DOKEZO Tabora Mjini hali tete, mafuta hakuna! Maji hakuna

DOKEZO Tabora Mjini hali tete, mafuta hakuna! Maji hakuna

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Dah mleta mada sio Tabora tu leo imenibidi nifuate mafuta Moshi nipo wilaya ya Mwanga kwa matembezi na kuona ndugu ila nimejuta asee kwa hapa tambarare kuna petrol station 6 kubwa ila zinazofanyakazi ni mbili izungo na kisangara na zote zinalemewa mafuta yanaisha.

Hivi kwa mm niliepo hapa ni nyumbani sasa kwa mtu anaeendelea na safari na akapanga kuweka wese huku imekula kwake. Yaani mafuta nimefuata Moshi na dumu ukijichanganya gari linavutwa hakuna namna.
 
tuko bize kizimkazi tunatafuna kodi zenu maisha yenyewe mafupi.

maji subiri elininyo mhifadhi maji umeme hamuoni ukame, mafuta kuadimika tatizo ni mapinduzi yanayotokea kwenye nchi za Africa watanzania hamsomi mitandaoni.

ccm oyee chama makini. tabora tunamizizi palee ushindi ni kwakishindo. ata mkinywa mkojo badala ya maji mkatembea kwa miguu umeme tumieni vibatari.

Mkoa wa Tabora una jumla ya majimbo ya uchaguzi 12 ambayo ni:-


Tabora Mjini:
Emmanuel Mwakasa (CCM) - Kura 30,083

Igalula:
enant Protas (CCM)

Tabora Kaskazini-
Athumani Mahige

Sikonge -
Joseph George Kakunda (CCM) - Kura 44,258
Hijja Mohammed Chamballah(CHADEMA) - Kura 7,260

Urambo -
Margaret Sitta (CCM) - Kura 30,391

Kaliua:
Aloyce Kwezi (CCM) - Kura 35,065.

Ulyankulu -
REHEMA JUMA MIGILLA - Amepita bila kupingwa

Nzega Mjini -
Hussein Bashe (CCM) - Kura 16,082
Andrew Atonga (Chadema) - Kura 2,663

Bukene
Selemani Jumanne (CCM)

Nzega Vijijini -
DKT. KIGWANGALA HAMISI ANDREA - Amepita bila kupingwa

Igunga:
Nocholaus Ngassa (CCM)

Manonga:
Seif Hamis (CCM)
 
Niendee moja kwa moja kwenye mada husika!

Mkoa wa Tabora hivi sasa ninapoandika uzi huu, uko kwenye taharuki kubwa ya kukosa mafuta!

Hali ni mbaya hapa mjini, petro station moja tu mji mzima inatoa huduma ya mafuta!

Hakuna kiongozi yoyote wa chama (CCM) au serikali ambaye ametoa ufafanuzi wowote!

Mkoa huu wa kishu'shu'shu na KI'CCM hali ni tete..! Mkoa umebaki mtupu hakuna mtetezi!

Nikumbushe kuwa jumatano ijayo ya mwanzo wa mwezi kwa fununu zilizopo EWURA wanatangaza bei mpya za mafuta, kitu ambacho kinatarajiwa, ni mafuta kupaa zaidi bei.

Nikumbushe pia mwezi mmoja uliopita ilitokea taharuki kama hii ya sasa, na kuonekana baadhi ya wafanyabiashara wakificha mafuta na baada ya wiki moja na nusu mafuta yakapaa kwa bei ambayo haijawahi kushuhudiwa kwa kizazi hiki cha miaka 30 iliyopita!

SHIDA YA MAJI
Maji pia yamekuwa shida, zaidi ya wiki sasa maji hayapatikani...!
Hali ni mbaya tumefika pabaya!!
Kinachotokea Tabora, ndiyo hali halisi ya nchi yote kwa sasa..

Umeme hali Tete...

Maji hali Tete...

Nishati ya mafuta ya petrol hali ni tete..

Nadhani ni wakati sasa Rais Samia Suluhu Hassan ali - address taifa kueleza tatizo ni nini na serikali yake inachukua hatua gani za dharura kuhakikisha wananchi hawapati taabu..

Hii ndiyo kazi ya serikali. Lakini Rais kusema ameamua kunyamaza huku mambo yakienda mrama, hakika huo sio uongozi bali ni uhuni fulani tu...
 
Hii nchi ukipata nafasi ya kusepa hakikisha unarudi kuzikwa tu manina, kuna mahali nipo Arusha tena mjini tu maji hakuna hii wiki inaingia ya pili na watu wamekalisha kende zao tu.

Leo asubuhi napokea namba ngeni kuna mpuuzi anajitambulisha msoma mita eti anatishia kunikatia maji while kwa mwezi yanatoka sio zaidi ya siku 10 nilichomjibu kitakuwa kinamzunguka kichwani mpaka saa hii, waheeeed kabisa [emoji706][emoji706][emoji706]
Hivi hawa wanafanya makusudi nini , ? Mwanza -Buswelu ,,hakuna hata tone la maji karibia mwezi sasa ,
Huu upuuz sana huu
 
Hii nchi ukipata nafasi ya kusepa hakikisha unarudi kuzikwa tu manina, kuna mahali nipo Arusha tena mjini tu maji hakuna hii wiki inaingia ya pili na watu wamekalisha kende zao tu.

