Tafakuri ya FaizaFoxy 9: Ushauri kwa Rais Samia, Dr. Hussein Mwinyi na Watanzania wote kuhusu Uchumi wa Bandari wenye tija

Tafakuri ya FaizaFoxy 9: Ushauri kwa Rais Samia, Dr. Hussein Mwinyi na Watanzania wote kuhusu Uchumi wa Bandari wenye tija

Kwa nia njema kabisa, kwa mustakabali wa Taifa lenye tija na malengo ya miaka 200 mbele.

Hii yangu ni simple na straight forward idea ambayo inaweza kuwnzamkuwa "implemented" kesho. Ni kuamuwa tu haina longo longo.

Hakuna shaka kabisa kuwa dunia nzima sasa hivi inaitazama na kuichungulia Afrika inaelekea wapi kiuchumi.

Ushauri wangu, wakati tunaendelea kulumbana mtandaoni kuhusu vijigati vinne vya bandari ya Dar. Tuanzishe mradi mkubwa na wakipekee ambao utakuwa ni win win situation kwa Tanzania nzima.

Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.

Tuwachane kabisa na fikra za kizamani za kuweka daraja baina ya Unguja na bagamoyo.

Faida zake:

1) Unguja yote ndiyo ijengwe bandari kubwa na Airport kubwa ziwe ndiyo (gateway) hub ya mixigo nw wbiria wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Kijiografia, pwani yetu pamoja na Unguja ndiyo kitovu cha Afrika. Tuitumie fursa.

2) Ujenzi wa bandari ya kwenye maji ya Bagamoyo usitishwe na gharama zake ziende kwenye ujenzi wa tunnel.

3) Bagamoyo ijengwe bandari kubwa ya nchi kavu itakayokuwa inapokea treni kutoka Zanzibar na kutawanya (,shunting) mabehewa yote. Hii ni gharama nafuu sana.

4) bandari ya Dar iendelee kuboreshwa (areform) kwa na kuwa hub ya huduma za bandari za pwani yetu yote.

5) Utekelezqji wa Hili gharama zake ni nafuu sana na ni "highly practical"

6) Eala hatutakuwa na malumbano ya kuoneana kiuchumi katika Muungano (win win situation).

Always the simplest of ideas ndizo bora.
Wew na wazo lako wote nimewapenda Wallah
 
Mlivyobinafsisha hadi sasa inatosha jamani
Acheni awamu nyingine nayo ipate muda wa kutafakari.

Kwanini mnataka kubinafsisha kila kitu hii awamu?
Tena mnabinafsisha kwa jamii moja tu ya Kiarabu?

Hebu fanyeni mambo mengine baada ya kurekebisha huo Mkataba wa DPW au kuachana nao.

Huku nje wapo wenye akili na busara wengi tu wapeni nafasi nao.

Kwa awamu hii inatosha kwa hayo mliyo yauza.
Ni Dubai Dubai kila kukicha. Huko Dubai kuna nini cha kipekee?

Mshaulini hivyo Mwenyekiti.
 
Kwa nia njema kabisa, kwa mustakabali wa Taifa lenye tija na malengo ya miaka 200 mbele.

Hii yangu ni simple na straight forward idea ambayo inaweza kuwnzamkuwa "implemented" kesho. Ni kuamuwa tu haina longo longo.

Hakuna shaka kabisa kuwa dunia nzima sasa hivi inaitazama na kuichungulia Afrika inaelekea wapi kiuchumi.

Ushauri wangu, wakati tunaendelea kulumbana mtandaoni kuhusu vijigati vinne vya bandari ya Dar. Tuanzishe mradi mkubwa na wakipekee ambao utakuwa ni win win situation kwa Tanzania nzima.

Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.

Tuwachane kabisa na fikra za kizamani za kuweka daraja baina ya Unguja na bagamoyo.

Faida zake:

1) Unguja yote ndiyo ijengwe bandari kubwa na Airport kubwa ziwe ndiyo (gateway) hub ya mixigo nw wbiria wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Kijiografia, pwani yetu pamoja na Unguja ndiyo kitovu cha Afrika. Tuitumie fursa.

2) Ujenzi wa bandari ya kwenye maji ya Bagamoyo usitishwe na gharama zake ziende kwenye ujenzi wa tunnel.

3) Bagamoyo ijengwe bandari kubwa ya nchi kavu itakayokuwa inapokea treni kutoka Zanzibar na kutawanya (,shunting) mabehewa yote. Hii ni gharama nafuu sana.

4) bandari ya Dar iendelee kuboreshwa (areform) kwa na kuwa hub ya huduma za bandari za pwani yetu yote.

