Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

Huna kumbu kumbu au umejitoa ufahamu au hujui! Kaulize aliyeweka udongo wa kwanza kwenye shimo la magufuli ni nani na ilikuaje wakati wa utawala wa Magufuli! Magufuli alifeli zaidi alipojaribu kulinyooshea kidole kanisa
Hakuna lolote,walikaa kimya,wengine walinyang'anywa password
 
Lakini tahadhari zangu tusikubali Wanasiasa watugawe kwa misingi ya Dini kanda kabila ect..
TEC sio chama cha siasa, na wala suala la bandari sio la kisiasa. Hapo wanatugawa vipi? TEC wametekeleza wajibu wao wa kulinda rasilimali za nchi. Hao wanaotumika na wanasiasa acha waendelee kutumika maana hatuna jinsi.
 
Hakuna lolote,walikaa kimya,wengine walinyang'anywa password
Kwanza kimsingi kanisa halipambani kwa silaha wala mabavu, bali kwa hoja, na Magufuli hakuwa na hoja bali mlevi wa madaraka. Na kama huamini tuambie yuko wapi leo hii na kile kiburi chake cha madaraka?
 
hii nchi ikivurugika wa kulaumiwa ni yule anayelazimisha mkataba huu, kwasababu watu wanasema yeye hasikii. naogopa sipendi yatokee na Mungu aingilie kati. kama vipi Mungu atuondolee tu hao viongozi wa ajabu ajabu ili tubaki na wenye uzalendo na watakaowasikiliza wananchi. hayo ni maombi yangu.
Nchi haivurugiki kwa tamko la maaskofu wewe

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Kwa dhati kabisa ninawasihi wanaCCM tusije tukafanya kosa la kuwafananisha TEC na CHADEMA. Nimeona uzi wa ndugu Sir John Roberts akidai wanaCCM tuachiwe TEC kukabiliana nao. Naheshimu mawazo yake kama mwanaCCM mwenzangu ila siungi mkono hoja yake kwa 100%. Sir John labda haijui kiundani TEC akadhani nao pia watajibiwa kirahisi kama tunavyowajibu chama cha Mbowe.

Kanisa katoliki kama ilivyo CCM nalo limeenda hadi ngazi ya shina.. na linaongoza kwa kuwa na waumini wengi zaidi hapa nchini na duniani kwa ujumla. Wanaposema waraka wao utasomwa kwenye jumuiya ina maana hadi wananchi wa vijiji vya ndani huko Buhigwe au Kalambo wataamshwa usingizini. CHADEMA wao mambo yao huishia tu mijini na Twitter kwahiyo damage yao ni ndogo kulinganisha na hiki wanachofanya TEC.

Kingine kinachoogopesha ni hii tabia ya wakatoliki kuwa wakimya. Mapadre na maaskofu ni wasomi ambao tangu shuleni walikuwa ni vipanga yaani hawabahatishi. Wao wakishasema lao huwa hawahagaiki sana kubishana kitu kinachotia hasira mno. Ingekuwa CHADEMA hadi muda huu ungekuta Lema au Heche kashajitokeza na kuropoka pumba. Sasa hao TEC toka Padre Kitime aongee sijasikia kiongozi mwingine yeyote akiongea. Ni watu hatari. Hata tukisema CCM tuishambulie TEC kwa maneno bado itakua sawa na kujishambulia wenyewe kwasababu kuna wanaCCM wengi ambao ni wakatoliki. Kutakuwa na upinzani wa ndani.

Ikumbukwe pia hawa TEC hadi kutamka tayari wana mawasiliano na kiongozi wao mkubwa yaani Papa. Kwa msiojua nguvu ya papa mkasome kisa cha Papa Gregory VI na King Henry IV ndo mtaelewa vizuri. Mfalme alikalishwa kwenye baridi siku 3 akisubiri kuonana na papa amwombe msamaha. Haikuwa poa. Katoliki pia limekuwa likihusishwa na siasa za nchi nyingi duniani. Kwenye story ya vita ya Biafra huko Nigeria hili kanisa lilitajwa kufadhili waasi.

