Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Ilikuwaje mkapigwa na nyuki ilhali nyie ni mabingwa halafu tena mko CAFCL?yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwaje mkapigwa na nyuki ilhali nyie ni mabingwa halafu tena mko CAFCL?yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura
Alishindwa kufungua code za kocha ila Sead alisema kwelirefer kauli ya kocha wenu, ligi dhaifu
Jitahidini kufunga magoli mengi mwingie robo fainaliTabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
Hata mimi nimeshangaa kama hii ndiyo Tabora United iliyoifunga Yanga na Azam! Wachezaji kuanzia mwanzo walikuwa kama wapo mazoezini! Waamuzi waliochezesha walionekana tangu mwanzo wamejipanga kuipa timu mwalikwa ushindi kwa namna yoyote ile!!Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
Ubaya ubwela kalaga bahoTabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
Tunaweka mambo sawa kwamba tusije kusikia mnatoa tena milio ya upangaji wa matokeo inapotokea kwa wengine mpige kimya ivyo ivyoJitahidini kufunga magoli mengi mwingie robo fainali
Simba ilikuwaje ikapigwa na yanga mechi 4 mfululizo kama unashangaa kupigwa na Tabora mechi Moja?Ilikuwaje mkapigwa na nyuki ilhali nyie ni mabingwa halafu tena mko CAFCL?
Tunatunza risiti kwani vina muda kabla amjaanza kupiga mayowe
Umeandika kwa sonona sana.Fumba macho uombewe dua njema. 🙏😎Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
Mtaanza kupiga mayowe siku sio nyingiGusa, achia, turudi ligi kuu. Mashindano ya Afrika tuwaachie Simba!😁😁😁😁
Sonona eti,,tunatunza risiti kikubwa msije mkaleta shobo Tena kwenye mechi za wengineUmeandika kwa sonona sana.Fumba macho uombewe dua njema. 🙏😎
Msifunge kwa mikono.Acheni ball litambae.Tabora Utd 0-Simba wa kombe la akina mama wazazi 3.Sonona eti,,tunatunza risiti kikubwa msije mkaleta shobo Tena kwenye mechi za wengine
Aisee umeandika kwa makasiriko kweli kweli, kunywa maji kwanza.Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine uwa wanakuwa tabora wenyewe,,
Uwezi kusikia kelele za gsm anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango,,but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena,,sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura ata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!
Magoli yatafungwa ata kwa mkono ilimradi point tatu na refa aite kati alafu tutakutana mwisho wa msimu tuone nani bingwa,,akuna kucheka na kima,,Msifunge kwa mikono.Acheni ball litambae.Tabora Utd 0-Simba wa kombe la akina mama wazazi 3.
Halafu sasa,Utopolo wa mwisho kombe la klabu bingwa Afrika 1-Tabora Utd 3.Daaadeeekii.Maumivu bin sonona.
Na Bado hamjasema...Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine huwa wanakuwa Tabora wenyewe
Huwezi kusikia kelele za GSM anaharibu ligi na match fixing kwenye mechi wanazopata ushindi wa mipango mipango, but wakipigwa wengine utasikia zinaibuka Tena, sasa Leo kinachoonekana uwanjani ni uchafu tu!
Nadhani Yanga kwa sasa wasicheke na nyani watoe vipigo bila kuangalia sura hata magoli ya mkono refa aite kati ilimradi point 3 muhimu!
Wale wapiga domo na kelele wafunge mabakuri yao Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote!