Tafadhali naomba leo Saa 3 Usiku tusipoteane hapa Jukwaani JamiiForums!

Leo ndiyo Muajentina Koko atawajua Oya Oya wa Mafurikoni kwa jinsi ambavyo Watamtukana, Watampopoa na hata kumpiga / kumuwamba Makofi akifanya mzaha.

Kudadadeki.
Wewe jamaa huna tofauti na OKW BOBAN SUNZU kwa sababu tabiri zenu zenu zote huwa zinaenda chaka hasa inapihusishwa Yanga. Haya hii aibu utaipeleka wapi? Kwa sababu wewe ndio umekimbia uzi
 
Hivi unadhani Rage mjinga kutamka vile hadharani tena mbele yao na bado wakamchagua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…