Hili wazo la kibiashara na uchumi mkubwa, haijalishi kuna Muungano au hakuna.hao wazanzibar kila siku wanataka kuvunja muungano
Waambie wajenge kwanza Underground drainage tunnels kwenye Majiji yetu,mvua ikinyesha Majiji yananuka kwa mafuriko ya maji machafu ya mvua!Kwa nia njema kabisa, kwa mustakabali wa Taifa lenye tija na malengo ya miaka 200 mbele.
Hii yangu ni simple na straight forward idea ambayo inaweza kuanza kuwa "implemented" kesho. Ni kuamuwa tu haina longolongo.
Hakuna shaka kabisa kuwa dunia nzima sasa hivi inaitazama na kuichungulia Afrika inaelekea wapi kiuchumi.
Ushauri wangu, wakati tunaendelea kulumbana mtandaoni kuhusu vijigati vinne vya bandari ya Dar. Tuanzishe mradi mkubwa na wakipekee ambao utakuwa ni win win situation kwa Tanzania nzima.
Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.
Tuwachane kabisa na fikra za kizamani za kuweka daraja baina ya Unguja na bagamoyo.
Faida zake:
1) Unguja yote ndiyo ijengwe bandari kubwa na Airport kubwa ziwe ndiyo (gateway) hub ya mizigo na abiria wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.
Kijiografia, pwani yetu pamoja na Unguja ndiyo kitovu cha Afrika. Tuitumie fursa.
2) Ujenzi wa bandari ya kwenye maji ya Bagamoyo usitishwe na gharama zake ziende kwenye ujenzi wa tunnel.
3) Bagamoyo ijengwe bandari kubwa ya nchi kavu itakayokuwa inapokea treni kutoka Zanzibar na kutawanya (,shunting) mabehewa yote. Hii ni gharama nafuu sana.
4) bandari ya Dar iendelee kuboreshwa (areform) kwa na kuwa hub ya huduma za bandari za pwani yetu yote.
5) Utekelezqji wa Hili gharama zake ni nafuu sana na ni "highly practical"
6) Eala hatutakuwa na malumbano ya kuoneana kiuchumi katika Muungano (win win situation).
Always the simplest of ideas ndizo bora.
Tanganyika siku zote ikizuia kusijengwe bandari ZanzibarKwann isijengwe Zanzibar bandari kubwa iwe Freeport kama ya Dubai
Hilo litafanyika kiwepesi tukiwa na ma engineer wasio wajinga. Wala siyo jambo la kushindwa kutekelezwa na ma engineer wetu wenyewe.Waambie wajenge kwanza Underground drainage tunnels kwenye Majiji yetu,mvua ikinyesha Majiji yananuka kwa mafuriko ya maji machafu ya mvua!
Hilo la kujenga bandari kubwa Bagamoyo ndilo la muhimu zaidi.Lakini siyo hayo mengine kwani yana gharama kubwa mno na tija kidogo sana.Zanzibar hawana eneo la kutosha kujenga bandari kubwa na kupakulia mizigo kule haitakuwa busara kibiashara.Kwa nia njema kabisa, kwa mustakabali wa Taifa lenye tija na malengo ya miaka 200 mbele.
Hii yangu ni simple na straight forward idea ambayo inaweza kuanza kuwa "implemented" kesho. Ni kuamuwa tu haina longolongo.
Hakuna shaka kabisa kuwa dunia nzima sasa hivi inaitazama na kuichungulia Afrika inaelekea wapi kiuchumi.
Ushauri wangu, wakati tunaendelea kulumbana mtandaoni kuhusu vijigati vinne vya bandari ya Dar. Tuanzishe mradi mkubwa na wakipekee ambao utakuwa ni win win situation kwa Tanzania nzima.
Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.
Tuwachane kabisa na fikra za kizamani za kuweka daraja baina ya Unguja na bagamoyo.
Faida zake:
1) Unguja yote ndiyo ijengwe bandari kubwa na Airport kubwa ziwe ndiyo (gateway) hub ya mizigo na abiria wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.
