Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

Nimekuelewa sana umewaza mbali ila sikio la kufa halisikii dawa Ccm ni majeuri, vig'ang'anizi, wapumbavu wasiowaza kesho wao ni tumbo na familia zao hawataki kuwaza utajili wa Mobutu Seseseko ulikoishia mbali na kujitangazia kijiji chache ambacho sasa ivi ni hame. Acha waendelee kudharau ili TEC itusaidie kuondoa awa wezi madarakani.
hawajui hata kuangalia tu hata ile airport ya chato kama hakuna ndege inayodondoka ila ndege za kichawi. kama kijiji cha mobutu tu. they never learn.
 
Mbona kipindi cha Magufuli aliwaficha wote hakuna aliefurukuta
Huna kumbu kumbu au umejitoa ufahamu au hujui! Kaulize aliyeweka udongo wa kwanza kwenye shimo la magufuli ni nani na ilikuaje wakati wa utawala wa Magufuli! Magufuli alifeli zaidi alipojaribu kulinyooshea kidole kanisa
 
TEC watumie busara zaidi maana hiki chama chakavu hakikawii kuwaita BAKWATA ili mgogoro wa kuligawa Taifa uanze.

Kuna kundi la UVCCM linawakusanya Mashehe huku TMK ni kusambaza sumu za Udini

Umoja wetu wa Kitaifa ni TUNU ya kujivunia.
Acha umoja ufe lakini bandari zisiuzwe
 
August Imekuwa Ngumu Na Chungu Hasa Kuhusu Dubai Port World
Tutaficha Wapi Sura Zetu, Ila Sasa Jambo Limezua Jambo
Magazeti Hayajaandika Lolote Kuhusu Waraka Wa TEC

Sasa TEC Wenyewe Wameupeleka Huo Waraka Sehemu Ambako Gazeti Haliwezi Kufika
Na Endapo Gazeti Likifika Ni Baada Ya Mwezi Na Wananchi Hawawezi Kulinunua
TEC Wao Wana Vishwambi Wamerushiana Tanzania Yote Haa Haa
 
TEC watumie busara zaidi maana hiki chama chakavu hakikawii kuwaita BAKWATA ili mgogoro wa kuligawa Taifa uanze.

Kuna kundi la UVCCM linawakusanya Mashehe huku TMK ni kusambaza sumu za Udini

Umoja wetu wa Kitaifa ni TUNU ya kujivunia.
Hakuna umoja wa kitaifa unaweza kusimamiwa na chama kilichoko madarakani kwa wizi wa kura.
 
Kingine kinachoogopesha ni hii tabia ya wakatoliki kuwa wakimya. Mapadre na maaskofu ni wasomi ambao tangu shuleni walikuwa ni vipanga yaani hawabahatishi. Wao wakishasema lao huwa hawahagaiki sana kubishana kitu kinachotia hasira mno.[emoji419][emoji375]
The venom power of being silent!
Tha tha tha tha tha tha tha tha hahahahha nimekufa alafu nikafa tena nacheka kama mazuri nakumbuka kuna taasisi imejenga pembezoni mwa Kanisa, mdomo koma kaa kimya utaniponza😉😉🤣🤣🤐
 
Wamefadhili Hadi waasi na watu wanafurahia... interesting
 
Back
Top Bottom