Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

Serikali ya CCM itawapangua TEC kisayansi hamtaamini. Wewe mkuu wa wachawi utashangaa Padri Kitime anafanya Press ya kusifu DP World.
Hebu tuupe muda wakati
9c8253f5f8dcda5189edb036342db1c1.jpg
 
Hao watu mnawapa vichwa sana!! Hivi kama wana upekee huo wangekula pesa za escrow?
 
Nao wana akili
Waraka imesababisha aende Kanisani akidhani watamwogopa, naye kapewa waraka ausome!!!

Sijui Ile kauli ya " Nyooka naye" ataitumia Kwa tech?

RUSHWA Kweli hupofusha ufahamu!!!!
 
Ni ujinga uliotukuka kulinganisha Chama cha Siasa na Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😄😄

Wanaccm Wote leo wamehudhuria Kanisani utadhani kulikuwa na Posho kama kwenye vikao Vya Uchawa na tulikuwa Wapole haswa bora utengwe na Chama Lakini siyo Dhehebu lako 😂🔥
Na huko Kanisani Mmepewa Waraka msome nyinyi wenyeweeeee Vijana wa LUMUMBA STREET ili Sindano ikite kwenye mfupa.
 
Wito wangu ni kuwasihi wasomi na wataalamu wa diplomasia & siasa ndani ya chama na serikali kukaa chini na TEC ili kumalizana nao. Kama kuna mbinu nyingine ambazo sio za kidiplomasia lakini zinaweza kutuliza hali ya hewa nazo pia zitumike.!

Hili bungo litemeni yataisha
Nilikuwa naskiaga ile kauli ya CCM wameshikwa pabaya ila huwa napuuza ila hii ngoma ya leo ni extra vaganza 🤣🤣🤣
 
Kumbe ile safari ya Slaa kwenda Ujerumani kusomea Uraisi ilikuwa imedhaminiwa na TEC?
 
At
Kwa dhati kabisa ninawasihi wanaCCM tusije tukafanya kosa la kuwafananisha TEC na CHADEMA. Nimeona uzi wa ndugu Sir John Roberts akidai wanaCCM tuachiwe TEC kukabiliana nao. Naheshimu mawazo yake kama mwanaCCM mwenzangu ila siungi mkono hoja yake kwa 100%. Sir John labda haijui kiundani TEC akadhani nao pia watajibiwa kirahisi kama tunavyowajibu chama cha Mbowe.

Kanisa katoliki kama ilivyo CCM nalo limeenda hadi ngazi ya shina.. na linaongoza kwa kuwa na waumini wengi zaidi hapa nchini na duniani kwa ujumla. Wanaposema waraka wao utasomwa kwenye jumuiya ina maana hadi wananchi wa vijiji vya ndani huko Buhigwe au Kalambo wataamshwa usingizini. CHADEMA wao mambo yao huishia tu mijini na Twitter kwahiyo damage yao ni ndogo kulinganisha na hiki wanachofanya TEC.

Kingine kinachoogopesha ni hii tabia ya wakatoliki kuwa wakimya. Mapadre na maaskofu ni wasomi ambao tangu shuleni walikuwa ni vipanga yaani hawabahatishi. Wao wakishasema lao huwa hawahagaiki sana kubishana kitu kinachotia hasira mno. Ingekuwa CHADEMA hadi muda huu ungekuta Lema au Heche kashajitokeza na kuropoka pumba. Sasa hao TEC toka Padre Kitime aongee sijasikia kiongozi mwingine yeyote akiongea. Ni watu hatari. Hata tukisema CCM tuishambulie TEC kwa maneno bado itakua sawa na kujishambulia wenyewe kwasababu kuna wanaCCM wengi ambao ni wakatoliki. Kutakuwa na upinzani wa ndani.

Ikumbukwe pia hawa TEC hadi kutamka tayari wana mawasiliano na kiongozi wao mkubwa yaani Papa. Kwa msiojua nguvu ya papa mkasome kisa cha Papa Gregory VI na King Henry IV ndo mtaelewa vizuri. Mfalme alikalishwa kwenye baridi siku 3 akisubiri kuonana na papa amwombe msamaha. Haikuwa poa. Katoliki pia limekuwa likihusishwa na siasa za nchi nyingi duniani. Kwenye story ya vita ya Biafra huko Nigeria hili kanisa lilitajwa kufadhili waasi.

Wito wangu ni kuwasihi wasomi na wataalamu wa diplomasia & siasa ndani ya chama na serikali kukaa chini na TEC ili kumalizana nao. Kama kuna mbinu nyingine ambazo sio za kidiplomasia lakini zinaweza kutuliza hali ya hewa nazo pia zitumike.
At least umeongea jambo la msingi.!! Jambo kubwa ni kutowaona TEC kama CDM, au WADINI au WASIOJUA MKATABA UNASEMA NINI. Kimsingi hoja zijibiwe kwa umakini
 
Kuna watu watabisha. Ila ukweli ndiyo huo. Kanisa Katoliki ni litaasisi likubwa sana duniani. Tena bora hata siku hizi limepungua nguvu.