Kijiografia, pwani yetu pamoja na Unguja ndiyo kitovu cha Afrika. Tuitumie fursa.
2) Ujenzi wa bandari ya kwenye maji ya Bagamoyo usitishwe na gharama zake ziende kwenye ujenzi wa tunnel.
3) Bagamoyo ijengwe bandari kubwa ya nchi kavu itakayokuwa inapokea treni kutoka Zanzibar na kutawanya (,shunting) mabehewa yote. Hii ni gharama nafuu sana.
4) bandari ya Dar iendelee kuboreshwa (areform) kwa na kuwa hub ya huduma za bandari za pwani yetu yote.
5) Utekelezqji wa Hili gharama zake ni nafuu sana na ni "highly practical"
6) Eala hatutakuwa na malumbano ya kuoneana kiuchumi katika Muungano (win win situation).
Always the simplest of ideas ndizo bora.
Zanzibar wana eneo kubwa sana la kujenga bandari.Hilo la kujenga bandari kubwa Bagamoyo ndilo la muhimu zaidi.Lakini siyo hayo mengine kwani yana gharama kubwa mno na tija kidogo sana.Zanzibar hawana eneo la kutosha kujenga bandari kubwa na kupakulia mizigo kule haitakuwa busara kibiashara.
Nilipomwona Kinana kwenye ule msafara wa ugeni kutoka uarabuni kwenda Ngorongoro nikakumbuka ile story ya pembe zilizokamatwa Dar na vijana wa Magufuli, halafu haikujulikana zilikuwa za nani.Mwarabu anakaa jangwani hata ukimpangisha nyumba yenye miti anakata yote anasema miti inaleta majini,iweje ndio atake kupewa kusimamia Mali asili zetu wakati ajui hata miti inapandwaje.
Je usalama wa wanyama wetu utakuaje, usalama wa madini yetu mbugani utakuaje.
Rejea kauli "wanyama hawali madini kwann wasipewe watu wachimbe madini kwenye hifadhi zetu" hii kauli inaendana na mambo Tete yanayoendelea mara sijui sheria za maliasili kubadilishwa,mara sijui nini
Mtazamo wako upo kwenye importation tu, mizigo yote kushuka Zanzibar hii italeta double handling cost. Mzigo ushuke Zanzibar ubebwe na treni mpaka Bagamoyo, watu wafate tena Bagamoyo.Haina faida? Watu wanafikiri kujenga kinchi kidogo ambacho ukubwa wake ni kama wilaya moja tu ya Tanzania?
Tanzania kwa mradi huu, Zanzibar nzima igeuzwe Freeport, train kilometer 25 ni dakika 10 tu, na mizigo mingi haitakuwa hata na haja ya kudondoshwa Bagamoyyo. Bagamoyo ni shunting tu, haina haja ya kuwa na bandari kubwa ya kwenye maji.
Hizi ni fikra chanya za maendeleo.
Yani una hisi ni gharama nafuu kila siku kila saa kila dakika kuungurumisha treni kwenye maji kufata mizigo unguja kuileta bagamoyo kuliko meli kutia nanga moja kwa moja bagamoyo na wakati huo huo bandari ya Dsm ina fanya kazi!?
Fikiri upya tengeneza mkakati wako upya! Labda iwe ya kusafirisha abiria na mizigo yao lakini sio useme tujenge kwa ajili ya bandari ambayo ipo zenji na bagamoyo iwe bandari kavu kazi kupokea makontena toka unguja!
Bandari ya Bagamoyo itajengwa tu nakuakikishia itajengwa ata kama sio sasa Au awamu hii ila itajengwa tu! Na tutaongeza ufanisi na wigo wa utoaji huduma na kuingiza mapato zaidi!
