Tafakuri binafsi: Wakati unamhudumia mdada kipesa, ushawahi kutafakari hili

Tafakuri binafsi: Wakati unamhudumia mdada kipesa, ushawahi kutafakari hili

Kama unajiita mwanaume na hutaki kumpa ela mwanamke ,wewe siyo mwezetu.

Wanaume tunatoa hela kwa wanawake na bado pochi zao tunawabebea vizuri tuu huku tumewashika mkono.

Nb. UTAKI KUMPA MWANAMKE WAKO HELA SISI TUTAKUSAIDIA KUMPA NA TUTAKUCHAPIA
hujamuelewa mleta mada
 
Halafu hela ikijakukata analaumu watu hawamsaidii ?!

Wakati hela alitapanya na malaya?

Hao wanawake alotumbua nao hela alipokuwa nazo, alowajengea, alowanunulia viwanja, alowapa mitaji, alosomesha watoto wa michepuko si ndo awatafute wamsaidie wanipe hela ajikimu?

Ni bahati mbaya sana uzoefu ulivyo hela ya kuhonga mwanamke kuweza kuja kuona msaada wa future huwa ni nadra sana.
 
Kiasilia mwanaume ndo anatakiwa awe provider kwenye familia, amhudumie mkewe na watoto kipesa, na mimi nakubaliana na hilo, ila tatizo wanawake wengi hamuwapendi wanaume mlio nao kwenye mahusiano, mko kwenye ndoa ili muukimbie umaskini, wanaume wawape ugali mshibe, siku ziende, ila kiuhalisia hamna hisia na hao wanaume Dejane
Hapa sasa tunaweza kufunga uzi #mwenyesindanotafadhali
 
Unakutana na binti maisha yamemchapa, kwasababu unampenda, unamtakatisha kwa kumpa vihuduma vya hapa na pale, shopping za nguo kila mwezi, unasaidia wadogo zake, sometime hadi unasomesha with a view kwamba baadae aje kuwa mkeo..
Unampa kila atakacho ni kama haitoshi bado unamgawia hata protini zako za akiba mwilini
 
Pole kwa kukutana na wanawake wa aina hiyo,lkn kuna wanawake wazuri tu na wanajali sana Hasa wakiwa wamependa mtu,japo Hawa ni wachache sana,imagine wapo wanawake wanawapa Hadi Hela.

Wapo pia wanawake wanaoridhika na kidogo wanachopewa na kushukuru,kuna mwanamke anaweza kupewa 5000, na anashukuru japo anajua anayempa ana uwezo mkubwa lkn anaridhika,na kushukuru.

Wakati mwingine wanawake tunajishusha ili tuwaheshimu waume zetu,tunaridhika na tunachopewa na kushukuru,tunaridhika na hali yyte Ile aliyonayo mwanaume,lkn mwisho wa siku tunadharaulika .
Mimi nina mifano mingi sana, lakini kwa sababu silipwi chochote hapa, sina sababu ya kupoteza muda na nguvu ya fingers zangu kuandika mengi hapa, ila kiufupi nawajua kwa 98% hawa watu, na kati yao, washenzi ndiyo wengi na wanapaswa kulipwa kisasi kibaya
 
Mimi nina mifano mingi sana, lakini kwa sababu silipwi chochote hapa, sina sababu ya kupoteza muda na nguvu ya fingers zangu kuandika mengi hapa, ila kiufupi nawajua kwa 98% hawa watu, na kati yao, washenzi ndiyo wengi na wanapaswa kulipwa kisasi kibaya
Duh,ila kilio kipo kote mkuu
 
Wakati wewe unamuhudumia kwa hivyo viposho yeye hakupi huduma yoyote ?

Maisha ni Quid Pro Quo hata ukimpa masikini pesa njiani roho yako inasuuzika kwamba umefanya jema kwahio unakuwa umejisaidia pia....

Mbinu nzuri ya maisha wewe fanya unachokiona ni sahihi kwa wakati huo sio ufanye ili uje uvune baadae (especially kama unamfanyia mtu)....
 
Wakati wewe unamuhudumia kwa hivyo viposho yeye hakupi huduma yoyote ?

Maisha ni Quid Pro Quo hata ukimpa masikini pesa njiani roho yako inasuuzika kwamba umefanya jema kwahio unakuwa umejisaidia pia....