Leo asubuhi napokea namba ngeni kuna mpuuzi anajitambulisha msoma mita eti anatishia kunikatia maji while kwa mwezi yanatoka sio zaidi ya siku 10 nilichomjibu kitakuwa kinamzunguka kichwani mpaka saa hii, waheeeed kabisa [emoji706][emoji706][emoji706]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jumanne ya kwanza ya kila mwezi ni tangazo la bei mpya za mafuta! Wameyaficha wakisubiri Jumanne ijayo yapande. Hizo ni indicators we are shitholes! Nchi ya kipumbavu kabisa.
Sio jumanne ni jumatano ya kwanza ya mwezi mkuu
 
Kinachotokea Tabora, ndiyo hali halisi ya nchi yote kwa sasa..

Umeme hali Tete...

Maji hali Tete...

Nishati ya mafuta ya petrol hali ni tete..

Nadhani ni wakati sasa Rais Samia Suluhu Hassan ali - address taifa kueleza tatizo ni nini na serikali yake inachukua hatua gani za dharura kuhakikisha wananchi hawapati taabu..

Hii ndiyo kazi ya serikali. Lakini Rais kusema ameamua kunyamaza huku mambo yakienda mrama, hakika huo sio uongozi bali ni uhuni fulani tu...
Na waziri aliyesababisha haya yote yani aliyeunderperform katolewa ili asiendelee kuchafuka
 
Sio jumanne ni jumatano ya kwanza ya mwezi mkuu
... hapana Mkuu. Bei mpya hutangazwa Jumanne ya kwanza ya mwezi na kuanza kutumika saa sita kamili usiku wa siku inayofuata yaani Jumatano.
 
Niendee moja kwa moja kwenye mada husika!

Mkoa wa Tabora hivi sasa ninapoandika uzi huu, uko kwenye taharuki kubwa ya kukosa mafuta!

Hali ni mbaya hapa mjini, petro station moja tu mji mzima inatoa huduma ya mafuta!

Hakuna kiongozi yoyote wa chama (CCM) au serikali ambaye ametoa ufafanuzi wowote!

Mkoa huu wa kishu'shu'shu na KI'CCM hali ni tete..! Mkoa umebaki mtupu hakuna mtetezi!

Nikumbushe kuwa jumatano ijayo ya mwanzo wa mwezi kwa fununu zilizopo EWURA wanatangaza bei mpya za mafuta, kitu ambacho kinatarajiwa, ni mafuta kupaa zaidi bei.

Nikumbushe pia mwezi mmoja uliopita ilitokea taharuki kama hii ya sasa, na kuonekana baadhi ya wafanyabiashara wakificha mafuta na baada ya wiki moja na nusu mafuta yakapaa kwa bei ambayo haijawahi kushuhudiwa kwa kizazi hiki cha miaka 30 iliyopita!

SHIDA YA MAJI
Maji pia yamekuwa shida, zaidi ya wiki sasa maji hayapatikani...!
Hali ni mbaya tumefika pabaya!!
CCM Hoyeeeeh!

Na bado 2025 tutashinda kwa kishindo kikubwa
 
Niendee moja kwa moja kwenye mada husika!

Mkoa wa Tabora hivi sasa ninapoandika uzi huu, uko kwenye taharuki kubwa ya kukosa mafuta!

Hali ni mbaya hapa mjini, petro station moja tu mji mzima inatoa huduma ya mafuta!

Hakuna kiongozi yoyote wa chama (CCM) au serikali ambaye ametoa ufafanuzi wowote!

Mkoa huu wa kishu'shu'shu na KI'CCM hali ni tete..! Mkoa umebaki mtupu hakuna mtetezi!

Nikumbushe kuwa jumatano ijayo ya mwanzo wa mwezi kwa fununu zilizopo EWURA wanatangaza bei mpya za mafuta, kitu ambacho kinatarajiwa, ni mafuta kupaa zaidi bei.

Nikumbushe pia mwezi mmoja uliopita ilitokea taharuki kama hii ya sasa, na kuonekana baadhi ya wafanyabiashara wakificha mafuta na baada ya wiki moja na nusu mafuta yakapaa kwa bei ambayo haijawahi kushuhudiwa kwa kizazi hiki cha miaka 30 iliyopita!

SHIDA YA MAJI
Maji pia yamekuwa shida, zaidi ya wiki sasa maji hayapatikani...!
Hali ni mbaya

Dah mleta mada sio Tabora tu leo imenibidi nifuate mafuta Moshi nipo wilaya ya Mwanga kwa matembezi na kuona ndugu ila nimejuta asee kwa hapa tambarare kuna petrol station 6 kubwa ila zinazofanyakazi ni mbili izungo na kisangara na zote zinalemewa mafuta yanaisha.

Hivi kwa mm niliepo hapa ni nyumbani sasa kwa mtu anaeendelea na safari na akapanga kuweka wese huku imekula kwake. Yaani mafuta nimefuata Moshi na dumu ukijichanganya gari linavutwa hakuna namna.
Subiri ukraine wamalize Vita kwanza ndo mtapata maji.
 
Back
Top Bottom