GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nitashukuru mno kwani nimejaribu kwa Kuhangaika kuitafuta sijaiona hivyo pengine Lucas Mwashambwa au ChoiceVariable wanaweza kuwa nayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akina Lucas Mwashambwa na ChoiceVariable hawana hizo picha? Hebu niulizie Kwao tafadhali kwakuwa nao ni Familia.Mheshimiwa asiende kwa mkwe kweli ? Ila yuko Tanga huko anazindiua.
Wabongo mshaanza kuwaza mengine
Thubutu......aitoe wapi Mchovu huyo?
sidhani kama kuna umuhimu au ulazima wa kwenda kuhani ikiwa huna nafasi ya kufanya hivyo,Nitashukuru mno kwani nimejaribu kwa Kuhangaika kuitafuta sijaiona hivyo pengine Lucas Mwashambwa au ChoiceVariable wanaweza kuwa nayo.

misibani mapicha na makamera ya video haifai gentleman,

Mbona tumemuona Philips mzee wa mipangomisibani mapicha na makamera ya video haifai gentleman,
DDC mlimani park walieleza vizuri zana mbona![]()
Kwani hauko msibani ndugu? Lucas MwashambwaAcha Papara wewe.
Ndio maana mna..rwa, na mapu... yako unafuatilia mambo ya kingese?Nitashukuru mno kwani nimejaribu kwa Kuhangaika kuitafuta sijaiona hivyo pengine Lucas Mwashambwa au ChoiceVariable wanaweza kuwa nayo.
Umuhimu upo kama baba wa kiongozi au mteuliwa wake. Ulazima upo maana huo ni msiba.sidhani kama kuna umuhimu au ulazima wa kwenda kuhani ikiwa huna nafasi ya kufanya hivyo,
msiba hua hauishi, anaweza kwenda wakati mwingine akiwa na nafasi baadae,
hata hivyo mapicha na makamera ya video misibani haifai kabisa![]()
Labda alienda makka moja kwa mo.Nitashukuru mno kwani nimejaribu kwa Kuhangaika kuitafuta sijaiona hivyo pengine Lucas Mwashambwa au ChoiceVariable wanaweza kuwa nayo.
Mbona videos na picha za wazalendo wakiwa wamezimia huku wameshikilia vifurushi vyenye samaki pale uwanja wa uhuru zilizagaa na takwimu za wazalendo walikuwa wakienda kuishangaa ile maiti zikitolewa na akina January kila uchwao?misibani mapicha na makamera ya video haifai gentleman,
DDC mlimani park walieleza vizuri zana mbona![]()