Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

Ili kutuliza waraka NI vyema IGP akatangaza kesi ya uhaini kwa Maaskofu wote wakatoliki. Hapo Wana CCM watafurahi Sana. Na kuendelea na kale kamsemo ka Ana ubutua mwingi.
 
Mashehe hawana madhara.
Wale wenye ushawishi Mkuu kabisa katika hii Dunia waende wakavisimamishe vita vya Ukraine na Russia maana hivyo vita vinaiangamiza Dunia kama wanaushawishi kweli kama tunaofahamishwa !!
 
Ukimya wa Kadinali Pengo kwenye sakata la Niwemugizi lilikuwa tosha wewe ni mtu mzima lazima uelewe
Hivi navyokufafanulia mambo na navyokuuliza maswali huwa unasoma kwanza na kujiridhisha?
Cardinali Pengo alikua askofu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam! Hilo ndio eneo lake la utawala sio Tanzania! Ukiijua hivyo inakutosha kuwa mwelewa kwamba he had nothing to do whether to speak or not 🚫..
Nilikuuliza Cardinal wa sasa Hapa Tanzania unamjua
Anaitwa Laurianne Rugambwa na hayuko dar na hutamsikia kama unavyomsikia Kitima au Rwaichi. Akili unapeleka wapi imhotep
 
Ili kutuliza waraka NI vyema IGP akatangaza kesi ya uhaini kwa Maaskofu wote wakatoliki. Hapo Wana CCM watafurahi Sana. Na kuendelea na kale kamsemo ka Ana ubutua mwingi.
Aunganishe na Mapandre wote waliousoma na waumini waliosikiliza mana IGP et al akili ziko Lumumba
 
Hivi navyokufafanulia mambo na navyokuuliza maswali huwa unasoma kwanza na kujiridhisha?
Cardinali Pengo alikua askofu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam! Hilo ndio eneo lake la utawala sio Tanzania! Ukiijua hivyo inakutosha kuwa mwelewa kwamba he had nothing to do whether to speak or not 🚫..
Nilikuuliza Cardinal wa sasa Hapa Tanzania unamjua
Anaitwa Laurianne Rugambwa na hayuko dar na hutamsikia kama unavyomsikia Kitima au Rwaichi. Akili unapeleka wapi imhotep
Pengo hakuwa kimya, alisema 12.6.2023
 
Umeshaambiwa TEC hawana maneno mengi, wakishasema lao wamemaliza, nyie nunuaneni huko Temeke kama mafungu ya nyanya mseme mtakalo, hamna madhara yoyote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu habari yako
 
Si mlisema TEC ni akina nani hapa nchini
Na wana nguvu gani hapa nchini
 
Back
Top Bottom