Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

Sisi CHADEMA tunataka mikataba yote ya ilioingiwa na Serikali ya CCM iwekwe wazi tuikajidili na tunawaomba Watanzania wa Dini zote watuamini ili tuionoe CCM na majizi yake Madarakani
 
Serikali ni Dubwana kubwa sana kuliko issue hii ya Bandari. !!

Tusubiri tuone. !!
Ukisoma Katiba utajua serikali inapata wapi madaraka yake. Kasome uelewe acha myopic vision na kuongea abstracts kwenye mambo yaliyopo dhahiri!
 
Jibu maswali yangu kabla hujauliza yako na nitayajibu usikaze fuvu! Kila topic ma muda wake! Mambo ya mbona huwa yanawaingiza wapumbavu wengi matatani kama wewe.
Hebu niwekee hilo tamko nijiridhishe
 
Kama TEC wana ubavu mbona kwa Magufuli walinywea.
Askofu Severine Niwemugizi mmoja tu alimtosha Magufuli. Jiwe lilitaka kumwondosha Baba Askofu kinyume chake likondoshwa lenyewe, na Baba Askofu akaongoza ibada ya mazishi ple Chato. Hawa watu msiwachukulie poa.
 
Sisi CHADEMA tunataka mikataba yote ya ilioingiwa na Serikali ya CCM iwekwe wazi tuikadili na tunawaomba Watanzania wa Dini zote watuamini ili tuionoe CCM na majizi yake Madarakani
Wewe ni msemaji au Kamati kuu ya chadema au karibu wa chadema. Lini mlikaa na mkatoa Hilo azimio na mnalilekeza Kwa nani na Kwa sheria ipi ya mikataba! Hujui unenalo
 
Askofu Severine Niwemugizi mmoja tu alimtosha Magufuli. Jiwe lilitaka kumwondosha Baba Askofu kinyume chake likondoshwa lenyewe, na Baba Askofu akaongoza ibada ya mazishi ple Chato. Hawa watu msiwachukulie poa.
Hawajui au hawana kumbukumbu au wanajitoa ufahamu
 
Sisi wanaCHADEMA wa Mitandaoni
Wewe ni msemaji au Kamati kuu ya chadema au karibu wa chadema. Lini mlikaa na mkatoa Hilo azimio na mnalilekeza Kwa nani na Kwa sheria ipi ya mikataba! Hujui unenalo
 
Wewe huna msimamo na hauelewi usimamie nini na usimamie wapi. Hofu yako na uoga wako usitake kuwapa na kuwaambukiza wengine,. Wewe simama mwenyewe na uoga wako. Usikitishe chama wala serikali.serikali itaendelea kuongoza nchi kwa mujibu wa katiba nasiyo kwa mujibu wa nyaraka. Ukiwa mtu wa hofu na uoga lazima uwe na unafiki ndani yako na kutaka watu wote wawe wanafiki kama wewe.

Nitaendelea kusimama upande wa Rais samia , serikali ,chama na Taifa langu kwa kuwa huo ndio upande ambao muda wote na wakati wote ambao Rais samia amekuwa akipigania kuhakikisha kuwa Taifa hili linasonga mbele na kupiga hatua za kimaendeleo.

Watu aina yako wanaopenda kuambukiza hofu kwa watu wengine huwa ni wengi na hawakosekani katika jamii. Muoga hufa mara nyingi lakini jasiri hufa mara moja tuu.wewe ni muoga na hivyo lazima uwe mnafiki.
 
Rejea waraka wa sasa umeainisha nyaraka walizotoa kipindi cha Mkapa na kipindi cha Magufuli. Kipindi cha Magu walimgomea kuendesha ibada kiholela hadi Askofu Niwemugizi akafunga ibada kwa muda usiojulikana.
Kama TEC wana ubavu mbona kwa Magufuli walinywea.
 
Ni ujinga uliotukuka kulinganisha Chama cha Siasa na Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😄😄

Wanaccm Wote leo wamehudhuria Kanisani utadhani kulikuwa na Posho kama kwenye vikao Vya Uchawa na tulikuwa Wapole haswa bora utengwe na Chama Lakini siyo Dhehebu lako 😂🔥
comte naye aliinga misa leo?😅
 
TEC watumie busara zaidi maana hiki chama chakavu hakikawii kuwaita BAKWATA ili mgogoro wa kuligawa Taifa uanze.

Kuna kundi la UVCCM linawakusanya Mashehe huku TMK ni kusambaza sumu za Udini

Umoja wetu wa Kitaifa ni TUNU ya kujivunia.
wawakusanye kujibu hoja, wakija kivingine ndio itasaidia anguko la chama dola
 
Una nukuu yoyote kwamba kardinali pengo alitangaza kutokumuunga mkono Niwemugizi?
Je unajua Kwamba Tanzania Askofu wa kanisa Katoliki hawajibiki wa askofu mwenzie? Kwamba hakuna askofu mkuu wa Kanisa Katoliki Tanzania? Ila Kuna Rais wa Baraza La Maaskofu ambao ni conference ya maaskofu wote wakuu na waisaidiz? Unajua Kwamba mamlaka ya uteuzi na nidhamu ya askofu ni Vatican na Sio Kurasini?
Unajua Kwamba Cardinal ni cheo au hadhi anayopewa askofu na Pope kutoka Vatican? Kama hujui yote haya huna haja ya kusema Pengo asipounga mkono ni Nul and void. Kichwa kitumilke vizuri
Lakini Niwemugizi hakuungwa mkono na Kadinali Pengo
Nak
 
Back
Top Bottom