Wito wangu ni kuwasihi wasomi na wataalamu wa diplomasia & siasa ndani ya chama na serikali kukaa chini na TEC ili kumalizana nao. Kama kuna mbinu nyingine ambazo sio za kidiplomasia lakini zinaweza kutuliza hali ya hewa nazo pia zitumike.
Yaani nao wapate mgao toka Dpworld au?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kwa dhati kabisa ninawasihi wanaCCM tusije tukafanya kosa la kuwafananisha TEC na CHADEMA. Nimeona uzi wa ndugu Sir John Roberts akidai wanaCCM tuachiwe TEC kukabiliana nao. Naheshimu mawazo yake kama mwanaCCM mwenzangu ila siungi mkono hoja yake kwa 100%. Sir John labda haijui kiundani TEC akadhani nao pia watajibiwa kirahisi kama tunavyowajibu chama cha Mbowe.

Kanisa katoliki kama ilivyo CCM nalo limeenda hadi ngazi ya shina.. na linaongoza kwa kuwa na waumini wengi zaidi hapa nchini na duniani kwa ujumla. Wanaposema waraka wao utasomwa kwenye jumuiya ina maana hadi wananchi wa vijiji vya ndani huko Buhigwe au Kalambo wataamshwa usingizini. CHADEMA wao mambo yao huishia tu mijini na Twitter kwahiyo damage yao ni ndogo kulinganisha na hiki wanachofanya TEC.

Kingine kinachoogopesha ni hii tabia ya wakatoliki kuwa wakimya. Mapadre na maaskofu ni wasomi ambao tangu shuleni walikuwa ni vipanga yaani hawabahatishi. Wao wakishasema lao huwa hawahagaiki sana kubishana kitu kinachotia hasira mno. Ingekuwa CHADEMA hadi muda huu ungekuta Lema au Heche kashajitokeza na kuropoka pumba. Sasa hao TEC toka Padre Kitime aongee sijasikia kiongozi mwingine yeyote akiongea. Ni watu hatari. Hata tukisema CCM tuishambulie TEC kwa maneno bado itakua sawa na kujishambulia wenyewe kwasababu kuna wanaCCM wengi ambao ni wakatoliki. Kutakuwa na upinzani wa ndani.

Ikumbukwe pia hawa TEC hadi kutamka tayari wana mawasiliano na kiongozi wao mkubwa yaani Papa. Kwa msiojua nguvu ya papa mkasome kisa cha Papa Gregory VI na King Henry IV ndo mtaelewa vizuri. Mfalme alikalishwa kwenye baridi siku 3 akisubiri kuonana na papa amwombe msamaha. Haikuwa poa. Katoliki pia limekuwa likihusishwa na siasa za nchi nyingi duniani. Kwenye story ya vita ya Biafra huko Nigeria hili kanisa lilitajwa kufadhili waasi.

Wito wangu ni kuwasihi wasomi na wataalamu wa diplomasia & siasa ndani ya chama na serikali kukaa chini na TEC ili kumalizana nao. Kama kuna mbinu nyingine ambazo sio za kidiplomasia lakini zinaweza kutuliza hali ya hewa nazo pia zitumike.
Mimi moyoni mwangu nina hofu, mashaka na wasiwasi kwamba, TEC na RC au wadogo zake (Kanisa) lisije likafanyiwa hujuma na wasiojulikana au adui akatumia mwanya huu kufanya shambulio la kigaidi,
Maana tuna kumbukumbu ya mashambulizi kama yale ya Arusha sijui Kaloleni mkutano wa Balozi wa Papa Tanzania,
Hujuma yoyote ile kwa RC au Kanisa lawama zote zitaenda kwa serikali.
 
Kwa dhati kabisa ninawasihi wanaCCM tusije tukafanya kosa la kuwafananisha TEC na CHADEMA. Nimeona uzi wa ndugu Sir John Roberts akidai wanaCCM tuachiwe TEC kukabiliana nao. Naheshimu mawazo yake kama mwanaCCM mwenzangu ila siungi mkono hoja yake kwa 100%. Sir John labda haijui kiundani TEC akadhani nao pia watajibiwa kirahisi kama tunavyowajibu chama cha Mbowe.

