Tafakuri ya FaizaFoxy 9: Ushauri kwa Rais Samia, Dr. Hussein Mwinyi na Watanzania wote kuhusu Uchumi wa Bandari wenye tija

Tafakuri ya FaizaFoxy 9: Ushauri kwa Rais Samia, Dr. Hussein Mwinyi na Watanzania wote kuhusu Uchumi wa Bandari wenye tija

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Kwa nia njema kabisa, kwa mustakabali wa Taifa lenye tija na malengo ya miaka 200 mbele.

Hii yangu ni simple na straight forward idea ambayo inaweza kuanza kuwa "implemented" kesho. Ni kuamuwa tu haina longolongo.

Hakuna shaka kabisa kuwa dunia nzima sasa hivi inaitazama na kuichungulia Afrika inaelekea wapi kiuchumi.

Ushauri wangu, wakati tunaendelea kulumbana mtandaoni kuhusu vijigati vinne vya bandari ya Dar. Tuanzishe mradi mkubwa na wakipekee ambao utakuwa ni win win situation kwa Tanzania nzima.

Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.

Tuwachane kabisa na fikra za kizamani za kuweka daraja baina ya Unguja na bagamoyo.

Faida zake:

1) Unguja yote ndiyo ijengwe bandari kubwa na Airport kubwa ziwe ndiyo (gateway) hub ya mizigo na abiria wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Kijiografia, pwani yetu pamoja na Unguja ndiyo kitovu cha Afrika. Tuitumie fursa.

2) Ujenzi wa bandari ya kwenye maji ya Bagamoyo usitishwe na gharama zake ziende kwenye ujenzi wa tunnel.

3) Bagamoyo ijengwe bandari kubwa ya nchi kavu itakayokuwa inapokea treni kutoka Zanzibar na kutawanya (,shunting) mabehewa yote. Hii ni gharama nafuu sana.

4) bandari ya Dar iendelee kuboreshwa (areform) kwa na kuwa hub ya huduma za bandari za pwani yetu yote.

5) Utekelezqji wa Hili gharama zake ni nafuu sana na ni "highly practical"

6) Eala hatutakuwa na malumbano ya kuoneana kiuchumi katika Muungano (win win situation).

Always the simplest of ideas ndizo bora.
 
Hayo yote yatakuwa kazi bure iwapo bandari akikabidhiwa DP Wrld

Kwasababu katika moja ya vipengele vya mkataba kuna section imesema "na njia zingine za usafirishaji"

Maana yake waarabu ndio watakuwa watu wakwanza kunufaika na huo mradi wa submarine tunnel.

Sasa kama kweli unataka maslahi mapana ya nchi basi anza sasa kukataa huu mkataba ili Dp World wasipewe bandari.
 
Tatizo Mnauza nchi bila huruma kwa maslai yenu ya Leo
Tatizo lako mbona linajulikana. Fata link chini hizo ujisome ulivyo:


 
Mmechanganyikiwa .. !!?
Nafaham kuwa uelewa wako ndipo ulipoishia, sikushangai kabisa:

 
Hio pesa tukakope wapi au Tozo tuziweke wapi ambapo hatujaweka Tozo ?

Unadhani hii nchi ni lack of ideas au ni ideas nyingi ambazo watu wanazitoa sio ili ziboreshe bali ili watu wapige pesa ?

Utashangaa mchakato wa kuangalia feasibility ya hilo wazo inachokua gharama za kukamilisha wazo hilo mara 10...

Acha kabisa hii nchi ya walamba asali ambao hata kuchonga mzinga hawataki....
 
Leo ni siku nyingine ya kusomewa WALAKA huko makanisani!

Tusubiri viongozi na wananchi wausikilize kwa week ya pili sasa labda watatoka na kitu
 

Attachments

  • 38910B81-BE09-4DFB-A9D7-0DA98B336263.jpeg
    38910B81-BE09-4DFB-A9D7-0DA98B336263.jpeg
    236.1 KB · Views: 2
  • 58CEED8D-36F5-4F15-A3CE-DDD0A9D773C2.jpeg
    58CEED8D-36F5-4F15-A3CE-DDD0A9D773C2.jpeg
    213.3 KB · Views: 2
Tatizo lako mbona linajulikana. Fata link chini hizo ujisome ulivyo:


Mwarabu anakaa jangwani hata ukimpangisha nyumba yenye miti anakata yote anasema miti inaleta majini,iweje ndio atake kupewa kusimamia Mali asili zetu wakati ajui hata miti inapandwaje.
Je usalama wa wanyama wetu utakuaje, usalama wa madini yetu mbugani utakuaje.
Rejea kauli "wanyama hawali madini kwann wasipewe watu wachimbe madini kwenye hifadhi zetu" hii kauli inaendana na mambo Tete yanayoendelea mara sijui sheria za maliasili kubadilishwa,mara sijui nini
 
Yani una hisi ni gharama nafuu kila siku kila saa kila dakika kuungurumisha treni kwenye maji kufata mizigo unguja kuileta bagamoyo kuliko meli kutia nanga moja kwa moja bagamoyo na wakati huo huo bandari ya Dsm ina fanya kazi!?

Fikiri upya tengeneza mkakati wako upya! Labda iwe ya kusafirisha abiria na mizigo yao lakini sio useme tujenge kwa ajili ya bandari ambayo ipo zenji na bagamoyo iwe bandari kavu kazi kupokea makontena toka unguja!

Bandari ya Bagamoyo itajengwa tu nakuakikishia itajengwa ata kama sio sasa Au awamu hii ila itajengwa tu! Na tutaongeza ufanisi na wigo wa utoaji huduma na kuingiza mapato zaidi!
 
Kwa nia njema kabisa, kwa mustakabali wa Taifa lenye tija na malengo ya miaka 200 mbele.

Hii yangu ni simple na straight forward idea ambayo inaweza kuwnzamkuwa "implemented" kesho. Ni kuamuwa tu haina longo longo.

Hakuna shaka kabisa kuwa dunia nzima sasa hivi inaitazama na kuichungulia Afrika inaelekea wapi kiuchumi.

Ushauri wangu, wakati tunaendelea kulumbana mtandaoni kuhusu vijigati vinne vya bandari ya Dar. Tuanzishe mradi mkubwa na wakipekee ambao utakuwa ni win win situation kwa Tanzania nzima.

Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.

Tuwachane kabisa na fikra za kizamani za kuweka daraja baina ya Unguja na bagamoyo.

Faida zake:

1) Unguja yote ndiyo ijengwe bandari kubwa na Airport kubwa ziwe ndiyo (gateway) hub ya mixigo nw wbiria wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Kijiografia, pwani yetu pamoja na Unguja ndiyo kitovu cha Afrika. Tuitumie fursa.

2) Ujenzi wa bandari ya kwenye maji ya Bagamoyo usitishwe na gharama zake ziende kwenye ujenzi wa tunnel.

3) Bagamoyo ijengwe bandari kubwa ya nchi kavu itakayokuwa inapokea treni kutoka Zanzibar na kutawanya (,shunting) mabehewa yote. Hii ni gharama nafuu sana.

4) bandari ya Dar iendelee kuboreshwa (areform) kwa na kuwa hub ya huduma za bandari za pwani yetu yote.

5) Utekelezqji wa Hili gharama zake ni nafuu sana na ni "highly practical"

6) Eala hatutakuwa na malumbano ya kuoneana kiuchumi katika Muungano (win win situation).

Always the simplest of ideas ndizo bora.
Mawazo ya kiujima
 
Back
Top Bottom