Tabu ninayopata kutoka kwenye familia yangu

Tabu ninayopata kutoka kwenye familia yangu

Tabu ninayopata kutoka kwenye familia yangu -8
Basi bana usiku ukafika tulitoka tukaenda gesti mbali kidogo na tunapokaa ,tulivyofika tukafanya malipo then tuka choma ndani ,dah kumbe Catherine alikuwa hajawahi kabisa kufanya tendo japo haikuwa rahisi hatimae nilifanikiwa.

Asubuhi ilivyofika Catherine aliongea Mambo mengi sana ,alisema nihakikishe nakuja kumuoa sababu alisema atakae mpa usichana wake ndio mume wake japo dini tulitofautiana lakini siyo shida kwenye mapenzi ya kweli ,basi tokea siku hiyo masomo yalienda tukichoka tulikuwa tunajipooza ila uyu msichana alikuwa yupo vizuri sana kichwani tulikuwa tunasoma wote lakini alikuwa ananiacha mbali sana .

Basi tukaweka mipango ya kuoana baada ya kumaliza chuo ,tuliendelea kusoma mpaka tulivyofika mwaka wa mwisho lakini haikuwa rahisi kufika hapo Kuna muda nilikuwa nakosa ada nasaidiwa na watu wengine kama Dada na mjomba wangu mmoja hivi .

Mwisho wa siku tulifanya mtihani wa mwisho na Kila mtu akarudi kwao .

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app

Muendelezo soma Tabu ninayopata kutoka kwenye familia yangu
Mchai chai

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Tabu ninayopata kutoka kwenye familia yangu -9
Baada ya kuridi nyumbani niliona nirudi kule visiwani nikafanye vishughuli vidogo vidogo wakati huyo nasubili matokeo ,nilifanya kazi ndogo ndogo nikawa natunza pesa kwa sababu nilikuwa Sina matumizi yoyote ,msosi nilikuwa napata kambi ya wavuvi ,baadae matokeo yalitoka tukawa tumefaulu fresh tu japo Mimi nilipata GPA ya gentromeni ila cathe yeye alipata second upper class .

Baada ya matokeo kutoka nikaona niende zangu dar nikatafute vibarua ,badi baba jumla ya fedha niliyotunza ilikuwa kama laki 6 hivi ,nikaanza zangu safari ya kwenda dar ,sehemu ya kufikia kulikuwa na rafiki yangu tulisomaga nae primary nilivyompa mchongo akaniambia nije tu .

Basi jioni nilisogea mwanza mjini pale nyegezi ,kulivyokucha nikapanda gali nakumbuka ilikuwa inaitwa happy national ,yaani hiyo ndio safari yangu ya kwanza ya umbali mrefu ,tulifika dar kwenye saa 2 hivi usiku ,jamaa yangu nikamkuta ubungo ananisubiri ,jamaa akaniambia anapokaa ni mbali inabid tulale pale ubungo stend tutaanza safari kesho asubuhi kukikucha ,tulilala pale mpaka asubuhi baadae tukatembea mpaka darajani tukapanda magali ya mbagara rangi 3 ,tulivyofika mbagara rangi 3 tukapanda magali ya mkuranga, nauli ilikuwa sh 1000 kutoka mbagara mpaka mkuranga .

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app

Muendelezo soma Tabu ninayopata kutoka kwenye familia yangu
Hajasoma huyuu


Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Tabu ninayopata kutoka kwenye familia yangu -15

Boss ;aise Dr yuhu ni Dr samweli tulikuwa nae hapa kwa muda mrefu lakini akawa amepata kazi sehemu nyingine yenye mshahara mkubwa zaidi akawa ameondoka na aliondoka kwa uzuri tu ,Sasa hivi yupo likizo kwa muda wa mwezi mmoja ,Sasa itabidi upokezane nae kwenye shift zako

Asassin Eagle ; ok bosi nimekusikia lakini Mimi Niko hapa nimelidhika na nikipatacho kutoka hapa ,Niko hapa muda wote Sasa nikimpisha jamaa nitadistabu kipato changu tofauti na hapo naona Kuna haja ya kutafuta kazi sehemu ingine ,yaani kunipumzisha jamaa kwenye muda wa likizo wa jamaa sidhani kama ni sawa

Bosi ; basi chagua moja kama kuacha kazi au kumpisha jamaa afanye kazi kwa muda .


Asassin [emoji1659] ;sawa bosi Mimi naona Bora niache kazi ,nilifanya hivyo kwa sababu tayari Nina sehemu ya kujishikiza nikaona sehemu za ubabaishaji zitanipotezea muda


Basi Mimi nikaamua kuondoka zangu ,nikachukua Kila kilicho changu nikasepa , niliendelea kufanya kazi kinondoni wakati huo naendelea kutafuta kazi sehemu ingine

Baadae nikapata kazi mbezi ,nikafanya interview pale ikaonekana Mambo mengi nayamudu ikiwemo swala la uongozi ,bosi akaniambia ,bosi akaniambia nahitaji uwe msimamizi wangu ,watumishi wa hapa ni changamoto wanapenda sana kudokoa dokoa pesa hivyo inahitajika umakini mkubwa ,nikamwambia hakuna shida ila naomba kufanya kazi siku tano ila naomba jumamosi na jumapili nipumzike hapo nilikuwa nalenga kinondoni

Baada ya Mimi kuondoka bunju yule jamaa aliendelea kufanya kazi lakini hata wiki mbili hazikuisha ,akaitajika ofisin kwao kwa kazi ya dharula ,basi jamaa ikabidi arudi kazini kwake pale akawaacha hawana mtu




Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Hii mbezi ni mbezi sehem gan boss.
 
Sasa naielewa, mwanzo nilidhani stori za Pauka pakawa
 
Back
Top Bottom