Tafakuri ya FaizaFoxy 9: Ushauri kwa Rais Samia, Dr. Hussein Mwinyi na Watanzania wote kuhusu Uchumi wa Bandari wenye tija

Tafakuri ya FaizaFoxy 9: Ushauri kwa Rais Samia, Dr. Hussein Mwinyi na Watanzania wote kuhusu Uchumi wa Bandari wenye tija

hao wazanzibar kila siku wanataka kuvunja muungano
Hili wazo la kibiashara na uchumi mkubwa, haijalishi kuna Muungano au hakuna.

Sijawasikia Wazanzibari wanaotaka kuvunja muungano nawasikia wazanzibari wanasema wanataka muungano uwe wa serikali tatu, kila nchi ibaki na mamlaka yake kamili.
 
Kwa nia njema kabisa, kwa mustakabali wa Taifa lenye tija na malengo ya miaka 200 mbele.

Hii yangu ni simple na straight forward idea ambayo inaweza kuanza kuwa "implemented" kesho. Ni kuamuwa tu haina longolongo.

Hakuna shaka kabisa kuwa dunia nzima sasa hivi inaitazama na kuichungulia Afrika inaelekea wapi kiuchumi.

Ushauri wangu, wakati tunaendelea kulumbana mtandaoni kuhusu vijigati vinne vya bandari ya Dar. Tuanzishe mradi mkubwa na wakipekee ambao utakuwa ni win win situation kwa Tanzania nzima.

Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.

Tuwachane kabisa na fikra za kizamani za kuweka daraja baina ya Unguja na bagamoyo.

Faida zake:

1) Unguja yote ndiyo ijengwe bandari kubwa na Airport kubwa ziwe ndiyo (gateway) hub ya mizigo na abiria wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Kijiografia, pwani yetu pamoja na Unguja ndiyo kitovu cha Afrika. Tuitumie fursa.

2) Ujenzi wa bandari ya kwenye maji ya Bagamoyo usitishwe na gharama zake ziende kwenye ujenzi wa tunnel.

3) Bagamoyo ijengwe bandari kubwa ya nchi kavu itakayokuwa inapokea treni kutoka Zanzibar na kutawanya (,shunting) mabehewa yote. Hii ni gharama nafuu sana.

4) bandari ya Dar iendelee kuboreshwa (areform) kwa na kuwa hub ya huduma za bandari za pwani yetu yote.

5) Utekelezqji wa Hili gharama zake ni nafuu sana na ni "highly practical"

6) Eala hatutakuwa na malumbano ya kuoneana kiuchumi katika Muungano (win win situation).

Always the simplest of ideas ndizo bora.
Waambie wajenge kwanza Underground drainage tunnels kwenye Majiji yetu,mvua ikinyesha Majiji yananuka kwa mafuriko ya maji machafu ya mvua!
 
Waambie wajenge kwanza Underground drainage tunnels kwenye Majiji yetu,mvua ikinyesha Majiji yananuka kwa mafuriko ya maji machafu ya mvua!
Hilo litafanyika kiwepesi tukiwa na ma engineer wasio wajinga. Wala siyo jambo la kushindwa kutekelezwa na ma engineer wetu wenyewe.

Ni ujinga tu umetujaa.

Ma engineer waliopo wakiielewa falsafa ya Reform na Rebuilding ya mama Samia, aidha wataacha kuishi kimazowea, watafanya waliyosomea na kuajiriwa nayo au wataachia ngazi au watatumbuliwa.

Chalamila kishaanza kuwashikia bango Dar.

Mijitu imekaa haijitumi wala haichangamshi bongo zao, mpaka kila kitu wakumbushwe na Rais?

Ujinga ni mzigo mzito sana.
 
Kwa nia njema kabisa, kwa mustakabali wa Taifa lenye tija na malengo ya miaka 200 mbele.

Hii yangu ni simple na straight forward idea ambayo inaweza kuanza kuwa "implemented" kesho. Ni kuamuwa tu haina longolongo.

Hakuna shaka kabisa kuwa dunia nzima sasa hivi inaitazama na kuichungulia Afrika inaelekea wapi kiuchumi.

Ushauri wangu, wakati tunaendelea kulumbana mtandaoni kuhusu vijigati vinne vya bandari ya Dar. Tuanzishe mradi mkubwa na wakipekee ambao utakuwa ni win win situation kwa Tanzania nzima.

Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.

Tuwachane kabisa na fikra za kizamani za kuweka daraja baina ya Unguja na bagamoyo.

Faida zake:

1) Unguja yote ndiyo ijengwe bandari kubwa na Airport kubwa ziwe ndiyo (gateway) hub ya mizigo na abiria wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Kijiografia, pwani yetu pamoja na Unguja ndiyo kitovu cha Afrika. Tuitumie fursa.

2) Ujenzi wa bandari ya kwenye maji ya Bagamoyo usitishwe na gharama zake ziende kwenye ujenzi wa tunnel.

