Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo hapo mawenzini, upande wa kituo cha daladala. Ukiteremka ni mwisho kabisa wa hio barabara kuna kiji ghorofa.Duuh sehemu gani
Mie yuko mamdogo
Hahah nakubali mkuu.Wao wanahisi gari ni gari tu mradi litembee, wao wapande tu ila mambo kwa ground ni mziki.🤣🤣🤣 Hakuna mtu ambaye hapendi vizuri
Hakika😂 hata maaskari wanaelewaga ndio maana ni ngumu kukuta Majesta imepigwa mkono 🤣
Aisee basi ni jirani tu maana hata kwa mamdogo wangu ni mwisho kabisa wa hiyo hiyo Barabara ila yenyewe siyo ghorofa ni nyumba tu ya kawaida iko ndani ya fenceHapo hapo mawenzini, upande wa kituo cha daladala. Ukiteremka ni mwisho kabisa wa hio barabara kuna kiji ghorofa.
Ooh basi hapo sawaAisee basi ni jirani tu maana hata kwa mamdogo wangu ni mwisho kabisa wa hiyo hiyo Barabara ila yenyewe siyo ghorofa ni nyumba tu ya kawaida iko ndani ya fence
Vitz,Passo,IST unfollow you,😃😃😃😃😃.Kuna raha ya kuwa na gari ambayo ina ma nguvu ya kutosha.. hata barabarani unakuwa unajiamini yani.. sure sipendi kukaa na gari mda mrefu huwa nachoka.. ila kwa majesta nitakaa nayoo.. na ni kwasababu V8 siku nabadili hapo naenda V8 ya juu kabisa.. SUV ya maana hasa RR.. furaha yangu kuwa na gari yenye CC za kibabe nguvu ipo yani huwa na enjoy sana
Haina noma mjubaOoh basi hapo sawa
Hahah daah hapo ndipo mmiliki atakuja kujua hajui.Af Benz huwa zinabadilishwa technology kila toleo ndio ubaya, yani kila mwaka wa upgrade technology sio kama Toyota inabadilishwa taa na bumper tu.😂
Unakuta vipuri vya jamii ya Corrolla vinaingiliana kwenye gari zote. Raum, Runx, Spacio, Vits yani tofauti ni size tu kwanini spear zisiwe rahisi? Ila kitu cha benz S class huwezi kukiweka kwenye C class au E class!
Safi. Huwa na Rav 4 zetu tunashindana sana tu na maVx.. Yanatuzidi kwenye tambarare tunayakuta kwenye kona na 50.Baada yakujifunza kwa muda kidogo, nimegundua the only thing that matters is who is behind the wheel
Ukiacha magari yenye 260/240, haya mengine yenye 180 yatatofautiana kuchanganya tuu.. kama dereva mzuri hata ist inaingia kwenye ligi na magari mengi tu ya 180.
Ila kuhusu Passo sifahamu jamani..
Hawa wa 260/240 nao hakuna barabara Tanzania wanazoweza kuexercise full potential ya gari kwa angalau dk 5 mfululizo. Huweziendesha kwa 240 kwa dk 5-10 bila kukuta tuta, kivuko cha wanyama, humps, askari wa barabarani, hifadhi wala kona yakukutaka upunguze mpaka hata 80.
Wanaishia kuendesha 160, wananusa extreme (240/260) kwa sekunde 9-23 wanarudi 100-80, ambapo kwa wastani wa safari nzima ni speed 140-160 ambayo ist inatembea vizuri tuu..
The only thing that matters is who is behind the wheel
Hata hivyo zile gari zina sura ngumu aisee.Mercedes Benz haziwezi kujaa watu hata zile A na B class wanaziogopa.
Rav 4 hii hii mkuu?Safi. Huwa na Rav 4 zetu tunashindana sana tu na maVx.. Yanatuzidi kwenye tambarare tunayakuta kwenye kona na 50.
Hii hii unaiita Kili time sijui.. toleo la 2004!! Zama hizi hizi za matochi unatoka Moshi saa 12 asb unaingia Mbeya saa 1 jioniRav 4 hii hii mkuu?
Safi. Huwa na Rav 4 zetu tunashindana sana tu na maVx.. Yanatuzidi kwenye tambarare tunayakuta kwenye kona na 50.
Kwa hio kinachoasaidia rav 4 kwenda sambamba na V8 ni sababu ya tochi sio mkuu?Hii hii unaiita Kili time sijui.. toleo la 2004!! Zama hizi hizi za matochi unatoka Moshi saa 12 asb unaingia Mbeya saa 1 jioni
Ha ha ha acha nicheke tu
1. DerevaKwa hio kinachoasaidia rav 4 kwenda sambamba na V8 ni sababu ya tochi sio mkuu?
Hapo kwny 'means kila gari inauwezo wa kwenda sambamba as long as driver yupo vzr.'1. Dereva
2. Confidence na gari yako (tyre, alignment and balance (stability)
3. Unaifahamu barabara.. unajua wapi kuna kona, wapi kuna tochi-50 zingine unazikata
4. Sababu ulizozisema.. Road condition haziruhusu speed zaidi ya 160 kwa gari karibu zote.. means kila gari inauwezo wa kwenda sambamba as long as driver yupo vzr.
Kwa barabara zetu, kwa uzoefu wangu wa route ndefu naamini hivyo.. Japo ni sahihi, hawawezi kwenda sambamba moja kwa moja but wanazidiana kidogo.Hapo kwny 'means kila gari inauwezo wa kwenda sambamba as long as driver yupo vzr.'
Sio kweli mkuu.
Sawasawa mkuu,pamoja.Kwa barabara zetu, kwa uzoefu wangu wa route ndefu naamini hivyo.. Japo ni sahihi, hawawezi kwenda sambamba moja kwa moja but wanazidiana kidogo.