Kanisa katoliki kama ilivyo CCM nalo limeenda hadi ngazi ya shina.. na linaongoza kwa kuwa na waumini wengi zaidi hapa nchini na duniani kwa ujumla. Wanaposema waraka wao utasomwa kwenye jumuiya ina maana hadi wananchi wa vijiji vya ndani huko Buhigwe au Kalambo wataamshwa usingizini. CHADEMA wao mambo yao huishia tu mijini na Twitter kwahiyo damage yao ni ndogo kulinganisha na hiki wanachofanya TEC.

Kingine kinachoogopesha ni hii tabia ya wakatoliki kuwa wakimya. Mapadre na maaskofu ni wasomi ambao tangu shuleni walikuwa ni vipanga yaani hawabahatishi. Wao wakishasema lao huwa hawahagaiki sana kubishana kitu kinachotia hasira mno. Ingekuwa CHADEMA hadi muda huu ungekuta Lema au Heche kashajitokeza na kuropoka pumba. Sasa hao TEC toka Padre Kitime aongee sijasikia kiongozi mwingine yeyote akiongea. Ni watu hatari. Hata tukisema CCM tuishambulie TEC kwa maneno bado itakua sawa na kujishambulia wenyewe kwasababu kuna wanaCCM wengi ambao ni wakatoliki. Kutakuwa na upinzani wa ndani.

Ikumbukwe pia hawa TEC hadi kutamka tayari wana mawasiliano na kiongozi wao mkubwa yaani Papa. Kwa msiojua nguvu ya papa mkasome kisa cha Papa Gregory VI na King Henry IV ndo mtaelewa vizuri. Mfalme alikalishwa kwenye baridi siku 3 akisubiri kuonana na papa amwombe msamaha. Haikuwa poa. Katoliki pia limekuwa likihusishwa na siasa za nchi nyingi duniani. Kwenye story ya vita ya Biafra huko Nigeria hili kanisa lilitajwa kufadhili waasi.

Wito wangu ni kuwasihi wasomi na wataalamu wa diplomasia & siasa ndani ya chama na serikali kukaa chini na TEC ili kumalizana nao. Kama kuna mbinu nyingine ambazo sio za kidiplomasia lakini zinaweza kutuliza hali ya hewa nazo pia zitumike.
Au tuuibe ule waraka tukimbie nao,kama tunavyokimbiaga na maboksi ya kura,eti!?
 
Ni ujinga uliotukuka kulinganisha Chama cha Siasa na Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😄😄

Wanaccm Wote leo wamehudhuria Kanisani utadhani kulikuwa na Posho kama kwenye vikao Vya Uchawa na tulikuwa Wapole haswa bora utengwe na Chama Lakini siyo Dhehebu lako 😂🔥
Aahaaaaa,nilimuona Tulia akiwa ametulia tuliiii
 
Zama hizo ilikua kusema mimi mwanaccm ni sifa lakini sasa ni kujitia aibu na kujidhalilisha sana.
 
Kwa dhati kabisa ninawasihi wanaCCM tusije tukafanya kosa la kuwafananisha TEC na CHADEMA. Nimeona uzi wa ndugu Sir John Roberts akidai wanaCCM tuachiwe TEC kukabiliana nao. Naheshimu mawazo yake kama mwanaCCM mwenzangu ila siungi mkono hoja yake kwa 100%. Sir John labda haijui kiundani TEC akadhani nao pia watajibiwa kirahisi kama tunavyowajibu chama cha Mbowe.

Kanisa katoliki kama ilivyo CCM nalo limeenda hadi ngazi ya shina.. na linaongoza kwa kuwa na waumini wengi zaidi hapa nchini na duniani kwa ujumla. Wanaposema waraka wao utasomwa kwenye jumuiya ina maana hadi wananchi wa vijiji vya ndani huko Buhigwe au Kalambo wataamshwa usingizini. CHADEMA wao mambo yao huishia tu mijini na Twitter kwahiyo damage yao ni ndogo kulinganisha na hiki wanachofanya TEC.

