Tabora iliyomfunga Yanga ni nyingine na inayocheza na Simba siku zote uwa ni nyingine, zile kelele za GSM huwezi kuzisikia leo!

Tabora iliyomfunga Yanga ni nyingine na inayocheza na Simba siku zote uwa ni nyingine, zile kelele za GSM huwezi kuzisikia leo!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine huwa wanakuwa Tabora wenyewe

Huwezi kusikia kelele za GSM anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango, but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena, sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!

Nadhani Yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura hata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!

Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
 
Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
Kwani Tabora ana udhamini wa GSM ipo wazi Mwigulu nchemba na GSM wanatuharibia soka!
 

Attachments

  • 20241229_070802.jpg
    20241229_070802.jpg
    100 KB · Views: 4
  • 20241225_065945.jpg
    20241225_065945.jpg
    116.7 KB · Views: 3
Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
unajua maana ya ubaya ubwelaa?
 
Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
Na kufungwa Utopolo na hawa Tabora Bado kuko palepale
 
Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
Naona katika harakati za kuponya jeraha. Sawa sawa, uzi umeuandika baada ya chuma cha tatu. Hongera
 
Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
Mbona kama umeumia sana... Mlifungwa kwa uwezo wenu mdogo nyau nyie..
 
Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
Hawa hawa wachezaji wenye muda na photoshoot.
 
GSM kupitia mlango wa nyuma jawahidi milioni 5 ili waifunge simba,imebuma
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
IMG-20250202-WA0032.jpg
 
Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
Huna ujualo wewe. Huoni timu ambazo hazina ufadhili wa gsm
Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!

zinavyoipa taabu yanga? Timu zote zinazofadhiliwa na gsm zinafanya kazi ya kugawa points kwa yanga, refer kauli ya kocha wenu, ligi dhaifu
 
Huna ujualo wewe. Huoni timu ambazo hazina ufadhili wa gsm


zinavyoipa taabu yanga? Timu zote zinazofadhiliwa na gsm zinafanya kazi ya kugawa points kwa yanga, refer kauli ya kocha wenu, ligi dhaifu
Ni dhaifu kweli. Litimu linafungwa mechi 4 mfululizo kuna ligi hapo?
 
Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
Huwezi zisikia, Hawa mbumbumbu hamnazo. Ngoja mabingwa wa kihistoria washinde utasikia mayowe.
 
Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
Gusa, achia, turudi ligi kuu. Mashindano ya Afrika tuwaachie Simba!😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom