Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nililetaga thread hapa nikilaani wasaliti, wadhulumati na waonevu nikadhihakiwa na kukejeliwa sijui nimerukwa na akili sijui bange wakati bange ni msaada sana mwangu. Ila sasa hivi Mungu kunisaidia kanipa faraja nimemuachia nakusahau.Duh kichwa cha mtu kina mengi yaani sijui naonaje mtu anafikiria Mpaka kujiua
Nililetaga thread hapa nikilaani wasaliti, wadhulumati na waonevu nikadhihakiwa na kukejeliwa sijui nimerukwa na akili sijui bange wakati bange ni msaada sana mwangu. Ila sasa hivi Mungu kunisaidia kanipa faraja nimemuachia nakusahau.
Watu8 adriz Accumen Mo Mufti kuku The Infinity
Kumbe ilikuwa ni kweli sio bange ! tatizo haukufunguka zaidi halafu mods wameweka jukwaa la jokes ule Uzi ndio maana watu tukakudhihaki , anyway liwalo na liwe .Nililetaga thread hapa nikilaani wasaliti, wadhulumati na waonevu nikadhihakiwa na kukejeliwa sijui nimerukwa na akili sijui bange wakati bange ni msaada sana mwangu. Ila sasa hivi Mungu kunisaidia kanipa faraja nimemuachia nakusahau.
Watu8 adriz Accumen Mo Mufti kuku The Infinity
Kwa hali hii TRA wataendelea kudhulumu ilitakiwa aende ofisini huko aende nao kuzimu.Hii Nchi inapenda ZULUMA sana.
Alikuwa na biashara zipi na zipi?Mwaka jana nilikua Urambo nilifika pale dukani kwake kununua bidhaa. alilipwa na TRA, na alikuwa ameexpand sana biashara yake ya bidhaa-duka la jumla likawa kubwa, akajenga warehouse, akawa na malori ya kusupply vijijini. Bado alikua na misuguano na maafisa wa TRA na walikuwa na mitego mingi, though jamaa alikuwa smart sana kulipa kodi na kutumia technology. Hii expansion ya biashara za bidhaa kwa pale Urambo, ilimpa maadui wapya-WAARABU WAFANYABIASHARA YA BIDHAA pale Urambo. Hawa waarabu wamejenga monopoly attittude kiasi huwa hawataki supplier mpya sokoni tena awe na bei za chini kuliko wao.
Kwa kweli nimemumizwa na habari za kifo cha Ntunzwe. Apumzike kwa amani. Biashara zake ndio zimefika mwisho. Inaumiza sana.
Huwa nikimuona majaliwa anajifanya kutenda haki nacheka sanaKalalamika kwa waziri bila bila
Kalalamika kwa waziri mkuu(ikaishia suala lako litafanyiwa kazi)bila bila
Vyombo vyote vya sheria bila bila
Nchi hii watu wana dhuluma sana
Naona sahv hai anaowadai wanacheka tu
Ova
Ramadhani Ntunzwe kwa maelezo yake kwenye video clip ambazo zipo Youtube Mwaka 2019 alieleza kuwa Kesi yake ilifika hadi Ikulu na kujadiliwa, pia alisema alifikisha kwa Katibu Mkuu CCM dodoma wakati huo Dr Bashiru Ally.Bora kupata hasara ila dhulma ,hata shilling elfu 10 roho inauma kinoma.
Ukiona Watu wanaendesha Maprado na majumba makali we endelea kuhangaikia Ugali wako.Nchi hii hatari sana
Ova
Niliyoijua kwa hakika ni bidhaa za nyumbani mf mafuta ya kula, vifaa vya shula, vyakula-kwa ufupi alikuwa General commodities supplier.Alikuwa na biashara zipi na zipi?
Hata kama umedhulumiwa lakini usifikie kufanya maamuzi hayo, haya umejiuwa faida yake nini umepata! Allaah S.W ameharamisha kujiuwa
Ukifatilia video zake kule Youtube anaeleza vizuri sana hatua kwa hatua ameshirikisha Swala lake kwa Vigogo wengi wa serikali.Kalalamika kwa waziri bila bila
Kalalamika kwa waziri mkuu(ikaishia suala lako litafanyiwa kazi)bila bila
Vyombo vyote vya sheria bila bila
Nchi hii watu wana dhuluma sana
Naona sahv hai anaowadai wanacheka tu
Ova
Una uhakika kajiua?