Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho


Sasa Mbatia ana tofauti na hao wengine?
 
Mshana Jr makala zako zinatafakarisha sana. Hata kama unayosema hayana ukweli kwa 100%, lakini unaangalia jambo kwa macho matatu.

Yaani huwa wakati mwingine huzungumza yasionekana wala kuyahisi kwa urahisi
 
Kuna maana kubwa kwa HUSSEIN MWINYI kutovaa shati la kijani kwenye sherehe za ikulu ya Chamwino leo.
Ilhali wenzake wote wamevaa.
MUDA UTASEMA.
 
Mshana Jr makala zako zinatafakarisha sana. Hata kama unayosema hayana ukweli kwa 100%, lakini unaangalia jambo kwa macho matatu.

Yaani huwa wakati mwingine huzungumza yasionekana wala kuyahisi kwa urahisi
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji109][emoji123]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…