Tafakuri ya FaizaFoxy 7: Shule za kusomea ujinga. Tanzania na propaganda za Udini Shuleni

Kusomea ujinga nao ulilipiwa ada,vipi babaako aliwahi kuwa mjinga kusomesha au kulipia ada hata wajinga wawili tu nje ya ukoo wake,?Je vipi kuhusu ww ushawai kugharimia fees japo ordinary level kwa wajanja watatu tu nje ya mfumo wa dini yako?
Kumjibu mjinga hudhihirisha ujinga uliopo ndani ya mjinga.
 
Naam, wakati nasoma mimi shule zilikuwa hazijataifishwa, tulikuwa sote tukilipa ada.

Hata hivi sasa unafikiri shule zote Tanzania hii ni za bure?

Wa shule za kusomea ujinga mnajulikana tu. Upeo unakuwa finyu sana,
 
Wafrika na waarabu wote wabishi sana. Angalau Mwarabu anafanya ubinafsi wa kunufaisha kabila au rangi yake tofauti na mwafrika yeye ni Hand to mouth tu.

Swala la utumwa ni 100% ulianzishwa na mwarabu


Hata vitabu vya kale sana kama Quran na Biblia wanataja utumwa ktk maeneo mengi hadi walikuwa wanauzwa au kuuziana wanaoitwa wajakazi. Without going into much details ukweli utabaki hivyo.

Bila Mzungu kutuokoa na utumwa hadi leo ungekuwepo.
 
Naam, wakati nasoma mimi shule zilikuwa hazijataifishwa, tulikuwa sote tukilipa ada.

Hata hivi sasa unafikiri shule zote Tanzania hii ni za bure?

Wa shule za kusomea ujinga mnajulikana tu. Upeo unakuwa finyu sana,
Umejibu kijinga kweli,umeelezea ujinga wako kabla ya kujibu swali la msingi.

Kwani nani hajui km elimu haipatikani bure,ulitegemea taasisi gani,Itoe ujinga wa mtoto wa mtu bila gharama!,!

Jibu swali.
Umejikita kusema ujinga wa wenzio.

Je babaako alishawahi kusomesha wajinga wangapi nje ya ukoo wake?

Wewe ambaye ni mjanja ulishawahi gharamia hata school fees ya vijana hata watatu kwa ordinary level? Nje ya mfumo wa dini yako?


Ujanja mwingi mbele Giza
 
Mwarabu ni nembo ya vita hata leo huko kwao wanauana wao kwa wao. Same to africans
 
FaizaFoxy , asante sana kwa mada hii. Naomba kukiri mimi ni miongoni mwa tulio ingizwa chaka na michoro hii, kumbe tulikuwa tunadangwa kwa michoro ya kuchorwa, jee vipi kuhusu zile picha za camera, kama hizi

nazo ni za uongo? Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu waliteswa, hasiwa, bakwa, na kuuawa kinyama
P
 
View attachment 2212027

Hiki kibibi kingine cha kiarabu FaizaFoxy kithenge kweli.

Hivi unadhani huyu TippuTip ni story ya kutunga wakati mpaka kawekewa statute Zanzibar kama slave trader.
Tupe story yake, usifikiri kila mtu anakielewa ulichojazwa nacho wewe ujinga na ndiyo maana nimeweka video hapa ili tusiendelee kujazana ujinga.

Historia yote uliyosomeshwa shule ni uongo mtupu, juu chini, chini juu. Hivi upewe elimu na Mwingereza, mzungu, halafu yeye ajiponde? Fikiri japo kiduchu.
 
Kufungua documentary while kifurushi kimepanda na mb nyingine wanaiba huko huko pia ni ujinga.

Hao maprofesa wako wasiojua tofauti ya L na R nao ni wajinga.

Unavyo disqualify dini za wengine nao ni ujinga

Na hapa utanijibu mbovu nao ni ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…