsi ulivyokuja kuanza chuo umepauka hakuna MTU aliyehisi ungeolewa mapema kiasi hiki. Alikuwa drs La 4..Ha Ha .mgeni akajibu vipi ?
Hapo ndio utagundua matumizi ya hii kitu. Ningemchochea kama 7 hivi, mpaka akienda kujisaidia aombe kutawazwa na DONGE LA BARAFU.[emoji18] [emoji18] [emoji18]Yani mkuu
Dogo anaweza kula mpaka akabakiza chakula ila after 5 min akiona mtu anakula naye anataka
Kuna siku nikawa nakapakulia jikoni .sufuria lipo chini natumia kijiko nikakaaekea nyama moja na mchuzi kwa kijiko sasa si kakaanza kuunguruma kanasema "weka bana nyama sasa ndio nini hiko afu hata mchuzi kidogo emu mimina sufuria:
Huyo akikua Mange Kimambi atasubiri.[emoji23]Nilipompeleka shemeji yenu nyumbani mdogo wangu binamu akasema *Dada ms mol* jinsi ulivyokuja kuanza chuo umepauka hakuna MTU aliyehisi ungeolewa mapema kiasi hiki. Alikuwa drs La 4..
Mku roho mbaya sana.. Ni mkwara mzito na fimbo mbili tatuHapo ndio utagundua matumizi ya hii kitu. Ningemchochea kama 7 hivi, mpaka akienda kujisaidia aombe kutawazwa na DONGE LA BARAFU.[emoji18] [emoji18] [emoji18] View attachment 886394
Aisee😀😀😀😀Kuna mama alisimamisha daladala akapanda na mwanae wa kiume wakapata siti moja2 ikabidi yule mama ampakate mwanae mwenye umri wa miaka kama mitano hivi ...sasa yule mtoto akamuuliza mama ....."Mama mbona hatujaoga alaf tunasafiri tunaenda wapi kwani!!!!!„sasa ilikua aibu kwa yule mama tukagundua hajaoga na mwanae hajamwogesha alaf mbaya zaidi ni kwamba wamejipaka mafuta wamekolea hatari ...sjui ilikua babycare ile .....
yan hiyo tabia ya wazazi kutokutaka watoto wao waadhibiwe ,kuna wazazi walikua na watoto wadogo aisee walikua wadokozi mno,ukiweka kitu vibaya hakipo basi majirani wakiwapiga au kuwasemelea kwa wazazi wao wanawaambia waacheni hizo ni stages tu wakikua wataacha,baadaye wazazi walifariki wakabaki wao pekee ile tabia ya wizi waliendelea nayo hadi wamekua wakubwa and now mmoja ni marehemu alipigwa mpk kufa sababu ya wizi, mwingine yupo jela kitambo sasa. haya mambo ya watoto haya bora kumkanya tangu akiwa mtoto tu.mwisho nije kuambiwa zaa wako uone uchungu ulivyo nan anataka?? Tunaacha tu tutakuja lea wa kwetu inshallah
Watoto wa cku izi wanalelewa mayai sanaa...nyoosha sana akiwa mdogo...mpaka awe na adabu tanzania nzima hakuna...Kuna mmoja wa miaka minne aliwahi kutoka na chupi ya mama yake sebuleni tena kaivaa kichwani halafu mama yake anamwambia "jamani Junior acha basi rudisha ndani hio nguo'' nlitamani huyo mama atoke nikafinye hadi akakute kamekua kekundu. sheeenzi
Dogo kamanda sana huyo, hahahaha msamehe bana damu yako huyo, uje umkumbushe mabalaa yake akifika miaka ya ujana.We acha mkuu, mi nina mdogo wango ana miaka 5, atakuja kuniua, juzi juzi kanitegea sindano kama 6 kitandani kwangu, mpaka leo nazisikia majeraha yake mgongoni.
Dogo kamanda sana huyo, hahahaha msamehe bana damu yako huyo, uje umkumbushe mabalaa yake akifika miaka ya ujana.We acha mkuu, mi nina mdogo wango ana miaka 5, atakuja kuniua, juzi juzi kanitegea sindano kama 6 kitandani kwangu, mpaka leo nazisikia majeraha yake mgongoni.