Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
- Thread starter
- #61
Sio rahisi kama unavyodhaniAu sio tabu ya nini nasubiri ku edite match ikiisha.niji shindie buku 5 yako...oooops nme toa siri kumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio rahisi kama unavyodhaniAu sio tabu ya nini nasubiri ku edite match ikiisha.niji shindie buku 5 yako...oooops nme toa siri kumbe
🤝Yanga 3,Azam 2
Wameshapelekewa moto tayari.Azam anashinda
Wewe Fei toto tulia. Utakuja upate laana kwa kupenda ligi na wakubwa zako.Basi kitulize tu
Hiii apa ,nilitabiri saa Saba usiku Jana,nipewe mpunga,ukiongezewa 0 moja mbele itapendezaYanga 1 Azam 0
Yes kalisema Bora ingekuwa Singida kuliko Yanga...eti anaujua udhaifu wa Diara!!!!Huu mchezo nilikosa kabisa ujasiri wa kuutabiria. Maana Azam ina wachezaji wakamiaji sana. Ahueni kale Ka Sopu hakajatufunga. Kalijitapa sana kabla ya mechi.
Vise versa is trueYanga 0 Azam 1 ft..
Mshindi uyu hapa ...Yanga 1 Azam 0
Upewe pesa yako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga 1 Azam 0
Muamala bado haujasoma ,na nimeagiza supu apaMshindi uyu hapa ...
Hahaha nimeshaagiza diko bar,asipotuma naumbuka,napigishwa dekiUko vizuri Mkuu.
Akupage chako sa. 😅
Nitakutumia jero ,ujiunge na mb ,ujipooze machunguUpewe pesa yako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah wee.Nitakutumia jero ,ujiunge na mb ,ujipooze machungu
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah wee.