Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Mo vayolensi to come [emoji3]Nilikuwa naskiaga ile kauli ya CCM wameshikwa pabaya ila huwa napuuza ila hii ngoma ya leo ni extra vaganza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mo vayolensi to come [emoji3]Nilikuwa naskiaga ile kauli ya CCM wameshikwa pabaya ila huwa napuuza ila hii ngoma ya leo ni extra vaganza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wale wenye ushawishi Mkuu kabisa katika hii Dunia waende wakavisimamishe vita vya Ukraine na Russia maana hivyo vita vinaiangamiza Dunia kama wanaushawishi kweli kama tunaofahamishwa !!Mashehe hawana madhara.
Hivi navyokufafanulia mambo na navyokuuliza maswali huwa unasoma kwanza na kujiridhisha?Ukimya wa Kadinali Pengo kwenye sakata la Niwemugizi lilikuwa tosha wewe ni mtu mzima lazima uelewe
Wassira asiijue TEC?Nape, Mbarawa, Maza, makamba, Mwigulu Wassira na Kinana hawajui TEC!!!
Hiyo ni zaidi ya CCM!!
Aunganishe na Mapandre wote waliousoma na waumini waliosikiliza mana IGP et al akili ziko LumumbaIli kutuliza waraka NI vyema IGP akatangaza kesi ya uhaini kwa Maaskofu wote wakatoliki. Hapo Wana CCM watafurahi Sana. Na kuendelea na kale kamsemo ka Ana ubutua mwingi.
Pengo hakuwa kimya, alisema 12.6.2023Hivi navyokufafanulia mambo na navyokuuliza maswali huwa unasoma kwanza na kujiridhisha?
Cardinali Pengo alikua askofu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam! Hilo ndio eneo lake la utawala sio Tanzania! Ukiijua hivyo inakutosha kuwa mwelewa kwamba he had nothing to do whether to speak or not 🚫..
Nilikuuliza Cardinal wa sasa Hapa Tanzania unamjua
Anaitwa Laurianne Rugambwa na hayuko dar na hutamsikia kama unavyomsikia Kitima au Rwaichi. Akili unapeleka wapi imhotep
Mshana JR unakumbuka wale wa Gambosh waliapa atakayempinga Magufuli watamuua Mungu akqfanya versa vis! Hawa Wa Tulia sijui kama wamejufunza Jambo! Mabukusi ametisha sanaNao wana akili
Siyo kweli kuna watu kwenye hilo kundi hawataongea tena baada ya ule waraka.Nape, Mbarawa, Maza, makamba, Mwigulu Wassira na Kinana hawajui TEC!!!
Hiyo ni zaidi ya CCM!!
Wacha fujo chifu. HahahahMkuu kanisani wanaenda wanafiki mie mungu wangu yuko popote, sijaenda na huwa siendi
We CCM huijui na hutaijua kama ilivyo haikujui! We andika sababu tu simu unayoCCM haiwezi kutishwa na maaskofu wewe tulia tukuoneshe hii michezo hapa ndio nyumbani.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
TEC wengi wao walikuwa wana msupport JPM ukimtoa Askofu Niwemugizi.Kama TEC wana ubavu mbona kwa Magufuli walinywea.
SacarcismMkuu umesahau kuandika namba yako ya simu kwenye hii comment. Pia umesahau kusema wewe ni kijana mzalendo unayeipenda nchi yako.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeshaambiwa TEC hawana maneno mengi, wakishasema lao wamemaliza, nyie nunuaneni huko Temeke kama mafungu ya nyanya mseme mtakalo, hamna madhara yoyote.
Tunazungumzia huku mitandaoni tu usipate hofu hakuna wa kuishurutisha serikali ya CCM zaidi ya wana CCM.Watu mnazungumza duu!!! Mpaka nasisimka aisee
hatari.
Ngoja tuoneWe CCM huijui na hutaijua kama ilivyo haikujui! We andika sababu tu simu unayo