Thus wanataka maliasili na bandari jiulizeNilipomwona Kinana kwenye ule msafara wa ugeni kutoka uarabuni kwenda Ngorongoro nikakumbuka ile story ya pembe zilizokamatwa Dar na vijana wa Magufuli, halafu haikujulikana zilikuwa za nani.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Wazo zuri. Ila ili tuliunge mkono, ni lazima Tuwe na Nchi Moja na Serikali Moja ya Dodoma. Zanzibar iwe wilaya ya Pwani au Mkoa Mmoja, Pemba iwe sehemu ya Tanga, au Mkoa kamili.Kwa nia njema kabisa, kwa mustakabali wa Taifa lenye tija na malengo ya miaka 200 mbele.
Hii yangu ni simple na straight forward idea ambayo inaweza kuanza kuwa "implemented" kesho. Ni kuamuwa tu haina longolongo.
Hakuna shaka kabisa kuwa dunia nzima sasa hivi inaitazama na kuichungulia Afrika inaelekea wapi kiuchumi.
Ushauri wangu, wakati tunaendelea kulumbana mtandaoni kuhusu vijigati vinne vya bandari ya Dar. Tuanzishe mradi mkubwa na wakipekee ambao utakuwa ni win win situation kwa Tanzania nzima.
Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.
Tuwachane kabisa na fikra za kizamani za kuweka daraja baina ya Unguja na bagamoyo.
Faida zake:
1) Unguja yote ndiyo ijengwe bandari kubwa na Airport kubwa ziwe ndiyo (gateway) hub ya mizigo na abiria wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.
Kijiografia, pwani yetu pamoja na Unguja ndiyo kitovu cha Afrika. Tuitumie fursa.
2) Ujenzi wa bandari ya kwenye maji ya Bagamoyo usitishwe na gharama zake ziende kwenye ujenzi wa tunnel.
3) Bagamoyo ijengwe bandari kubwa ya nchi kavu itakayokuwa inapokea treni kutoka Zanzibar na kutawanya (,shunting) mabehewa yote. Hii ni gharama nafuu sana.
4) bandari ya Dar iendelee kuboreshwa (areform) kwa na kuwa hub ya huduma za bandari za pwani yetu yote.
5) Utekelezqji wa Hili gharama zake ni nafuu sana na ni "highly practical"
6) Eala hatutakuwa na malumbano ya kuoneana kiuchumi katika Muungano (win win situation).
Always the simplest of ideas ndizo bora.
NdiyoKwani bandari ni jambo la muungano?
Hii ni kumkejeli mleta uzi kwa heshima yake..Naunga mkono hoja, hongera na ubarikiwe sana
P
Not economically viable , yaani mizigo ishuke Zanzibar ianze safari ya DRC au Rwanda badala ya kushuka Dar au Bagamoyo na kuendelea na safari. Hatutapata wateja.Tuanze ujenzi wa pango la treni ya chini ya bahari (submarine tunnel railway) baina ya Unguja na Bagamoyo.
Tuwachane kabisa na fikra za kizamani za kuweka daraja baina ya Unguja na bagamoyo.
Faida zake:
1) Unguja yote ndiyo ijengwe bandari kubwa na Airport kubwa ziwe ndiyo (gateway) hub ya mizigo na abiria wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Kijiografia, pwani yetu pamoja na Unguja ndiyo kitovu cha Afrika. Tuitumie fursa.
Hili lilikuwa kosa kubwa sana alilofanya Magufuli. Technically hakukuwa na tatizo, Bagamoyo ipo katika nafasi nzuri kijiografia, Wawekezaji walishapatikana na faida zake zilishaelezwa. Magufuli alikataa kwa chuki tu hakuwa na sababu yoyote ya maana.2) Ujenzi wa bandari ya kwenye maji ya Bagamoyo usitishwe na gharama zake ziende kwenye ujenzi wa tunnel.
Not economically viable3) Bagamoyo ijengwe bandari kubwa ya nchi kavu itakayokuwa inapokea treni kutoka Zanzibar na kutawanya (,shunting) mabehewa yote. Hii ni gharama nafuu sana.
Hakuna malumbano ya kuoneana kati ya Tanganyika na Zanzibar.6) Eala hatutakuwa na malumbano ya kuoneana kiuchumi katika Muungano (win win situation).
Always the simplest of ideas ndizo bora.