Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisoma Katiba utajua serikali inapata wapi madaraka yake. Kasome uelewe acha myopic vision na kuongea abstracts kwenye mambo yaliyopo dhahiri!Serikali ni Dubwana kubwa sana kuliko issue hii ya Bandari. !!
Tusubiri tuone. !!
Hebu niwekee hilo tamko nijiridhisheJibu maswali yangu kabla hujauliza yako na nitayajibu usikaze fuvu! Kila topic ma muda wake! Mambo ya mbona huwa yanawaingiza wapumbavu wengi matatani kama wewe.
Askofu Severine Niwemugizi mmoja tu alimtosha Magufuli. Jiwe lilitaka kumwondosha Baba Askofu kinyume chake likondoshwa lenyewe, na Baba Askofu akaongoza ibada ya mazishi ple Chato. Hawa watu msiwachukulie poa.Kama TEC wana ubavu mbona kwa Magufuli walinywea.
Wewe ni msemaji au Kamati kuu ya chadema au karibu wa chadema. Lini mlikaa na mkatoa Hilo azimio na mnalilekeza Kwa nani na Kwa sheria ipi ya mikataba! Hujui unenaloSisi CHADEMA tunataka mikataba yote ya ilioingiwa na Serikali ya CCM iwekwe wazi tuikadili na tunawaomba Watanzania wa Dini zote watuamini ili tuionoe CCM na majizi yake Madarakani
Hawajui au hawana kumbukumbu au wanajitoa ufahamuAskofu Severine Niwemugizi mmoja tu alimtosha Magufuli. Jiwe lilitaka kumwondosha Baba Askofu kinyume chake likondoshwa lenyewe, na Baba Askofu akaongoza ibada ya mazishi ple Chato. Hawa watu msiwachukulie poa.
Wewe ni msemaji au Kamati kuu ya chadema au karibu wa chadema. Lini mlikaa na mkatoa Hilo azimio na mnalilekeza Kwa nani na Kwa sheria ipi ya mikataba! Hujui unenalo
Wazungu ! Wazungu ! Waarabu waarabu. !! Msamiati mpya !!View attachment 2722850
Nyara za Nchi zinavunwa na Wazungu hivi sasa tunavyoongea TEC wamejifungia nyuma ya majoho mbona hatusikii wakiijadili?
Lakini Niwemugizi hakuungwa mkono na Kadinali PengoAskofu Severine Niwemugizi mmoja tu alimtosha Magufuli. Jiwe lilitaka kumwondosha Baba Askofu kinyume chake likondoshwa lenyewe, na Baba Askofu akaongoza ibada ya mazishi ple Chato. Hawa watu msiwachukulie poa.
Umejibu swali nililokuuliza au umejibu tu ilimradi na wewe uonekane upo na ujinga wako uwe dhahiriSisi wanaCHADEMA wa Mitandaoni
Kama TEC wana ubavu mbona kwa Magufuli walinywea.
Ngoja Tusubiri Tujifunze Tusiyoyajua ! Ndio uzuri wa jf !Ukisoma Katiba utajua serikali inapata wapi madaraka yake. Kasome uelewe acha myopic vision na kuongea abstracts kwenye mambo yaliyopo dhahiri!
Tulikuwa tumezowea kusikia Wanyarwanda! Wanyarwanda! ngoja nasi tupumzike😁Wazungu ! Wazungu ! Waarabu waarabu. !! Msamiati mpya !!
Ngoja tuone !
Mbona Pengo alimsapoti Magufuli?Niwemugizi
comte naye aliinga misa leo?😅Ni ujinga uliotukuka kulinganisha Chama cha Siasa na Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😄😄
Wanaccm Wote leo wamehudhuria Kanisani utadhani kulikuwa na Posho kama kwenye vikao Vya Uchawa na tulikuwa Wapole haswa bora utengwe na Chama Lakini siyo Dhehebu lako 😂🔥
wawakusanye kujibu hoja, wakija kivingine ndio itasaidia anguko la chama dolaTEC watumie busara zaidi maana hiki chama chakavu hakikawii kuwaita BAKWATA ili mgogoro wa kuligawa Taifa uanze.
Kuna kundi la UVCCM linawakusanya Mashehe huku TMK ni kusambaza sumu za Udini
Umoja wetu wa Kitaifa ni TUNU ya kujivunia.
NakLakini Niwemugizi hakuungwa mkono na Kadinali Pengo
Lakini Niwemugizi hakuungwa mkono na Kadinali Peng
Kwenye swala la COVID?Mbona Pengo alimsapoti Magufuli?