Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Hakuna cha fumbo hapo , habari hii nimeisoma kwingiHuwez jua! Labda hili ni fumbo la kisiasa jaman! Jukwaa la siasa na nyoka koboko wap na wapi
Kumbuka hili ni jukwaa la siasa lakiniHakuna cha fumbo hapo , habari hii nimeisoma kwingi
Aiseehh Mkuu hongera sana Nimechakata na kupata jibu..kajamaa kanajiuguza maumivu ..Chezeya Koboko wewe....halafu hako kaganga kamekula pesa za buree kwa kina Herode...View attachment 2060887
Nyoka aina ya koboko anadaiwa kuweka kambi katika eneo la Mlimani City kata ya Ng'ambo manispaa ya Tabora ambapo amegeuka kuwa tishio la maisha kwa wananchi wa mtaa huo.
Katika jitihada za kumuondoa nyoka huyo wananchi walimleta mganga wa kienyeji ambaye alitamba kumuondoa nyoka huyo.
Mganga huyo Hassan Jumanne anasema alipanda juu ya mti wa muembe yalipo makazi ya nyoka huyo akiwa na chungu chenye uji wa moto ambao nyoka huyo alitoka na kuingiza kichwa kwenye uji kabla ya kumshambulia kwa kumgonga mara nne.
Mganga alizimia na kuanguka na alipopata fahamu alikimbia akiacha vifaa vyake vya uganga katika eneo hilo.
Uongozi wa kata hiyo umeanza jitihada za kuwasiliana na maliasili ili kumuondoa nyoka huyo.
Chanzo cha habari: CG FM Radio
Huyo koboko mzee wangu alipata kunihadithia kwamba aliwahi kufukuzwa na huyo nyoka barabarani akitokea Kasulu kwenda Kigoma mjini mzee akiwa na gari yake Landrover 109 in 70s. Na yeye huyo mzee wangu ndiye aliyeniambia kwamba huyo sio nyoka bali ni "Shetani" [emoji1787]
mzee wangu aliwahi wacha pikipiki honda akakimbia kwa miguu baada ya kukutana na hiki kifaa. tuliifuata pikipiki kama watu kumi na tano umbali usiozidi 1km na tukiwa na silaha zote na hapo mzee alikuwa ana "PEN" kamashine kanapakia risasi moja moja.Umeona eee
Yaani hii story kama ya mjomba wangu aliwahi kufukuzwa akiwa na Land Rover Arusha miaka hiyo hiyo mkuu
Ni kweli kabisa na story zinafanana
Ila huyu kiumbe ni Shetani halafu ana mbio za ajabu na akikuona anaanza kukukimbiza
Kuna documentary niliiona jamaa anahadithia akatuonyesha Koboko amekuta Simba kafa kama jana ila koboko akamgonga mara mbili kuhakikisha anakufa mara tatu [emoji23][emoji23]
Koboko meno hayatokiKawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Mkuu imekaa vizuri sanaNgoja niwape mbinu ya kumkamata koboko,waende police kitengo cha mbwa au kwa yeyeto mwenye yale mavazi ya kufundishia mbwa unayavaa,plus buti, helmet.kisha unamfata alipo koboko au nyoka yeyeto mwenye sumu unamkamata Akigonga kichwa anakutana na helmet, Akigonga mwilini ukutana na nguo Akigonga mguuni ukutana na buti,akitema mate ukutana na kioo,mikononi umevaa gloves za boxing.
Kama meno ya mbwa ayapenyi kwenye suti hiyo sembuse ya snake
Mbinu ya ndoo na uji ya kizamani mtakula snake bites za kutosha.
View attachment 2061048
Waganga wa siku hizi mikausho sana leo tena nimeona waganga wa kienyeji wanapata chanjo ya covid
mzee wangu aliwahi wacha pikipiki honda akakimbia kwa miguu baada ya kukutana na hiki kifaa. tuliifuata pikipiki kama watu kumi na tano umbali usiozidi 1km na tukiwa na silaha zote na hapo mzee alikuwa ana "PEN" kamashine kanapakia risasi moja moja.
tulivyorudi hatukumkuta lkn kumbe alikuwa na mipango alisumbua eneo lile kwa karibu siku tano tukafanikiwa kumuua siku ya sita.
lkn balaa tulikuja kugundua yalikuwa mawili nadhani ni jike na dume maana usiku huo mbwa kadhaa mtaani walipata dozi yake ambapo hakuna mbwa alimaliza wiki alikuwa kama anaoza huku anatembea alafu ananuka hadi inabidi mfukuze hataka kama ni wako.
lakini alipouliwa wa pili amani ndio ikatawala.
Labda Huyo koboko ni wa mchongo yaani mganga agongwe mara nne alafu bado hupo hai?
so ivo tu et na ule uji alikunywa, koboko wa 2021 hana mchezo. Hila mganga nae ni Atari ajafa kazinduka asije akawa zombeSorry bro.. kuna spice mbili kma sijakosea kuna meno yanaoondoka na kuna meno yanayo Baki.. reje black mamba kama sijakoseaKawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Mzee kuna dawa huwezi amini.Nitaamini kama ni koboko nikipewa taarifa za huyo mganga huko alipo,sitegemei kusikia yupo hai maana mziki wa huyo bwana ni weka mbali na watoto.
Mzee unamjua koboko? {Brack mamba}Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Dawa zipo ant- venom n.k kitaalam tatizo first aid... Na pia muda wa kufika hospital... Sasa dk kumi tayari unaweza potea...[emoji35][emoji2959]Mzee kuna dawa huwezi amini.
Mimi nilishashudia jamaa amegongwa na huyo kiumbe ila alipona msela.
If an attacker persists, the mamba will strike not once, but repeatedly, injecting large amounts of potent neuro- and cardiotoxin with each strike.Sorry bro.. kuna spice mbili kma sijakosea kuna meno yanaoondoka na kuna meno yanayo Baki.. reje black mamba kama sijakosea
Samahani ni "black" not brakMzee unamjua koboko? {Brack mamba}
Unamkosea Mwana Mzizima[emoji41]Kabla sijafika mbali katika kusoma habari, nilipofika hapo kwenye jina nikamkumbuka chakulia lia Mohamed Said nikaanza kucheka
Ndugu zake Mohamed Said kwenye mambo ya ajabu ajabu kama hayo ya uganga au wizi wizi ni pichu na kota