Sema kitu hapa...... mana kaanza wa kwanza hapa amefata wa pili ndani ya mwaka huu tumbo moja(me)hao....Save this post... Naomba nisitoe tafsiri sasa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]
T-shirt nyekundu aliyovaa ngwea inaonesha atakua wa kwanza kupatwa na jambo la hatari, hizo chain walizovaa ngwea na banana zoro.... Zina maana kubwa sanamuwe mnafafanua,sio mnajiwekea tu
Kosa moja hajavaa suti huyo jamaa, angevaa suti tu angeweza kua Rais na yeyeKwa maana hio tutegemee jamaa wa kulia atakuja kuwa raisiView attachment 1474114
Walisimama ndio maarufu zaidi kwenye tasnia yao, aliye mbele ndio yupo mbele kwa kila kitu zaidiAy, salama, na fidq hao wengne siwajuiView attachment 1475722
Mmh...Sema kitu hapa...... mana kaanza wa kwanza hapa amefata wa pili ndani ya mwaka huu tumbo moja(me)hao....View attachment 1501032
Picha zinaongea, picha zinaishi picha zinatoa ujumbe maalum usioonekana kwa macho ya kawaida mpaka wakati ufike
Ukipata muda chukua album yako ya picha pitia picha za zamani ulizopiga na marafiki ndugu jamaa na hata watu usiowafahamu
- angalia mpangilio wa jinsi watu walivyosimama au kukaa nk
- angalia mpangilio wa rangi au mavazi
- angalia body language
Kwa mshangao wa ajabu utakuta kwenye picha fulani watu fulani waliosimama pamoja siku huyo au kuchuchumaa au kuvaa nguo za aina moja nk
- wote wamekufa
- wote ni matajiri
- wote wameoa/wameolewa nyumba moja
- wote tabia zao zinafanya nk
Kwa mshangao mkubwa angalia body language utajikuta unaona kabisa hao
- walikuja kuoana
- walikuja kuwa maadui wakubwa
- walikuja kuwa marafiki wa damu nk
Tunapojipanga tupige piga na kubadili badili mikao na nafasi si kwa akili zetu bali kuna nguvu nje ya ufahamu wetu nguvu ya kiroho ndio inafanya kazi
Ni nguvu hiyo inayoamua:
Usimame wapi na kwa nini
Ukae wapi na kwa nini
Ufuatane na nani na kwa nini
Umtazame nani na kwa nini
Ni nguvu ya uvutano kwenye ulimwengu wa roho inayotengeneza matukio yote haya na huja kudhihirika baada ya kipindi fulani kupita...haya yanatokea si kwa utashi wetu wala uamuzi wetu wala nguvu zetu
Sijapata picha nyingine lakini naomba kuweka hii
- angalia mfanano wa rangi za mavazi
- body language
- nafasi kwenye kusimama
- umbali na ukaribu
Unafikiri walipanga kwa makusudi huu mkao?
Save this... For future reference.. This time next year View attachment 1504479
Ndio hamuoni [emoji23] mi siioni C C MKweli?
Noted.Save this... For future reference.. This time next year View attachment 1504479
Hajavaa suti peke yake, mission impossible tayari.Kwa maana hio tutegemee jamaa wa kulia atakuja kuwa raisiView attachment 1474114
Upo sahihiHakuvaa suti[emoji1787]
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji109][emoji123]Mshana Jr makala zako zinatafakarisha sana. Hata kama unayosema hayana ukweli kwa 100%, lakini unaangalia jambo kwa macho matatu.
Yaani huwa wakati mwingine huzungumza yasionekana wala kuyahisi kwa urahisi