Tafadhali naomba leo Saa 3 Usiku tusipoteane hapa Jukwaani JamiiForums!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Daah
 
Dua Za Kuku Hazimpati Mwewe.

Subiri Uone Mpira Safi Kutoka Kwa Dar Young Africans.

Tatizo Ndugu Yangu Una Team Mbovu Ndio Maana Muda Wote Unaamini Katika Kupiga Ramli.

Mwanasimba Mtakuja Fia Makaburini Kwa Kupenda Ushirikina.
Na Imani Umeshuhudia Kwa Macho Yako Bila Chechelechechele Mnazofanya Nyie Msimbazi Na Kuwatesa Wazee.
 
Fanyeni Scouting Nzuri Si Kung'ang'ania Wazee Akina Saidoo Mtawaua Bure Kwa Kazi Ambazo Zilitakiwa Kufanywa Na Vijana Wadogo.
 
Tupo tumejaa teleπŸ™†πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… haya kiko wapi we Kolo mbumbumbu mkubwa
Mlichotufanyia kwa Rafiki zenu wa Unafiki wale wa Mbagala hasa Kiushirikina) na Kimafia (Mchezo Mchafu) ndiyo nasi leo tumekifanya / tumelipiza hivyo hivyo.

Hamtoamini kwa Kitakachowatokea.
 
Bao 4 mleta uzi kakimbia chupi mkononi. Ulijua utapigwa bao 1 tupitiwe na usingizi kama pensioners!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…