Tabora: Nyoka Koboko amekunywa uji wa Moto, amkimbiza Mganga wa Kienyeji

Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?

Koboko black mamba ana uwezo wa kugonga hadi mara 11 na mara zote atatoa fatal venom,
Meno ya koboko ni tofauti na nyoka wengine , ya koboko yama matumdu kama syringe ,sumu inapita humo, koboko mmojq ana uwezo wa kuuwa mbuzi kadhaa kwa mara moja
 
Aiseehh Mkuu hongera sana Nimechakata na kupata jibu..kajamaa kanajiuguza maumivu ..Chezeya Koboko wewe....halafu hako kaganga kamekula pesa za buree kwa kina Herode...
 

Umeona eee
Yaani hii story kama ya mjomba wangu aliwahi kufukuzwa akiwa na Land Rover Arusha miaka hiyo hiyo mkuu
Ni kweli kabisa na story zinafanana

Ila huyu kiumbe ni Shetani halafu ana mbio za ajabu na akikuona anaanza kukukimbiza
Kuna documentary niliiona jamaa anahadithia akatuonyesha Koboko amekuta Simba kafa kama jana ila koboko akamgonga mara mbili kuhakikisha anakufa mara tatu [emoji23][emoji23]
 
mzee wangu aliwahi wacha pikipiki honda akakimbia kwa miguu baada ya kukutana na hiki kifaa. tuliifuata pikipiki kama watu kumi na tano umbali usiozidi 1km na tukiwa na silaha zote na hapo mzee alikuwa ana "PEN" kamashine kanapakia risasi moja moja.

tulivyorudi hatukumkuta lkn kumbe alikuwa na mipango alisumbua eneo lile kwa karibu siku tano tukafanikiwa kumuua siku ya sita.

lkn balaa tulikuja kugundua yalikuwa mawili nadhani ni jike na dume maana usiku huo mbwa kadhaa mtaani walipata dozi yake ambapo hakuna mbwa alimaliza wiki alikuwa kama anaoza huku anatembea alafu ananuka hadi inabidi mfukuze hataka kama ni wako.

lakini alipouliwa wa pili amani ndio ikatawala.
 
Mkuu imekaa vizuri sana
 

Balaa lake sio dogo
Halafu sumu yake inauwa mda mchache sana
Kuna cameraman mmoja alipona kwa sumu yake unaweza kum google
Tena anashambuliwa huku anarekodi

Huyu mbabe kwenye matuta kwa speed huwa anapita juu kwa hiyo usijidanganye ukasema uruke matuta yeye anapita kama anapaa
 
Mzee kuna dawa huwezi amini.
Mimi nilishashudia jamaa amegongwa na huyo kiumbe ila alipona msela.
Dawa zipo ant- venom n.k kitaalam tatizo first aid... Na pia muda wa kufika hospital... Sasa dk kumi tayari unaweza potea...[emoji35][emoji2959]
 
Sorry bro.. kuna spice mbili kma sijakosea kuna meno yanaoondoka na kuna meno yanayo Baki.. reje black mamba kama sijakosea
If an attacker persists, the mamba will strike not once, but repeatedly, injecting large amounts of potent neuro- and cardiotoxin with each strike.



skfull

FYI.
 
Kabla sijafika mbali katika kusoma habari, nilipofika hapo kwenye jina nikamkumbuka chakulia lia Mohamed Said nikaanza kucheka

Ndugu zake Mohamed Said kwenye mambo ya ajabu ajabu kama hayo ya uganga au wizi wizi ni pichu na kota
Unamkosea Mwana Mzizima[emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…