Miaka ya Middle Ages lilikuwa na uwezo wa kumuondoa Mfalme wa nchi yoyote ile duniani, anaye enda kinyume na matakwa ya Kanisa.
Ogopa taasis ambayo ime exist karibia miaka 2000
 
Wewe huna msimamo na hauelewi usimamie nini na usimamie wapi. Hofu yako na uoga wako usitake kuwapa na kuwaambukiza wengine,. Wewe simama mwenyewe na uoga wako. Usikitishe chama wala serikali.serikali itaendelea kuongoza nchi kwa mujibu wa katiba nasiyo kwa mujibu wa nyaraka. Ukiwa mtu wa hofu na uoga lazima uwe na unafiki ndani yako na kutaka watu wote wawe wanafiki kama wewe.

Nitaendelea kusimama upande wa Rais samia , serikali ,chama na Taifa langu kwa kuwa huo ndio upande ambao muda wote na wakati wote ambao Rais samia amekuwa akipigania kuhakikisha kuwa Taifa hili linasonga mbele na kupiga hatua za kimaendeleo.

Watu aina yako wanaopenda kuambukiza hofu kwa watu wengine huwa ni wengi na hawakosekani katika jamii. Muoga hufa mara nyingi lakini jasiri hufa mara moja tuu.wewe ni muoga na hivyo lazima uwe mnafiki.
😅😅🙏🙏
 
Kwa dhati kabisa ninawasihi wanaCCM tusije tukafanya kosa la kuwafananisha TEC na CHADEMA. Nimeona uzi wa ndugu Sir John Roberts akidai wanaCCM tuachiwe TEC kukabiliana nao. Naheshimu mawazo yake kama mwanaCCM mwenzangu ila siungi mkono hoja yake kwa 100%. Sir John labda haijui kiundani TEC akadhani nao pia watajibiwa kirahisi kama tunavyowajibu chama cha Mbowe.

Kanisa katoliki kama ilivyo CCM nalo limeenda hadi ngazi ya shina.. na linaongoza kwa kuwa na waumini wengi zaidi hapa nchini na duniani kwa ujumla. Wanaposema waraka wao utasomwa kwenye jumuiya ina maana hadi wananchi wa vijiji vya ndani huko Buhigwe au Kalambo wataamshwa usingizini. CHADEMA wao mambo yao huishia tu mijini na Twitter kwahiyo damage yao ni ndogo kulinganisha na hiki wanachofanya TEC.

Kingine kinachoogopesha ni hii tabia ya wakatoliki kuwa wakimya. Mapadre na maaskofu ni wasomi ambao tangu shuleni walikuwa ni vipanga yaani hawabahatishi. Wao wakishasema lao huwa hawahagaiki sana kubishana kitu kinachotia hasira mno. Ingekuwa CHADEMA hadi muda huu ungekuta Lema au Heche kashajitokeza na kuropoka pumba. Sasa hao TEC toka Padre Kitime aongee sijasikia kiongozi mwingine yeyote akiongea. Ni watu hatari. Hata tukisema CCM tuishambulie TEC kwa maneno bado itakua sawa na kujishambulia wenyewe kwasababu kuna wanaCCM wengi ambao ni wakatoliki. Kutakuwa na upinzani wa ndani.

Ikumbukwe pia hawa TEC hadi kutamka tayari wana mawasiliano na kiongozi wao mkubwa yaani Papa. Kwa msiojua nguvu ya papa mkasome kisa cha Papa Gregory VI na King Henry IV ndo mtaelewa vizuri. Mfalme alikalishwa kwenye baridi siku 3 akisubiri kuonana na papa amwombe msamaha. Haikuwa poa. Katoliki pia limekuwa likihusishwa na siasa za nchi nyingi duniani. Kwenye story ya vita ya Biafra huko Nigeria hili kanisa lilitajwa kufadhili waasi.

Wito wangu ni kuwasihi wasomi na wataalamu wa diplomasia & siasa ndani ya chama na serikali kukaa chini na TEC ili kumalizana nao. Kama kuna mbinu nyingine ambazo sio za kidiplomasia lakini zinaweza kutuliza hali ya hewa nazo pia zitumike.
Wewe ndio unaiogopa TEC. Haina meno wala nini. Ebu nikuulize, TEC ipo yangu wakati wa Uhuru. Kipi imewahi kufanya nchi hii? Pia ukumbuke, sisi waumini wao tuliosomewa Leo Waraka ni baadhi yetu ni Wana CCM na wengine ni Watumishi wa Serikali hii hii ambayo inawapa mishahara ambayo wanaenda kutoa sadaka na zaka mbalimbali kuanzia Jumuiya hadi Jimboni hapo sijazungumzia michango ya ujenzi wa makanisa na magari ya Mababa Mapadre. Unafikiri sisi waumini tukiambiwa tuchangue, tutamchagua nani hapo? Akili mkichwa!
 
Back
Top Bottom