5) Utekelezqji wa Hili gharama zake ni nafuu sana na ni "highly practical"

6) Eala hatutakuwa na malumbano ya kuoneana kiuchumi katika Muungano (win win situation).

Always the simplest of ideas ndizo bora.
Mawazo ya alfu lela ulela haya, umelala kitanda cha nani leo!
 
Kwa nia njema kabisa, kwa mustakabali wa Taifa lenye tija na malengo ya miaka 200 mbele.

Hii yangu ni simple na straight forward idea ambayo inaweza kuwnzamkuwa "implemented" kesho. Ni kuamuwa tu haina longo longo.

Hakuna shaka kabisa kuwa dunia nzima sasa hivi inaitazama na kuichungulia Afrika inaelekea wapi kiuchumi.

Ushauri wangu, wakati tunaendelea kulumbana mtandaoni kuhusu vijigati vinne vya bandari ya Dar. Tuanzishe mradi mkubwa na wakipekee ambao utakuwa ni win win situation kwa Tanzania nzima.

Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.

Tuwachane kabisa na fikra za kizamani za kuweka daraja baina ya Unguja na bagamoyo.

Faida zake:

1) Unguja yote ndiyo ijengwe bandari kubwa na Airport kubwa ziwe ndiyo (gateway) hub ya mixigo nw wbiria wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Kijiografia, pwani yetu pamoja na Unguja ndiyo kitovu cha Afrika. Tuitumie fursa.

2) Ujenzi wa bandari ya kwenye maji ya Bagamoyo usitishwe na gharama zake ziende kwenye ujenzi wa tunnel.

3) Bagamoyo ijengwe bandari kubwa ya nchi kavu itakayokuwa inapokea treni kutoka Zanzibar na kutawanya (,shunting) mabehewa yote. Hii ni gharama nafuu sana.

4) bandari ya Dar iendelee kuboreshwa (areform) kwa na kuwa hub ya huduma za bandari za pwani yetu yote.

5) Utekelezqji wa Hili gharama zake ni nafuu sana na ni "highly practical"

6) Eala hatutakuwa na malumbano ya kuoneana kiuchumi katika Muungano (win win situation).

Always the simplest of ideas ndizo bora.
Mmmmh
 
Kwa nia njema kabisa, kwa mustakabali wa Taifa lenye tija na malengo ya miaka 200 mbele.

Hii yangu ni simple na straight forward idea ambayo inaweza kuwnzamkuwa "implemented" kesho. Ni kuamuwa tu haina longo longo.

Hakuna shaka kabisa kuwa dunia nzima sasa hivi inaitazama na kuichungulia Afrika inaelekea wapi kiuchumi.

Ushauri wangu, wakati tunaendelea kulumbana mtandaoni kuhusu vijigati vinne vya bandari ya Dar. Tuanzishe mradi mkubwa na wakipekee ambao utakuwa ni win win situation kwa Tanzania nzima.

Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.

Tuwachane kabisa na fikra za kizamani za kuweka daraja baina ya Unguja na bagamoyo.

Faida zake:

1) Unguja yote ndiyo ijengwe bandari kubwa na Airport kubwa ziwe ndiyo (gateway) hub ya mixigo nw wbiria wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Kijiografia, pwani yetu pamoja na Unguja ndiyo kitovu cha Afrika. Tuitumie fursa.

2) Ujenzi wa bandari ya kwenye maji ya Bagamoyo usitishwe na gharama zake ziende kwenye ujenzi wa tunnel.

3) Bagamoyo ijengwe bandari kubwa ya nchi kavu itakayokuwa inapokea treni kutoka Zanzibar na kutawanya (,shunting) mabehewa yote. Hii ni gharama nafuu sana.

4) bandari ya Dar iendelee kuboreshwa (areform) kwa na kuwa hub ya huduma za bandari za pwani yetu yote.

5) Utekelezqji wa Hili gharama zake ni nafuu sana na ni "highly practical"

6) Eala hatutakuwa na malumbano ya kuoneana kiuchumi katika Muungano (win win situation).

Always the simplest of ideas ndizo bora.
Ningekuelewa kama ungeshauri tuwe na Tanganyika huru na Zanzibar huru, tudumishe ujirani mwema
 
Kwa nia njema kabisa, kwa mustakabali wa Taifa lenye tija na malengo ya miaka 200 mbele.

Ushauri wangu, wakati tunaendelea kulumbana mtandaoni kuhusu vijigati vinne vya bandari ya Dar. Tuanzishe mradi mkubwa na wakipekee ambao utakuwa ni win win situation kwa Tanzania nzima.

Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.

