Tabiri matokeo sahihi ya mechi ya fainali ya Yanga Vs Azam na ujishindie elfu tano

Tabiri matokeo sahihi ya mechi ya fainali ya Yanga Vs Azam na ujishindie elfu tano

Hongera mkuu, tunafanya mawasiliano na wewe tukupatie zawadi yako kidha uje uthibitishe kwa wadau hapa👏🏽👏🏽
Kwa io mi yangu hujaiona sio, kama Kuna mdau ana shida na buku 5 anichek pm, then ntampa namba huyu jamaa amuwekee buku 5 maana nimetabiri sahihi
 
Kwa io mi yangu hujaiona sio, kama Kuna mdau ana shida na buku 5 anichek pm, then ntampa namba huyu jamaa amuwekee buku 5 maana nimetabiri sahihi
Soma vizuri ,alisema mshindi ni mmoja ,wa kwanza kutabiri,kwa hiyo angalia muda ,uko sawa na Mimi kweli,lakini Mimi nilikua wa kwanza
 
Back
Top Bottom