Kingine kinachoogopesha ni hii tabia ya wakatoliki kuwa wakimya. Mapadre na maaskofu ni wasomi ambao tangu shuleni walikuwa ni vipanga yaani hawabahatishi. Wao wakishasema lao huwa hawahagaiki sana kubishana kitu kinachotia hasira mno. Ingekuwa CHADEMA hadi muda huu ungekuta Lema au Heche kashajitokeza na kuropoka pumba. Sasa hao TEC toka Padre Kitime aongee sijasikia kiongozi mwingine yeyote akiongea. Ni watu hatari. Hata tukisema CCM tuishambulie TEC kwa maneno bado itakua sawa na kujishambulia wenyewe kwasababu kuna wanaCCM wengi ambao ni wakatoliki. Kutakuwa na upinzani wa ndani.

Ikumbukwe pia hawa TEC hadi kutamka tayari wana mawasiliano na kiongozi wao mkubwa yaani Papa. Kwa msiojua nguvu ya papa mkasome kisa cha Papa Gregory VI na King Henry IV ndo mtaelewa vizuri. Mfalme alikalishwa kwenye baridi siku 3 akisubiri kuonana na papa amwombe msamaha. Haikuwa poa. Katoliki pia limekuwa likihusishwa na siasa za nchi nyingi duniani. Kwenye story ya vita ya Biafra huko Nigeria hili kanisa lilitajwa kufadhili waasi.

Wito wangu ni kuwasihi wasomi na wataalamu wa diplomasia & siasa ndani ya chama na serikali kukaa chini na TEC ili kumalizana nao. Kama kuna mbinu nyingine ambazo sio za kidiplomasia lakini zinaweza kutuliza hali ya hewa nazo pia zitumike.
Hao wakatoriki wana balozi wao kama ilivyo nchi nyingine hapa TZ.kwa maneno mwngine balozi wao anayo copy yake na inawezekana iko Vatican tayari.msitake moshi mweusi utande Tanzania.
 
Hakuna lolote,walikaa kimya,wengine walinyang'anywa password
Unasoma unachoandika au unataka uonekane unaadika pia! Unaweza kutuambia nani alinyang'anywa password?
Halafu tujikite kwenye mada mtambuka
 
Hao wakatoriki wana balozi wao kama ilivyo nchi nyingine hapa TZ.kwa maneno mwngine balozi wao anayo copy yake na inawezekana iko Vatican tayari.msitake moshi mweusi utande Tanzania.
Hahaaa Balozi wa Vtican Tanzania nae ni Askofu au Fr. Hilo halipingiki kama ulivyosema mkuu!
International pressure ilimtoa Mwambukusi et al Mahabusu baada ya wajinga wa Lumumba kulazimisha kesi ya Uhaini!
Nchi ni ya wananchi, hao wachache wamejipa au wamepewa dhamana hivyo inafaa wajue kwamba wanawajibika kwetu na sio dipii
 
Wewe ndio unaiogopa TEC. Haina meno wala nini. Ebu nikuulize, TEC ipo yangu wakati wa Uhuru. Kipi imewahi kufanya nchi hii? Pia ukumbuke, sisi waumini wao tuliosomewa Leo Waraka ni baadhi yetu ni Wana CCM na wengine ni Watumishi wa Serikali hii hii ambayo inawapa mishahara ambayo wanaenda kutoa sadaka na zaka mbalimbali kuanzia Jumuiya hadi Jimboni hapo sijazungumzia michango ya ujenzi wa makanisa na magari ya Mababa Mapadre. Unafikiri sisi waumini tukiambiwa tuchangue, tutamchagua nani hapo? Akili mkichwa!
Watanzania wengi siku zote huwa wanachagua upande wa dini, Serikali kwa kulifahamu hilo ndio maana huwa inakumbatia viongozi wa dini katika kila shughuli au tukio.
 
Hao wakatoriki wana balozi wao kama ilivyo nchi nyingine hapa TZ.kwa maneno mwngine balozi wao anayo copy yake na inawezekana iko Vatican tayari.msitake moshi mweusi utande Tanzania.
Dar es Salaam, Tanzania (SNR) – Msgr. Richard Gyhra, a priest of the Diocese of Lincoln serving the Church in the east African nation of Tanzania, described the nation as “Mutual of Omaha’s Wild Kingdom,” referring to the 1963-88 weekly American television documentary.

