Tafakuri: Kuna nini nyuma ya mashambulizi haya kwa Makamba?

Afai huyu mtu ni hatari kwa maendeleo ya taifa, ni poor performance kama mwigulu, kigwangala.
 
Rudia tena hapo nilipobold na kukuza, rudia tena hapo nilipobold na kuweka italics kisha amua tu kuwa mkweli na utuambie ukweli wenyewe!
 
Mti wenye matamu ndio unaopigwa mawe ,
Wanaomtukana na kumdhihaki January Ni wafuasi na wakala wa yule Ibilisi , wanafanya hivyo kwasababu January ana msimamo wa kile anacho kiamini na wakati ule hakuwa tayari kumuomba radhi Ibilisi Hadi Mungu alipoamua Ugomvi.
 
wajinga nyie mnamchukia sababu ya dini yake, hivi nyie wakristo mnataka kila nafasi mkae nyie au?
 
kwahiyo unataka aondolewe makamba awekwe nani!
 
Ni mjinga pekee atamshabikia huyo fwala
 
Sukuma gang walichukia sana mtu wao Kalemani alipotumbuliwa na kuteuliwa Makamba. Hiki ndicho chanzo cha chuki.

Kalemani, Msukuma, Gwajima, Kabudi, prof. Mkumbo, n.k ni nyoka wa sukuma gang
Taahi.ra wewe, mwambie JM tunafahamu kuwa yeye ni sehemu ya akina "Kigogo" na watalipa.
 
Habari za asubuhi Bwana Makamba!
 
Wizara hiyo ina changamoto nyingi sana. Mtu pekee aliyekuwa na uelekeo wa kuimudu ni Prof. Muhongo. Bahati mbsya awamu ya 5 ilikuwa haiwataki watu wenye independent brain.
 

Siyo kila kitu kiko kama unavyofikiria. Miti yenye bundi, nyoka, kenge n.k. nayo inapigwa mawe.

Pia siyo kila kitu unachokiamini kiko sahihi. Hivyo unachoamini, siyo lazima kiwe sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…