Tafadhali sana piga kura yako hapa: Swali: Je, unaamini kuwa Yesu yuaja upesi? Ndio au Hapana

Tafadhali sana piga kura yako hapa: Swali: Je, unaamini kuwa Yesu yuaja upesi? Ndio au Hapana

Je, unaamini kuwa Yesu yuaja upesi kama alivyoahidi katika Ufunuo 22:12?


  • Total voters
    131
  • Poll closed .

Setfree

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
1,679
Reaction score
2,123
Katika Ufunuo 22:12 Yesu anasema: “Tazama, naja upesi! Thawabu yangu i mkononi mwangu, nami nitampa kila mtu sawasawa na alivyotenda."

Swali: Je, unaamini kuwa Yesu yuaja upesi kama alivyoahidi katika Maandiko hayo?
Jibu NDIYO au HAPANA

Maelezo ya Upigaji Kura:
  • Huruhusiwi kubadili jibu lako ukishapiga kura
  • Kura hii ni ya wazi hivyo idadi ya kura/matokeo yataonyeshwa publicly
  • Lakini usipopiga kura hutaweza kuona matokeo!
  • Zoezi la kupiga kura litafungwa baada ya siku 10 tu
=============
Kama unaamini kuwa Yesu yuaja upesi tafadhali piga kura yako ya NDIYO, usimuonee Yesu aibu na maneno yake. Luka 9:26
"Mtu yeyote akinionea aibu mimi na maneno yangu, Mwana wa Adamu naye atamwonea aibu atakapokuja katika utukufu wake na katika utukufu wa Baba, pamoja na malaika watakatifu."

Kama huamini kuwa Yesu yuaja upesi, uwe mkweli tu, piga kura ya HAPANA
 
Hakija siku parapanda itakapo lia tanzania wengi waliokuwa na jezi za chama cha ccm na mashabiki hawata paaa kwenda mbinguni.

Watakimbilia ofisi zao chama kuwauliza mbona tumeshindwa kupaa.
Sababu ni uwongo na hamna akili
 
Katika Ufunuo 22:12 Yesu anasema: “Tazama, naja upesi! Thawabu yangu i mkononi mwangu, nami nitampa kila mtu sawasawa na alivyotenda."

Swali: Je, unaamini kuwa Yesu yuaja upesi kama alivyoahidi katika Maandiko hayo?
Jibu NDIYO au HAPANA

Maelezo ya Upigaji Kura:
  • Huruhusiwi kubadili jibu lako ukishapiga kura
  • Kura hii ni ya wazi hivyo matokeo yataonyeshwa publicly
  • Lakini usipopiga kura hutaweza kuona matokeo!
  • Zoezi la kupiga kura litafungwa baada ya siku 10 tu
=============
Kama unaamini kuwa Yesu yuaja upesi tafadhali piga kura yako, usimuonee Yesu aibu na maneno yake. Luka 9:26
"Mtu yeyote akinionea aibu mimi na maneno yangu, Mwana wa Adamu naye atamwonea aibu atakapokuja katika utukufu wake na katika utukufu wa Baba, pamoja na malaika watakatifu."
Inaaminika kwamba kitabu cha Ufunuo kiliandikwa mwaka 96 CE. Kwa muktadha huo, hata Yesu angerudi leo hawezi kuwa amerudi "upesi" wakati imeshapita miaka karibu 2000 tangu aseme hayo.
 
Bila shaka na wasiwasi wowote naamini yu aja upesi yesu kristo mnazarethi...
Kulingana na mafundisho ya imani yangu pamoja dalili za ujio wake kitqbu cha ufunuo: zishaanza kujionesha hivyo tuishi katika utqkatifu/sala/toba ya kweli kila wakati. Amen!
 
Mwaka wa 2000 tuliambiwa hivihivi hadi wengine wakafilisika kwa kuacha kujishughulisha wakimngoja mwana wa Mungu lakini haikutokea.

Inakuaje Mungu na kiumbe wake mpendwa Mh lusifa wasikae mezani wakatumia diplomansia badala ya nguvu?
 
Angekuwepo kweli angesharudi kitambo kabla hata miaka ya leo haijatimia, bahati mbaya sana huyo Yesu hayupo na hajawai kuwepo, maana ni kama storie's character aliyeundwa na wazungu acheze uhusika wa story ya maandiko ya biblia kipindi kile cha uroma na ukatolic wao.

Narudia tena, kusubiri mtasubiri sana, yesu hatorudi, maana hayupo, atarudije kama uwepo wake haupo.

Ushahidi wa uwepo wake haupo kihistoria ktk nakala, wala kisayansi vile vile.

Mnapoteza muda wenu kuamini upuuzi wa wazungu+waarabu
 
Kipima joto cha kazi cha chama cha ma Atheist JF.😇😇 me, I am Innocent😇😇😇

wanakazi bado, na kwa kazi wazifanyazo, ni lazima ujiondoe akili, pamoja na kujiondoa kwenye uwepo wa mungu😂😂😂
 
Back
Top Bottom