Dkt. Gwajima D
Minister
- Nov 28, 2015
- 966
- 6,019
Maoni yako ukitoa umeshikilia hivyo hivyo mtu mstaarabu huyapokea na kupokea siyo kuamua maana unaweza kuyaweka tu PA. Ndiyo ustaarabu wa mijadala na ukomavu, siyo kubishana bishanakama umekiri hilo, inabidi uwachie ngazi.
Umekubali kuwa umeshindwa.
Tunaiga ulaya. Msanii bila kukaa uchi anaonekana mshamba.Tuna sheria na hovyo na kama taifa pia tumefeli pakubwa katika maadili.
Wasani kila siku wanajipost wapo uchi na hakuna hatua inachukuliwa
Tatizo siyo adhabu gani, tatizo, wizara ya ustawi wa jamii ina mikakati ipi, sheria na kanuni zipi kuzuwia hayo yasijitokeze?Sasa ulitaka wapewe adhabu gani zaidi ya hii, hawa tayari ni wahalifu, bora wangejirekodi tuu kuisambaza tena?
Kuwafukuza siyo suluhu watibiwe kisaikolojiaWakuu habari zenu!
Kuna hii taarifa ya hawa watoto wa Shule kufukuzwa huko Tabora, kuna namna sauti inatakiwa kupazwa kutokana na adhabu kubwa waliyopewa ukilinganisha na umri wao, walikuwa na nafasi yakuonywa na kuendelea na masomo ila sio kukatiza mazima.
Wanafunzi wawili wa kike kutoka shule moja ya sekondari mkoani Tabora, wamefukuzwa shule kwa makosa ya kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Gwajima D , amewataka maafisa Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii na maafisa Elimu wote nchini kuimarisha madawati ya ulinzi wa watoto shuleni ili kusaidia kupunguza mmomonyoko wa maadili na ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi.
Soma, Pia:
+ Tabora: Wanafunzi Tabora wakamatwa na simu zaidi 120 zilizoungwa makundi wanayotumia kutumiana picha/video za ngono
Siwezi kukwepa, hilo ni jukumu lao la DxD, ambalo na mimi nimeunga mkono na nawapongeza kwa hatua walizochukua. Na hata kama ni mimi ningeenda nikalikuta bichi live, ningechukua hatua hizo hizo.......Tatizo siyo adhabu gani, tatizo, wizara ya ustawi wa jamii ina mikakati ipi, sheria na kanuni zipi kuzuwia hayo yasijitokeze?
Waziri kaukwepa mpira, kawasukumia tamisemi.
Na ndiyo linaloendeleaKuwafukuza siyo suluhu watibiwe kisaikolojia
Wasanii hawaguswi kwa ile hutumika kwa kampeniTunaiga ulaya. Msanii bila kukaa uchi anaonekana mshamba.
Kuna nyimbo ukiangalia utadhani unaangalia wasanii wa marekani kumbe Tanzania hiihii yetu
Ukweli mchungu ni kwamba maafisa ustawi wapo wachache huko mashuleni walitakiwa wawepo ila ukija kuchunguza kwa ngazi ya wilaya afisa ustawi yupo mmoja ua wawili unafikiri anajigawaje?Hoja ya kufukuzwa na kusoma tumeshaitolea ufafanuzi ila kama unapenda kuweka hivyo unavyoweka nayo haya basi jioni njema
kama umekiri hayo, inabidi uwachie ngazi.Maoni yako ukitoa umeshikilia hivyo hivyo mtu mstaarabu huyapokea na kupoke siyo kuamua maana unaweza kuyaweka tu PA. Ndiyo ustaarabu wa mijadala. Ukomavu, siyo kubishana bishana
Mmhh niliwahi kuona clip sina hakika km ni shule za tz. Wanafunzi wapo darasani, wa kike anamnyonya mwanafunzi wa kiume utupu wake na wanafunzi wengine wapo pamoja na huyo anaerikodi.Mwaka juzi tu hapo ilitokea Benjamin Mkapa palee madenti wakiwekanaa kabisaa yaani sema haikwenda viral kama hii
Hiyo ni zima moto na mwisho wa ubunifu, kuna mipngo gani hayo yasitokee?Kuwafukuza siyo suluhu watibiwe kisaikolojia
Duhkama umekiri hayo, inabidi uwachie ngazi.
Umekubali kuwa umeshindwa.
ingekuona wa maaana japo ungeomba msaada wa mawazo na utendaji. Usifkiri kwa kuwa waziri basi unajuwa kila kitu.
Hoja ya kufukuzwa na kusoma tumeshaitolea ufafanuzi ila kama unapenda kuweka hivyo unavyoweka nayo haya basi jioni njema
Iyo wizara angepewa mtu aliesomea ustawi wa jamii ww umezoea kushika sindano kuna muda unatakiwa kuisoma jamii ili uweze kutatua tatizo na sio kutatua tatizo kwa mihemkoHoja ya kufukuzwa na kusoma tumeshaitolea ufafanuzi ila kama unapenda kuweka hivyo unavyoweka nayo haya basi jioni njema
Toa ushauri nijifunze kwakoHiyo ni zima moto na mwisho wa ubunifu, kuna mipngo gani hayo yasitokee?
Shule ya marekebisho ya tabia za watoto ipo mbeya pale iyo ndio kazi yake badala ya kuwafukuza wangepelekwa pale kurekebishwa behavior na pia huku wakiendelea kusomaToa ushauri nijifunze kwako
Hiyo ni zima moto na mwisho wa ubunifu, kuna mipngo gani hayo yasitokee?
Sasa unataka waziri ndiyo awatafutie wakuwaoa hao masingo maza ama??Wizara yako kazi zake nini? Kulalamika wazazi hawafanyi hiki, hawafanyi kile?
Unaongelea "wazazi" wakati unajuwa nchi ina janga la ma "singo mama"?