Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine huwa wanakuwa Tabora wenyewe
Huwezi kusikia kelele za GSM anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango, but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena, sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani Yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura hata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
Huwezi kusikia kelele za GSM anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango, but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena, sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani Yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura hata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!