Tafakuri binafsi: Wakati unamhudumia mdada kipesa, ushawahi kutafakari hili

Tafakuri binafsi: Wakati unamhudumia mdada kipesa, ushawahi kutafakari hili

Ila bongo usiseme hatuna maisha mazuri ..unatakiwa useme "hauna" kuna lijamaa jirani hapa lina hela aise limempangishia mchepuko apartment kali sana na fenicha zote kali mno kalii balaaa
....hapo ukisema hamna hela jamaa hatakuelewa
Huyo jamaa anafanya kazi gani Ndege Tai
 
Mfano, wewe mwanaume una hela, Unasukuma gari nzuri kiasi, laki mbili tatu za bata kila wiki hazikupigi chenga, una kazi nzuri na biashara, una nyumba nje ya mji, kibongobongo watu tunaassume umetoboa..

Unakutana na binti maisha yamemchapa, kwasababu unampenda, unamtakatisha kwa kumpa vihuduma vya hapa na pale, shopping za nguo kila mwezi, unasaidia wadogo zake, sometime hadi unasomesha with a view kwamba baadae aje kuwa mkeo..

Ushawahi jiuliza kama mngebadilishana nafasi za kiuchumi, wewe uwe kapuku na yeye awe anaendesha Gari halafu mkutane njiani, je huyo mdada unaemuhudumia, angekuangalia mara mbili? angeshtuka hata kujua amepishana na mwanaume?

Mke wa gsm angekuwa na hela kama za mumewe, angemfanyia birthday party huyo mumewe?

Naamini mwanaume ni Primary provider wa familia, na anatakiwa ahudumie mke, ila nimewaza tu..

Nimegundua mtu ukitumia logic, ku-enjoy mahusiano ni ngumu
Of course wanasema a rich man can date a poor woman, but a rich woman will never look at a rich man. Labda story za kihindi na disney
 
Nimechekaa had machoziiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila umesema kweliii.
Ni kweli kabisa, nyie endeleeni kupiga kimoja cha jogoo, bao la pili kupiga mpaka ifike Christmas huko, halafu wapeni hao wanawake hela uone, watakuja kugongwa na wanaowaridhisha, na wao ndo watalipia pesa mnazowahonga.

Kuna mademu wawili wapo radhi kunifata kama nipo mkoani, kwa gharama zao (to and fro) ili niwanyandue na siwapagi hela hata senti, yote hayo ni kwasababu ya mabwana zao kuwagusa gusa.

Wagongeni mademu zenu waruidhike, mnawapa shida sana mpaka wanachiti.
 
Wanawake hawawezi hilo, tena ukiwawaza sana utaishia kuwatukana tu, na kupita nao kisha unawaacha hapo Dunia iwakomeshe, hawana shukrani hata kidogo, mtunze utunzavyo, lakini ugua ulale ndani miezi sita na jifanye pesa imeisha uone kama hajakimbilia kwa bwana mwingine, hao hakunaga kitu
Uzi unapaswa kufungiwa hapa!
 
kwanza kabisa kijiuliza swali kama hilo ni ishara kubwa ya utoto, na kujiona uko sawa na mwanamke,..iko hivi, kwa asili kabisa mwanaume ndio mtafutaji tangu kuumbwa kwa dunia hii, kwangu mm siamini kama mwanamke anaweza kutoboa na kwenda mbali kiuchumi bila ya mkono flani wa mwanaume,.hivyo kufikiria kuhusu pesa ya mwanamke ni kufikiria kuhusu pesa ya mwanaume mwenzio...

...acha kabisa kufikiri kuhusu msaada wa kifedha kutoka kwa MWANAMKE!
Hujamwelewa jamaa!!

Upendo sio FEDHA japo ni muhim sana kwenye mahusiano!

Tupendane kwanza kabla ya pesa!tukipenda pesa zikiisha na upendo huisha!!

Hakuna mwanamme mwenye familia ambae hatowagi FEDHA KWA familia yake! lakini kama upendo wa mkeo upo kwenye hizo PESA unazotoa siku ukiwa hauna ina maana asikupende TENA!!!?

DHANA hii ya mahusiano ndio inafanya makaburi Mengi yawe ya wanaume mtaani kuliko wa wanawake!!

Upendo,upendo,upendo nasisitiza hilo!!

Sisi tuliowahi jitoa KWA wapenzi wetu na tukawasaidia pa kushika baadae wakatuona kama vile wa ziada tunaielewa nada vizuri SANA!!!

DHANA ya pesa pesa PESA kwenye mapenzi inatukuza ukahaba uliostarabika na sio mahusiano yenye upendo ndani yake!!!
 
Hujamwelewa jamaa!!

Upendo sio FEDHA japo ni muhim sana kwenye mahusiano!

Tupendane kwanza kabla ya pesa!tukipenda pesa zikiisha na upendo huisha!!

Hakuna mwanamme mwenye familia ambae hatowagi FEDHA KWA familia yake! lakini kama upendo wa mkeo upo kwenye hizo PESA unazotoa siku ukiwa hauna ina maana asikupende TENA!!!?

DHANA hii ya mahusiano ndio inafanya makaburi Mengi yawe ya wanaume mtaani kuliko wa wanawake!!

Upendo,upendo,upendo nasisitiza hilo!!

Sisi tuliowahi jitoa KWA wapenzi wetu na tukawasaidia pa kushika baadae wakatuona kama vile wa ziada tunaielewa nada vizuri SANA!!!

DHANA ya pesa pesa PESA kwenye mapenzi inatukuza ukahaba uliostarabika na sio mahusiano yenye upendo ndani yake!!!
Wanaita private sector prostitution
 
Uanaume ni kuchakata mbususu kisawasawa hadi mwanamke aridhike, bora uwe masikini lakini mbususu uchakate barabara.

Mwanamke kwao ameacha vyakula vinono pengine kuliko unavyompa, kaacha pesa kwa baba yake pengine ni nyingi kuliko zako, kaja kuolewa kwako kwasababu ya kunyanduana na kutengeneza familia(huduma ambayo nyumbani kwao hawezi kupata).

Sasa wewe jifanye unampa pesa nyingi halafu unamnyandua kwa kumgusa gusa tu, akikutana na wanaomzagamua kisawasawa hadi kuikata kiu yake, atawahonga hizo pesa unazompa ili wamzagamue, au watakuwa wanapewa kitumbua bure.

Hakuna raha kama ukikutana na demu ambaye bwana yake anamgusa gusa, yaani ukimuwezea kumkata kiu, atakuganda kama ruba, yaani yeye ndo anayekubembeleza ili usimuache.
Kuna raha gani brother!!!
She treat you like a manwhore!
Raha ipo wapi hapo?
Hapo unakuwa huna tofauti na dildo.
 
Hudumia mke mkuu, hakuna namna nyingine zaidi ya kuhudumia familia yako, awe anakupenda au la.

Wa pembeni nunua, wa 50k mpe baada ya huduma, wa 30k mpe....mwanamke wa pembeni ni wa pembeni tu. Huwa sio muumini wa kununua ila kwa sasa it's the only way forward, otherwise utakuwa masikini kama haupo makini.
 
Back
Top Bottom