3) Bagamoyo ijengwe bandari kubwa ya nchi kavu itakayokuwa inapokea treni kutoka Zanzibar na kutawanya (,shunting) mabehewa yote. Hii ni gharama nafuu sana.

4) bandari ya Dar iendelee kuboreshwa (areform) kwa na kuwa hub ya huduma za bandari za pwani yetu yote.

5) Utekelezqji wa Hili gharama zake ni nafuu sana na ni "highly practical"

6) Eala hatutakuwa na malumbano ya kuoneana kiuchumi katika Muungano (win win situation).

Always the simplest of ideas ndizo bora.
Hilo la kujenga bandari kubwa Bagamoyo ndilo la muhimu zaidi.Lakini siyo hayo mengine kwani yana gharama kubwa mno na tija kidogo sana.Zanzibar hawana eneo la kutosha kujenga bandari kubwa na kupakulia mizigo kule haitakuwa busara kibiashara.
 
Hilo la kujenga bandari kubwa Bagamoyo ndilo la muhimu zaidi.Lakini siyo hayo mengine kwani yana gharama kubwa mno na tija kidogo sana.Zanzibar hawana eneo la kutosha kujenga bandari kubwa na kupakulia mizigo kule haitakuwa busara kibiashara.
Zanzibar wana eneo kubwa sana la kujenga bandari.

Ikiwa Singapore kijikisiwa kidogo tu na kina bandari kubwa sana, itakuwa jikisiwa lote la Unguja? Fikiri.
 
Mwarabu anakaa jangwani hata ukimpangisha nyumba yenye miti anakata yote anasema miti inaleta majini,iweje ndio atake kupewa kusimamia Mali asili zetu wakati ajui hata miti inapandwaje.
Je usalama wa wanyama wetu utakuaje, usalama wa madini yetu mbugani utakuaje.
Rejea kauli "wanyama hawali madini kwann wasipewe watu wachimbe madini kwenye hifadhi zetu" hii kauli inaendana na mambo Tete yanayoendelea mara sijui sheria za maliasili kubadilishwa,mara sijui nini
Nilipomwona Kinana kwenye ule msafara wa ugeni kutoka uarabuni kwenda Ngorongoro nikakumbuka ile story ya pembe zilizokamatwa Dar na vijana wa Magufuli, halafu haikujulikana zilikuwa za nani.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Haina faida? Watu wanafikiri kujenga kinchi kidogo ambacho ukubwa wake ni kama wilaya moja tu ya Tanzania?


Tanzania kwa mradi huu, Zanzibar nzima igeuzwe Freeport, train kilometer 25 ni dakika 10 tu, na mizigo mingi haitakuwa hata na haja ya kudondoshwa Bagamoyyo. Bagamoyo ni shunting tu, haina haja ya kuwa na bandari kubwa ya kwenye maji.

Hizi ni fikra chanya za maendeleo.
Mtazamo wako upo kwenye importation tu, mizigo yote kushuka Zanzibar hii italeta double handling cost. Mzigo ushuke Zanzibar ubebwe na treni mpaka Bagamoyo, watu wafate tena Bagamoyo.


Kwenye Exports cargo watu wapeleke mizigo Bagamoyo kisha train iende Zanzibar na mzigo. Huko Zanzibar hawana volume kubwa ya mizigo ya export na import huku bara ndio kuna mizigo ya nchi jirani na hapa ndani.

Zanzibar wawekeze kwenye gati za meli kubwa za kitalii, meli za uvuvi na meli jeshi (mfano South Africa wana gati kwa ajili ya military vessel) sisi meli za kijeshi zikija huwa tunazipa hifadhi kwenye gati za kawaida
 
Yani una hisi ni gharama nafuu kila siku kila saa kila dakika kuungurumisha treni kwenye maji kufata mizigo unguja kuileta bagamoyo kuliko meli kutia nanga moja kwa moja bagamoyo na wakati huo huo bandari ya Dsm ina fanya kazi!?

Fikiri upya tengeneza mkakati wako upya! Labda iwe ya kusafirisha abiria na mizigo yao lakini sio useme tujenge kwa ajili ya bandari ambayo ipo zenji na bagamoyo iwe bandari kavu kazi kupokea makontena toka unguja!

Bandari ya Bagamoyo itajengwa tu nakuakikishia itajengwa ata kama sio sasa Au awamu hii ila itajengwa tu! Na tutaongeza ufanisi na wigo wa utoaji huduma na kuingiza mapato zaidi!

Mawazo ya mwanaccm mwenzio unayakataa
 
Wananchi wanalia hawaoni faida ya muungano

huyu bibi kweli umri umeenda haya mawazo ndo ya great thinker?
 
Kwa nia njema kabisa, kwa mustakabali wa Taifa lenye tija na malengo ya miaka 200 mbele.

Hii yangu ni simple na straight forward idea ambayo inaweza kuanza kuwa "implemented" kesho. Ni kuamuwa tu haina longolongo.

Hakuna shaka kabisa kuwa dunia nzima sasa hivi inaitazama na kuichungulia Afrika inaelekea wapi kiuchumi.