Mbinu nzuri ya maisha wewe fanya unachokiona ni sahihi kwa wakati huo sio ufanye ili uje uvune baadae (especially kama unamfanyia mtu)....
Huduma ya mapenzi siyo mtu mmoja tu anaye hudumiwa, kweni mwanaume hamhudumii mwanamke? Tendo lile kila mmoja analihitaji, wasijigeuze eti wao ni watoa huduma shenzi zao, yaani mwanamke wa kumuamini hapa Duniani ni mama yako tu ambaye nae ana misala yake Kwa BABA
 
1693140355628.jpg
 
Kiasilia mwanaume ndo anatakiwa awe provider kwenye familia, amhudumie mkewe na watoto kipesa, na mimi nakubaliana na hilo, ila tatizo wanawake wengi hamuwapendi wanaume mlio nao kwenye mahusiano, mko kwenye ndoa ili muukimbie umaskini, wanaume wawape ugali mshibe, siku ziende, ila kiuhalisia hamna hisia na hao wanaume Dejane
Akishajijenga kiuchumi anaenda kumuonga na kula maisha na anaempenda... This is fact
 
Mwanamke asiyejimudu vitu vidogo vidogo hajawahi kunivutia kabisa..

Gap la kiuchumi lisiwe kubwa. Hapo mtawezana. Hawa wa kuwatoa matopeni, wakisha'settle hugeuka wanyama.

Hakuna mzazi anayejimudu kiuchumi atakayefurahia kuoza au kuozesha kwenye familia maskini.
 
Kama unajiita mwanaume na hutaki kumpa ela mwanamke ,wewe siyo mwezetu.

Wanaume tunatoa hela kwa wanawake na bado pochi zao tunawabebea vizuri tuu huku tumewashika mkono.

Nb. UTAKI KUMPA MWANAMKE WAKO HELA SISI TUTAKUSAIDIA KUMPA NA TUTAKUCHAPIA
Kelsea anavyopenda jumbe kama hizi akiona panasema mwanamume lazima atoe pesa lazima agonge like 😅

Mambo vipi mtu wangu wa nguvu? Hadimu sana siku hizi
 
Huduma ya mapenzi siyo mtu mmoja tu anaye hudumiwa, kweni mwanaume hamhudumii mwanamke? Tendo lile kila mmoja analihitaji, wasijigeuze eti wao ni watoa huduma shenzi zao, yaani mwanamke wa kumuamini hapa Duniani ni mama yako tu ambaye nae ana misala yake Kwa BABA
Sasa kama mlikuwa mnapeana huduma na wewe ulikuwa unafurahia kutoa pesa usikasirike wala kutoa kwako pesa then hakumaanishi unamiliki mtu in the future...

Hakuna Binadamu mwenye hati miliki ya mwingine hayo yalikuwepo enzi za utumwa sio leo
 
Mfano, wewe mwanaume una hela, Unasukuma gari nzuri kiasi, laki mbili tatu za bata kila wiki hazikupigi chenga, una kazi nzuri na biashara, una nyumba nje ya mji, kibongobongo watu tunaassume umetoboa..

Unakutana na binti maisha yamemchapa, kwasababu unampenda, unamtakatisha kwa kumpa vihuduma vya hapa na pale, shopping za nguo kila mwezi, unasaidia wadogo zake, sometime hadi unasomesha with a view kwamba baadae aje kuwa mkeo..

Ushawahi jiuliza kama mngebadilishana nafasi za kiuchumi, wewe uwe kapuku na yeye awe anaendesha Gari halafu mkutane njiani, je huyo mdada unaemuhudumia, angekuangalia mara mbili? angeshtuka hata kujua amepishana na mwanaume?

Mke wa gsm angekuwa na hela kama za mumewe, angemfanyia birthday party huyo mumewe?

Naamini mwanaume ni Primary provider wa familia, na anatakiwa ahudumie mke, ila nimewaza tu..

Nimegundua mtu ukitumia logic, ku-enjoy mahusiano ni ngumu


Ukiwa huna mke waweza kufanya hiyo michezo, ukishaoa ukiendelea na hayo ni kujiangamiza.

Hiyo argument yako ni sawa na kusema, hivi viungo tukibadilishana na wife, nitakubali anibandue?

Jibu ni hapana, mwanaume ni wakuhudumia mwanamke ziku zote, pride yake ipo hapo.
 
Back
Top Bottom