Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
una la kusema?Leo ndiyo Muajentina Koko atawajua Oya Oya wa Mafurikoni kwa jinsi ambavyo Watamtukana, Watampopoa na hata kumpiga / kumuwamba Makofi akifanya mzaha.
Kudadadeki.
Wewe jamaa huna tofauti na OKW BOBAN SUNZU kwa sababu tabiri zenu zenu zote huwa zinaenda chaka hasa inapihusishwa Yanga. Haya hii aibu utaipeleka wapi? Kwa sababu wewe ndio umekimbia uziLeo ndiyo Muajentina Koko atawajua Oya Oya wa Mafurikoni kwa jinsi ambavyo Watamtukana, Watampopoa na hata kumpiga / kumuwamba Makofi akifanya mzaha.
Kudadadeki.
Dada wa Makolo uhali gani ?Basi mnajikutaaa mamelode sound down...chaaaaa
Hahahahaha si mnamuita popoma ?Kuna umuhimu wa kuweka akiba ya maneno ili kuepuka aibu ndogo ndogo zinazotokana na shobo
HahahahahaWewe jamaa huna tofauti na OKW BOBAN SUNZU kwa sababu tabiri zenu zenu zote huwa zinaenda chaka hasa inapihusishwa Yanga. Haya hii aibu utaipeleka wapi? Kwa sababu wewe ndio umekimbia uzi
Sijambo kaka Utopolo...unajisikiaje?Dada wa Makolo uhali gani ?
Furaha sana haswa kuona Makolo yakiteseka na kukimbia hili jukwaa .Sijambo kaka Utopolo...unajisikiaje?
HahahahahaBasi mnajikutaaa mamelode sound down...chaaaaa
Mbona tupooo? Nani kakimbia..Furaha sana haswa kuona Makolo yakiteseka na kukimbia hili jukwaa .