Ushauri wangu, wakati tunaendelea kulumbana mtandaoni kuhusu vijigati vinne vya bandari ya Dar. Tuanzishe mradi mkubwa na wakipekee ambao utakuwa ni win win situation kwa Tanzania nzima.

Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.

Tuwachane kabisa na fikra za kizamani za kuweka daraja baina ya Unguja na bagamoyo.

Faida zake:

1) Unguja yote ndiyo ijengwe bandari kubwa na Airport kubwa ziwe ndiyo (gateway) hub ya mizigo na abiria wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Kijiografia, pwani yetu pamoja na Unguja ndiyo kitovu cha Afrika. Tuitumie fursa.

2) Ujenzi wa bandari ya kwenye maji ya Bagamoyo usitishwe na gharama zake ziende kwenye ujenzi wa tunnel.

3) Bagamoyo ijengwe bandari kubwa ya nchi kavu itakayokuwa inapokea treni kutoka Zanzibar na kutawanya (,shunting) mabehewa yote. Hii ni gharama nafuu sana.

4) bandari ya Dar iendelee kuboreshwa (areform) kwa na kuwa hub ya huduma za bandari za pwani yetu yote.

5) Utekelezqji wa Hili gharama zake ni nafuu sana na ni "highly practical"

6) Eala hatutakuwa na malumbano ya kuoneana kiuchumi katika Muungano (win win situation).

Always the simplest of ideas ndizo bora.
Wazo zuri. Ila ili tuliunge mkono, ni lazima Tuwe na Nchi Moja na Serikali Moja ya Dodoma. Zanzibar iwe wilaya ya Pwani au Mkoa Mmoja, Pemba iwe sehemu ya Tanga, au Mkoa kamili.

Tutalazimika kuchukua maeneo ya uwekezaji(mashamba, makaburi, misikiti, makanisa, makazi nk..) na kuhamisha watu kama Ngorongoro kupisha Uwekezaji. Wengine tutawavusha maji kurudi Bara.
 
Tena ,umeshahama dp-world ,uko kwenye michongo Zanzibar ,MwAnaMkE inatisha
 
Wazo zuri, likiongezewa mambo mbona linakubalika.
Tatizo tulionalo ni DP World, wawekeze sawa, ila wafuate masharti, katiba na maslahi ya nchi.
 
Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.
Tuwachane kabisa na fikra za kizamani za kuweka daraja baina ya Unguja na bagamoyo.

Faida zake:

1) Unguja yote ndiyo ijengwe bandari kubwa na Airport kubwa ziwe ndiyo (gateway) hub ya mizigo na abiria wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Kijiografia, pwani yetu pamoja na Unguja ndiyo kitovu cha Afrika. Tuitumie fursa.
Not economically viable , yaani mizigo ishuke Zanzibar ianze safari ya DRC au Rwanda badala ya kushuka Dar au Bagamoyo na kuendelea na safari. Hatutapata wateja.

Kuna airport kubwa hadi sasa! kinacho determine performance ya airport ni fursa kama za biashara na utalii.

Kilimanjaro airport ina manufaa makubwa kiuchumi kuliko ile ya Zanzibar kwa namna zozote
Kama hub ya EAC, karibu na major attractions za dunia. Kari bu na madini
Karibu na chumi kubwa za EAC na karibu na population kubwa za Arusha, Moshi, Mwanza, Dodoma n.k


2) Ujenzi wa bandari ya kwenye maji ya Bagamoyo usitishwe na gharama zake ziende kwenye ujenzi wa tunnel.
Hili lilikuwa kosa kubwa sana alilofanya Magufuli. Technically hakukuwa na tatizo, Bagamoyo ipo katika nafasi nzuri kijiografia, Wawekezaji walishapatikana na faida zake zilishaelezwa. Magufuli alikataa kwa chuki tu hakuwa na sababu yoyote ya maana.
3) Bagamoyo ijengwe bandari kubwa ya nchi kavu itakayokuwa inapokea treni kutoka Zanzibar na kutawanya (,shunting) mabehewa yote. Hii ni gharama nafuu sana.
Not economically viable
6) Eala hatutakuwa na malumbano ya kuoneana kiuchumi katika Muungano (win win situation).

Always the simplest of ideas ndizo bora.
Hakuna malumbano ya kuoneana kati ya Tanganyika na Zanzibar.
Kuna tatizo la kubebeshana mzigo halafu fursa zinagawanywa.
Kuna tatizo la kutowajibika kwa Zanzibar katika Muungano

Malumbao yatoke wapi wakati Bajeti ya Wizara ya ulinzi ni 2.7 T ile ya SMZ ni 2.8T. !!!!

Magufuli alipokataza uingizaji holela wa bidhaa za viwango duni kutoka Zanzibar hakuna anayekumbuka.
Watu hawakujua kuna tatizo kama hilo kwasababu halikuwagusa kwa namna yoyote

Mgomo wa soko la Kariakoo nchi nzima ilizizima zikiwemo wa jirani.
 
Back
Top Bottom