Tabora: Anayeidai TRA Milioni 986, Ramadhani Ntuzwe adaiwa 'kujiua kwa risasi'

Weka ushahidi kuwa alilipwa.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna atakaelipa. The government belongs to nobody. Siku utakayojua serekali ni karatasi ndio utajua

Nadhani wewe hukijui kisasi Cha Mungu, haki ya mtu haipotei mtalipa tena kwa machozi. Hadi uje ujue kwanini unaumia kilio kitakuwa chako tutosha. Ombi tu Mungu aturehemu na iwe kifochake isiwe sababu za kibiashara.
 
Amejiua au AMEUAWA ili kuondoa kero ya kudaiwa??????
 
Kukata tamaa ni kosa kubwa sana, pigana mpaka mwisho ili haki ipatikane. Hawa waheshimiwa wa TRA wanajisikiaje na hicho kifo?
 
Na ni kafsnya uchunguzi kuwa kajiua? Kama, ni polisi wetu hawa! Ambao, hudai maabusu kajinyonga kwa kamba ya, kufungia viatu! I, smell fishy, its faul play,!
Kwa, mpunga ule acha kabisa,
Kuna polisi, wapo, maahabusu kwa kuua kwa sababu ya milioni 30 tu, sembuse billions kasoro!
 
Karibu Africa, Bara ambalo huwezi kupambana na serikali, chaajabu wanatuambia tulipata uhuru! Ni uhuru au ukoloni wa watu weusi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…