Always the simplest of ideas ndizo bora.
Naunga mkono hoja, hongera na ubarikiwe sana
P
 
Hapana. Zanzibar wanachukuwa huduma tu za bandari (port charges). Kumbuka, itakuwa ni freeport.

Muungano unachukuwa kodi na tozo zingine zote zitazohusika.
kwa makubaliano gani wakati bandari imeshawekwa nje ya mambo ya muungano. Zaidi ya hapo kila serikali ikiingia inakuja na sera zake. Yaani unataka kodi za Tanganyika zikajenge bandari Unguja, underground way kuja huku wakati kero za muungano zinaongezeka. Kuna vitu bila muungano kamili havitekelezeki. Tumalize kwanza la Dpw
 
Kwa nia njema kabisa, kwa mustakabali wa Taifa lenye tija na malengo ya miaka 200 mbele.

Hii yangu ni simple na straight forward idea ambayo inaweza kuwnzamkuwa "implemented" kesho. Ni kuamuwa tu haina longo longo.

Hakuna shaka kabisa kuwa dunia nzima sasa hivi inaitazama na kuichungulia Afrika inaelekea wapi kiuchumi.

Ushauri wangu, wakati tunaendelea kulumbana mtandaoni kuhusu vijigati vinne vya bandari ya Dar. Tuanzishe mradi mkubwa na wakipekee ambao utakuwa ni win win situation kwa Tanzania nzima.

Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.

Tuwachane kabisa na fikra za kizamani za kuweka daraja baina ya Unguja na bagamoyo.

Faida zake:

1) Unguja yote ndiyo ijengwe bandari kubwa na Airport kubwa ziwe ndiyo (gateway) hub ya mixigo nw wbiria wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Kijiografia, pwani yetu pamoja na Unguja ndiyo kitovu cha Afrika. Tuitumie fursa.

2) Ujenzi wa bandari ya kwenye maji ya Bagamoyo usitishwe na gharama zake ziende kwenye ujenzi wa tunnel.

3) Bagamoyo ijengwe bandari kubwa ya nchi kavu itakayokuwa inapokea treni kutoka Zanzibar na kutawanya (,shunting) mabehewa yote. Hii ni gharama nafuu sana.

4) bandari ya Dar iendelee kuboreshwa (areform) kwa na kuwa hub ya huduma za bandari za pwani yetu yote.

5) Utekelezqji wa Hili gharama zake ni nafuu sana na ni "highly practical"

6) Eala hatutakuwa na malumbano ya kuoneana kiuchumi katika Muungano (win win situation).

Always the simplest of ideas ndizo bora.
Ushauri wa kiboya huu sijapata ona..!!!
 
Naunga mkono hoja, hongera na ubarikiwe sana
P
Binafsi siungi mkono wazo la FaizaFoxy kwa sababu zifuatazo;

1. Sioni kwanini hayo anayoyasema yasifanywe Bagamoyo

2. Sioni kule kuna nini hasa kinachosababisha hayo anayoyasema yafanyike kule.

3. Bandari siyo jambo la muungano. ndiyo kusema vya bara vinaenda Zanzibar wakati havipo kwenye muungano.

4. Kero za muungano zimeainishwa na zipo wazi. Kusipowekwa juhudi mahususi za kutatua kero za muungano, project za aina hii, hata kama ni sehemu ya muungano, hazitafanikiwa ngóo. Hii ni kwa sababu kila mtendaji wa kwenye project husika, atawaza na kutenda kwa ubara na uzanzibari
 
Haijalishi.

Huu ushauri wangu haujalishi iwe ya Muungano au isiwe ya Muungano. Ni win win situation.

Ushauri wangu umelenga uchumi wa siku za usoni zaidi.
Usiseme tu kirahisi kwamba haijalishi..!! Weka kinachokufanya uamini hivyo. Hivi sasa unajuwa kuna kero za muungano na kuna mambo yasiyo ya muungano..!!
 
kwa makubariano gani wakati bandari imeshawekwa nje ya mambo ya muungano. Zaidi ya hapo kila serikali ikiingia inakuja na sera zake. Yaani unataka kodi za Tanganyika zikajenge bandari Unguja, underground way kuja huku wakati kero za muungano zinaongezeka. Kuna vitu bila muungano kamili havitekelezeki. Tumalize kwanza la Dpw
Haijalishi kuna Muungano au hakuna, haijalishinkuna DPW au hakuna.

Huu ushauri wangu haujalishi iwe ya Muungano au isiwe ya Muungano. Ni win win situation.

Ushauri wangu umelenga uchumi wa siku za usoni zaidi.


Dubai na India wana Muungano upi? Wanaplan kujenga tunnel la kilomita 2000.

Ufaransa na Uingereza wamejenga la kilomita 50.
 
Back
Top Bottom