TABORA: Watu 9 wakamatwa kwa tuhuma za mauaji na kuuza viungo vya binadamu, damu ya mtu inauzwa Tsh 600,000

TABORA: Watu 9 wakamatwa kwa tuhuma za mauaji na kuuza viungo vya binadamu, damu ya mtu inauzwa Tsh 600,000

Hiyo ndo njia sahihi,,wakamatwe waganga watataja wanaowatuma kuua
 
Aisee wakatwe pumbu na kuchunwa waone utamu wake. Hao adhabu yao kuwakaanga kwenye mafuta ya moto.
 
Kumbe damu chupa moja ni laki sita haya graduates kujeni hapa Fasta


Mnaweza jikusanya wawili mkajinyonya mkononi na zile sindano kubwa za ng'ombe mkatoa chupa moja mkagawana laki tatu au ukafanya pekee ako
 
Kumbe damu chupa moja ni laki sita haya graduates kujeni hapa Fasta


Mnaweza jikusanya wawili mkajinyonya mkononi na zile sindano kubwa za ng'ombe mkatoa chupa moja mkagawana laki tatu au ukafanya pekee ako
Binadamu si ana lita 2 tu za damu?
 
Kuna best yangu alifungua mgahawa, daaaahhh, waliroga mpaka akafulia.
Siku nyingine moto hauwaki mpaka jirani amalize kuhudumia chai ya asubuhi kwa wateja.
Siku nyingine supu aliyopika alfajiri asubuhi anakuta funza ishaharibika
Ule mji ukiwa pembeni kidogo unaweza kufa na njaa hakuna hata mgahawa wapo wapo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😁😁😁
20220215.jpg
 
Mikoa yote kuna washirikina lakini kanda ya ziwa, hasa maeneo ya usukumani, imani za kishirikina zimezidi sana. Hawa, walio wengi wanauabudu, wanauishi, na wanautumikia ushirikina.

Ukiwa kanda ya Ziwa, hasa maeneo ya wasukuma, ukipata ajali, kama unajimudu, kimbia haraka ukajifiche. Watakuja haraka, usije ukadhani wanakuja kukusaidia. Kama hujiwezi, watakuja kukukata viungo mbalimbali.

Niliwahi kushuhudia huko Kahama, kijiji cha Mbizi, mtoto aliyetoka kumaliza darasa la saba, aliyehisiwa kuiba begi tupu lililoanikwa, akipigwa, baadaye kumbe walimwua, wakamchoma moto. Nilipita sehemu hiyo baadaye wakiwa wamemchoma moto, baada ya muda mfupi, hakuna kiungo kilichosalia, na hata walipomchomea likageuka kuwa shimo maana walibeba majivu, mpaka udongo wa pale walipomchomea. Nikaambiwa kuwa eti mabaki hayo yote yalichukuliwa kwenda kutumika kwenye ushirikina.

Kanda ya Ziwa, bado kuna mambo mengi ya hovyo sana. Ustaarabu wa mwanadamu wa kawaida, kwa walio wengi haupo.

Hatuyasemi haya kwa nia ya kuwadharau bali kuwahamasisha wale waliostaarabika kutoka kanda hiyo, kusaidia kuibadili jamii yao.
Sasa unataka kutuambia yule dada aliemuua mama ake Moshi kwa kushirikiana na mganga nae ni msukuma au ni kutoka kanda ya ziwa!!? Ebu fatilia vizuri visa vya waganga wa kienyeji kabla hujaconclude kiukanda, ushirikina upo maeneo yote primitive na ambayo hayana mchanganyiko mkubwa wa watu. Alaf sometimes link ni kubwa mganga anaweza kuwa wa Tabora wewe kutoka Lindi huko ukaja huku akakutaftia na vijana mtimize kilichokuleta.
 
Ukiambiwa maisha ni mchezo ukubali. Kuwa tajiri sio mchezo, hakika hakuna utajiri kutoka kwa Mungu. Kama unapiga uwe na sababu zilizoshiba. Usitumia Biblia ila tumia ubongo wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom