Tabora: Nyoka Koboko amekunywa uji wa Moto, amkimbiza Mganga wa Kienyeji

Daah umekosea kutukana! Ila anyway, acha inyeshe tuone panapovuja!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app

Ume quote wengi humu na kutukosea heshima
Sio tabia yangu kutukana ila umetutukana wewe
Next time jaribu kuelewesha mambo bila kutumia maneno makavu
Wengine wajukuu zetu wamo humu eti [emoji23][emoji120]
 
Ndiyo maana Subwoofer na Bi Tozo wanaparurana hukuπŸ˜€
 


Huyo koboko mzee wangu alipata kunihadithia kwamba aliwahi kufukuzwa na huyo nyoka barabarani akitokea Kasulu kwenda Kigoma mjini mzee akiwa na gari yake Landrover 109 in 70s. Na yeye huyo mzee wangu ndiye aliyeniambia kwamba huyo sio nyoka bali ni "Shetani" 🀣
 
Kwa mkoa wa Tabora, toka miaka ya zamani, hiyo Ndo ilikua mbinu ya kupambana na Nyoka .
 
Mkuu Unamjua koboko wewe? Yule aking'ata haachi meno Bali sumu yeke hupita kwenye meno yake kwenda kwa mjeruhiwa,na anao uwezo wa kungata zaidi ya Mara kumi.
mkuu kaboko ana mapigo 12 baada ya hapo ana uwezo tena wa kugonga
ila ili kujilinda ndio huleta sitofahamu ya mbwembwe za kufyokafyoka na kukimbiza kimbiza hovyo au anaweza akaondoka kabisa eneo hilo 7bu itamchukia tena muda mrefu kuwa na uwezo wa kugonga na kudhuru
ndo mana hata wanaoenda kumuwinda kaboko wanamlia timing hiyo
 
Ngoja niwape mbinu ya kumkamata koboko,waende police kitengo cha mbwa au kwa yeyeto mwenye yale mavazi ya kufundishia mbwa unayavaa,plus buti, helmet.kisha unamfata alipo koboko au nyoka yeyeto mwenye sumu unamkamata Akigonga kichwa anakutana na helmet, Akigonga mwilini ukutana na nguo Akigonga mguuni ukutana na buti,akitema mate ukutana na kioo,mikononi umevaa gloves za boxing.
Kama meno ya mbwa ayapenyi kwenye suti hiyo sembuse ya snake
Mbinu ya ndoo na uji ya kizamani mtakula snake bites za kutosha.

 
Hii nimeielewa.. ikiwa applied inaweza kuwasaidia ndugu zetu wanyamwezi huko Tabora na hatimaye kumtia nguvuni bwana nyoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…