In his 13th year of diplomatic service for the Holy See, Msgr. Gyhra is the acting head of the apostolic nunciature at the nunciature, or papal embassy, in Tanzania.

The nunciature is in the city of Dar es Salaam, on the Indian Ocean coast. The Holy See has diplomatic relations with 183 sovereign nations. The pope’s personal representative, usually an archbishop, is frequently the nuncio in the represented country.

A nuncio is responsible for carrying out instructions from the Holy See. Since the Holy See does not have the commercial, trade, military or business interests that other countries have, much of a nuncio’s work in a remote country involves working with the local Church.
 
Kwa dhati kabisa ninawasihi wanaCCM tusije tukafanya kosa la kuwafananisha TEC na CHADEMA. Nimeona uzi wa ndugu Sir John Roberts akidai wanaCCM tuachiwe TEC kukabiliana nao. Naheshimu mawazo yake kama mwanaCCM mwenzangu ila siungi mkono hoja yake kwa 100%. Sir John labda haijui kiundani TEC akadhani nao pia watajibiwa kirahisi kama tunavyowajibu chama cha Mbowe.

Kanisa katoliki kama ilivyo CCM nalo limeenda hadi ngazi ya shina.. na linaongoza kwa kuwa na waumini wengi zaidi hapa nchini na duniani kwa ujumla. Wanaposema waraka wao utasomwa kwenye jumuiya ina maana hadi wananchi wa vijiji vya ndani huko Buhigwe au Kalambo wataamshwa usingizini. CHADEMA wao mambo yao huishia tu mijini na Twitter kwahiyo damage yao ni ndogo kulinganisha na hiki wanachofanya TEC.

Kingine kinachoogopesha ni hii tabia ya wakatoliki kuwa wakimya. Mapadre na maaskofu ni wasomi ambao tangu shuleni walikuwa ni vipanga yaani hawabahatishi. Wao wakishasema lao huwa hawahagaiki sana kubishana kitu kinachotia hasira mno. Ingekuwa CHADEMA hadi muda huu ungekuta Lema au Heche kashajitokeza na kuropoka pumba. Sasa hao TEC toka Padre Kitime aongee sijasikia kiongozi mwingine yeyote akiongea. Ni watu hatari. Hata tukisema CCM tuishambulie TEC kwa maneno bado itakua sawa na kujishambulia wenyewe kwasababu kuna wanaCCM wengi ambao ni wakatoliki. Kutakuwa na upinzani wa ndani.

Ikumbukwe pia hawa TEC hadi kutamka tayari wana mawasiliano na kiongozi wao mkubwa yaani Papa. Kwa msiojua nguvu ya papa mkasome kisa cha Papa Gregory VI na King Henry IV ndo mtaelewa vizuri. Mfalme alikalishwa kwenye baridi siku 3 akisubiri kuonana na papa amwombe msamaha. Haikuwa poa. Katoliki pia limekuwa likihusishwa na siasa za nchi nyingi duniani. Kwenye story ya vita ya Biafra huko Nigeria hili kanisa lilitajwa kufadhili waasi.

Wito wangu ni kuwasihi wasomi na wataalamu wa diplomasia & siasa ndani ya chama na serikali kukaa chini na TEC ili kumalizana nao. Kama kuna mbinu nyingine ambazo sio za kidiplomasia lakini zinaweza kutuliza hali ya hewa nazo pia zitumike.
Sauti ya watu sauti ya mungu TEC wamemaliza kila kitu ni wakati ss wa kufuatilia mbali mkataba wa kimangungo wa DP World kama kuna jamaa waliochuka hela zao warudishieni kimya kimya maana soon mtaumbuka
 
Unasoma unachoandika au unataka uonekane unaadika pia! Unaweza kutuambia nani alinyang'anywa password?
Halafu tujikite kwenye mada mtambuka
Msilete dini serikalini,watanzania ni kuwapeleka kibabe tu,Mama kawapa uhuru mnapayuka payuka tu na dini zenu za vichochoroni
 
Back
Top Bottom