TACAIDS: Wafadhili wa dawa za kupambana na kuzuia magonjwa nyemelezi ya UKIMWI wamejitoa

Status
Not open for further replies.
Kama aliweza kupeleka ndege Madagascar, hili kwake ni dogo. Hapo South Africaetu kuna pharmacy za watu binafsi wana supply ya moja kwa moja kutoka Ulaya na Marekani.
βœ“[emoji769] Mzungu kakasirika. Afanyi bihashara kichaaa kama mchina anauza dawa kwa South Africa people kwa kujua idadi ya wagonjwa na ndio aliposhikilia rungu la kuziazibu nchi za Africa na sehemu zingine.
 
Hili jambo ni hatari sana

Ukweli ni kwamba hizi ARV zimesaidia sana kupunguza maambukizi hasa kwa sababu watu wanaanza kutumia mapema. Sasa zikikosekana tutaanza kutafutana hapa
βœ“[emoji769] Yaani iyo kauli, baada ya kuongea tuuuu, uwezi kukuta dawa inapatikana kirahisi rahisi itapatikana kwa wenye fedha zao tuuu na viongozi, maaskari na madaktari. Hiii itakuwa dawa kupatikana kama dawa za kulevya
 
Zile Bilioni 27,mlizoomba EU zilikuwa za nini km kweli mna huo uwezo?.
 
Magufuli oyeeee
 
MATAGA wanafikiri CHADEMA ndio watadhurika, kumbe nao ndio watumiaji wakubwa ARV .
 
Hali ikoje huko field mkuu?

Hali ni njema ila sehemu kubwa ya Dawa hizi hupatikani kupitia mifuko ya wahisani kama hao USAIDS na UK AIDS na mashirika mengine. Sasa kama wahisani wanajitoa unadhani itakuwaje juu ya upatikanaji wa dawa Mkuu. Na kuna kipindi baadhi ya wagonjwa walikuwa wanakosa hizi za dawa za magonjwa nyemelezi na baadhi uwezo wao kifedha haukua mzuri kitu kilichopelekea baadhi ya wagonjwa kutoonekana tena kwenye vituo kuja kuchukua dawa ambayo inaacha maswali labda huyu mtu alivuta au alihama kituo.
Lakini hoja yangu hasa ni kwamba, wahisani hawa tunaowaita mabeberu wamekuwa msaada mkubwa sana kwa jamii yetu hasa watu wanao ishi na VVU. Sasa hizo dawa zikianza kukosekana kwa msaada maana yake anapaswa ajinunulie mwenyewe. Ni changamoto kubwa sana na ukizingatia watu hawa baadhi yao Afya zao zinakuwa zimedhoofika hata kazi za kujiingizia mia mbili mia tatu wengine wanakuwa hawawezi . Mungu aibariki Tanzania na viongozi wake.
 
Hatuwezi kupoteza utu wa wananchi wetu kisa misaada, Tz ni nchi huru hatujawahi kushindwa ktk vita yoyote, wapeleke kule misaada yao!
 
Anafikiri kila mtu mwenye VVU alijitakia kwa ngono zembe. Wengine maskini hata hatia hawana wamezaliwa tu wanayo. Alafu mtu anakuja kuongea ugoro huku bila kufanya uchunguzi
 
Hii habari njema, UKIMWI ulijisahau umezoeleka sana... endeleeni tu kusafisha mitaro na kujivunia vumbi la Kongo!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…