Hapana, upeo wako uko finyu sana. Yeye kaongelea "wazazi" wakati uhalisia mitaani huku wanaamini kuna "mzazi".Sasa unataka waziri ndiyo awatafutie wakuwaoa hao masingo maza ama??
Hallelujah!!!
Exactly, na kufanya mikakati ya kuzuwia yasitokee.Kujua ukubwa wa tatizo ndiyo utafiti mkubwa ambao tunapaswa kuufanya. Tunaweza kufukuza wawili, kumbe tuna wengine kibao wajonjwa kisaikolojia, wameoza kabisa.
Kuzoea kutazama picha za ngono tangu wachanga, zinawaathiri kiakili. Wanakuwa wanakinai ngono wakiwa wadogo, maana kila kitu wanaona. Isitoshe kwenye picha hizo kuna pia matendo ya ngono yasiyo ya kawaida ambayo kuwatoa kabisa kwenye dhana nzima ya ngono. Matokeo yake wakiwa wakubwa na kuingia kwenye ndoa hawadumu. Maana tendo ngono limewakihiri, hivyo wanaona hakuna jipya hatimaye mgogoro kwenye ndoa.
Huna hoja, ni wale wale tu.Tulia wewe ajuza
Kama wakisamehewa unazan italeta picha gani kwa wanafunzi ?Mmhh usiseme hivyo kuteleza kupo, pengine wamelishana ujinga tu na kufanya waliyofanya. Mtt kusoma ni haki yake ya msingi.
Kuwafukuza shule pia wakabaki mtaani wanaweza pia kuharibu jamii ya sehemu wanakoishi.
Mkuu watt wetu wanafanya mengi sisi wazazi hatuyajui, hakuna alo salama.
Na ukute kuna chanzo pia cha wao kufanya hivyo, kitafutwe. Unaweza kuta leo wamekamatwa wao kumbe humohumo shuleni mambo maovu yanaendelea
Haikuwa shule za TzMmhh niliwahi kuona clip sina hakika km ni shule za tz. Wanafunzi wapo darasani, wa kike anamnyonya mwanafunzi wa kiume utupu wake na wanafunzi wengine wapo pamoja na huyo anaerikodi.
Nyengine mwalim anasomesha mbele nyuma backbenchers wanatiana bukheri, msichana kakalia ukuni
Point yako ni nini haswa? Singo mama!!!Hapana, upeo wako uko finyu sana. Yeye kaongelea "wazazi" wakati uhalisia mitaani huku wanaamini kuna "mzazi".
Au ni nini maana ya "singo mama"?
Kama ni "singo mama" kuna "wazazi" hapo au kuna mzazi?Point yako ni nini haswa? Singo mama!!!
Hallelujah
St Kayumba unajinyima nini, aacha utani, ukute hata kandambili ni shida kwao.Yaani hawa watoto wetu wamekosa maadili kabisa Yaani sie wazazi tunajinyima mengi ili watoto wasome halafu mwisho wa siku wanatutia aibu!
Hebu kiongozi nisaidie kunitumia hizo picha hapa ili tujaribu kushauriana kama wazazi
Mzazi mpuuz ety watt wamefanya utoto hahaaaHiyo ni adhabu kubwa Kwa watoto
Tushajua ni watoto na walifanya utoto
Wawape adhabu hata ya viboko
Lakini wawape fursa ya kusoma tena
Mtu hubadillika, wanaweza kubadilika na kuwa wema
Sio hekima hiyo kumfukuza mtoto shule
Adhabu hiyo ni ndogo sana. Kama ningepewa nafasi ya kuongoza utunzi wa sheria, kusambaza picha za utupu (zako ama za mtu mwingine) adhabu yake ingekuwa kifo. Kujirekodi ukiwa uchi ni kuchangia mmomonyoko na unakuwa umejikana hata wewe mwenyewe.Wakuu habari zenu!
Kuna hii taarifa ya hawa watoto wa Shule kufukuzwa huko Tabora, kuna namna sauti inatakiwa kupazwa kutokana na adhabu kubwa waliyopewa ukilinganisha na umri wao, walikuwa na nafasi yakuonywa na kuendelea na masomo ila sio kukatiza mazima.
Wanafunzi wawili wa kike kutoka shule moja ya sekondari mkoani Tabora, wamefukuzwa shule kwa makosa ya kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Gwajima D , amewataka maafisa Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii na maafisa Elimu wote nchini kuimarisha madawati ya ulinzi wa watoto shuleni ili kusaidia kupunguza mmomonyoko wa maadili na ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi.
Soma, Pia:
+ Tabora: Wanafunzi Tabora wakamatwa na simu zaidi 120 zilizoungwa makundi wanayotumia kutumiana picha/video za ngono
Hakuna kitabu kilichohalalisha huo usingo mama, waache zinaa na waliopo kwenye ndoa wachunge ndoa zao ili malezi ya watoto yahusishe pande zote mbili(baba na mama).Kama ni "singo mama" kuna "wazazi" hapo au kuna mzazi?