TABORA: Watu 9 wakamatwa kwa tuhuma za mauaji na kuuza viungo vya binadamu, damu ya mtu inauzwa Tsh 600,000

Waganga afrika ndio chanzo cha matatizo yote, thus Ulaya waliwaua wote wakapata Jamii isiyoamini ushirikina kuishi.
Waganga ndio chanzo cha ujambazi, vibaka, makahaba, utengano wa familia, mivurugano yote kwenye Jamii. Hawa watu ni haramu nashangaa anaesapoti uchief zama hizi. Huwezi kupewa uchief kama ujaua sana.
 
... hivi Ulaya na Marekani kuna waganga wa kienyeji hasa wapiga ramli? Ifike mahali itungwe sheria kupiga ramli iwe kosa la jinai! Mpiga ramli/mganga kifungo kisichopungua miaka 10 jela; mpigiwa ramli jela miaka 2.
Ni ngumu kutunga sheria endapo watunga sheria kwa sehemu kubwa ni wateja wa ramli!!
 
... hivi Ulaya na Marekani kuna waganga wa kienyeji hasa wapiga ramli? Ifike mahali itungwe sheria kupiga ramli iwe kosa la jinai! Mpiga ramli/mganga kifungo kisichopungua miaka 10 jela; mpigiwa ramli jela miaka 2.
Nani atunge sheria? Watunge wakati wao ndiyo wateja wao wakubwa ?
 
Lindi hakuna mauaji? Au hakuna waganga?
Waganga wapo ila hawana mambo ya hovyo kiasi hiki.
Imagine umuue mtu kisha damu yake uuze chupa sh.laki sita tu.
Huyo anayeuza laki sita kanunua kwa wauaji ambao sijui walimuuzia sh.laki 3
 
Kuna best yangu alifungua mgahawa, daaaahhh, waliroga mpaka akafulia.
Siku nyingine moto hauwaki mpaka jirani amalize kuhudumia chai ya asubuhi kwa wateja.
Siku nyingine supu aliyopika alfajiri asubuhi anakuta funza ishaharibika
Wasukuma na kanda hizo wanaamini sana mambo hayo.
 
Wasukuma na watu wa kanda hizo acheni ujinga.

Hivi mkiamua kuishi kwa amani kama watu wa Lindi mtapungukiwa nini?
Nakazia hapa....

Walianza vibibi vizee
Maalbino
Sasa nyeti za watu!
 
Waganga wapo ila hawana mambo ya hovyo kiasi hiki.
Imagine umuue mtu kisha damu yake uuze chupa sh.laki sita tu.
Huyo anayeuza laki sita kanunua kwa wauaji ambao sijui walimuuzia sh.laki 3
Sidhani kama unajua unachoongea,
 
Ushirikina na laana zake. Na unakuta watu wazima wanajisifia sababu ya kushiriki au kufanya mambo ya kishirikina. Toka lini uchawi unamsaidia mtu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…