Tabora: Profesa Lipumba anahutubia kwenye Ziara ya Rais Samia kama nani?


Kama mzawa wa Mbokamanyema na Mwinyikiti wa CUF
 
Mbowe alienda juzi Ikulu kama nani.?
Watu wa protokali wakijibu la Lipumba watusaidie kujibu hili pia.!
 
Usijichose bure...ni kazi za kitengoni
 
Yule ni Mzee wa Bahasha Propesa Lipumba. Mwamala ukisoma hana ajizi.
Hahahahaaaa...siku zote hakuna mkate mgumu mbele ya chai, manake hata CDM mwishowe mnatakiwa 'kujua kua hamjui'.... kazi iendelee....
 

Msaliti mkuu wa Chama cha upinzani🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…