Tabia za Ajabu za Watoto

Alikuwa na umri gani? Hayo maneno sio mazuri hats kidogo na alisikia watu wazima wakiyaongea
 
Hahahaha kuna kijana Niko nae hapa ana 7 yes alianza kugombana na Dada aa kwa kumfuata jikoni anamwambia * unanipakuliaga wali kidogo wewe* nilipokuja kusikia nilimwambia ale wali wote. Inatia aibu Dada hakuwa hata na wiki jamani loo.....!!! amekoma siku hizi maana zile ngumi ni km shambulio La kushtukiza.
 
hahaha unamwambia tu usiww unaomba eh subiri mtu akupe mwenyewe usimuombe, ni tabia mbaya na walivyo atarudia tena na tena
Mimi hugombana nao tena huwa nawaambia kabisa nitaenda kuwaaambia mama zao
 
Kuna dogo nilipanga nyumbani kwao..[emoji17]..yeye ukiacha viatu nje utakuta vimejazwa michanga kama tipa....[emoji3]...yaana ukifua uvianike juu ya bati...!!.watoto ni shida aisee....
 
Nimecheka sana, huyo dogo ni wakua na makini sana.
 
Hapo ndio utagundua matumizi ya hii kitu. Ningemchochea kama 7 hivi, mpaka akienda kujisaidia aombe kutawazwa na DONGE LA BARAFU.[emoji18] [emoji18] [emoji18]
 
Nilipompeleka shemeji yenu nyumbani mdogo wangu binamu akasema *Dada ms mol* jinsi ulivyokuja kuanza chuo umepauka hakuna MTU aliyehisi ungeolewa mapema kiasi hiki. Alikuwa drs La 4..
Huyo akikua Mange Kimambi atasubiri.[emoji23]

Mi mdogo wangu aliwahi kuniumbua mbele ya mama, akapiga kwanza simpendi yule aunty wa juzi, sio kama yule wa jana kila akija ananipa chocolate au yule mwingine anapenda kuvaa nguo fupi anajionaa. Nlitamani kiama kitokee hapo hapo.
 
Kuna mama alisimamisha daladala akapanda na mwanae wa kiume wakapata siti moja2 ikabidi yule mama ampakate mwanae mwenye umri wa miaka kama mitano hivi ...sasa yule mtoto akamuuliza mama ....."Mama mbona hatujaoga alaf tunasafiri tunaenda wapi kwani!!!!!„sasa ilikua aibu kwa yule mama tukagundua hajaoga na mwanae hajamwogesha alaf mbaya zaidi ni kwamba wamejipaka mafuta wamekolea hatari ...sjui ilikua babycare ile .....
 
Aisee😀😀😀😀
 
mwisho nije kuambiwa zaa wako uone uchungu ulivyo nan anataka?? Tunaacha tu tutakuja lea wa kwetu inshallah
yan hiyo tabia ya wazazi kutokutaka watoto wao waadhibiwe ,kuna wazazi walikua na watoto wadogo aisee walikua wadokozi mno,ukiweka kitu vibaya hakipo basi majirani wakiwapiga au kuwasemelea kwa wazazi wao wanawaambia waacheni hizo ni stages tu wakikua wataacha,baadaye wazazi walifariki wakabaki wao pekee ile tabia ya wizi waliendelea nayo hadi wamekua wakubwa and now mmoja ni marehemu alipigwa mpk kufa sababu ya wizi, mwingine yupo jela kitambo sasa. haya mambo ya watoto haya bora kumkanya tangu akiwa mtoto tu.
 
Kuna mmoja wa miaka minne aliwahi kutoka na chupi ya mama yake sebuleni tena kaivaa kichwani halafu mama yake anamwambia "jamani Junior acha basi rudisha ndani hio nguo'' nlitamani huyo mama atoke nikafinye hadi akakute kamekua kekundu. sheeenzi
Watoto wa cku izi wanalelewa mayai sanaa...nyoosha sana akiwa mdogo...mpaka awe na adabu tanzania nzima hakuna...
 
We acha mkuu, mi nina mdogo wango ana miaka 5, atakuja kuniua, juzi juzi kanitegea sindano kama 6 kitandani kwangu, mpaka leo nazisikia majeraha yake mgongoni.
Dogo kamanda sana huyo, hahahaha msamehe bana damu yako huyo, uje umkumbushe mabalaa yake akifika miaka ya ujana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…