Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Muwe wapole.Safari hii mtajicheki.Yule refa wenu anayewabeba kila mara hatochezesha tena.Magoli yatafungwa ata kwa mkono ilimradi point tatu na refa aite kati alafu tutakutana mwisho wa msimu tuone nani bingwa,,akuna kucheka na kima,,