Hapana si lazima iwe hivyo ila kachukue album uangalie picha zote za zamani zile za watu wengi utagundua matukio mengi ya ajabu na ya kushangaza yaliyokuja kutokea baadae
Usiwe na wasiwasi kama hukuelewa au kama fikra zinakupeleka kwenye ushirikina.... vitu vimgine vinahitaji akili kubwa kuelewa..@Mshanajr ni mzushi tu, na mwanga mwanga fulani hivii ! .......hamna lolote katika hiyo picha !
Kaka umeongea kitu kimenigusa sana...kuhusu mambo ya Picha na matukioa yajayo[emoji122] [emoji122] umenifikirisha sana..Picha zinaongea, picha zinaishi picha zinatoa ujumbe maalum usioonekana kwa macho ya kawaida mpaka wakati ufike
Ukipata muda chukua album yako ya picha pitia picha za zamani ulizopiga na marafiki ndugu jamaa na hata watu usiowafahamu
-angalia mpangilio wa jinsi watu walivyosimama au kukaa nk
-angalia mpangilio wa rangi au mavazi
-angalia body language
Kwa mshangao wa ajabu utakuta kwenye picha fulani watu fulani waliosimama pamoja siku huyo au kuchuchumaa au kuvaa nguo za aina moja nk
-wote wamekufa
-wote ni matajiri
-wote wameoa/wameolewa nyumba moja
-wote tabia zao zinafanya nk
Kwa mshangao mkubwa angalia body language utajikuta unaona kabisa hao
-walikuja kuoana
-walikuja kuwa maadui wakubwa
-walikuja kuwa marafiki wa damu nk
Tunapojipanga tupige piga na kubadili badili mikao na nafasi si kwa akili zetu bali kuna nguvu nje ya ufahamu wetu nguvu ya kiroho ndio inafanya kazi
Ni nguvu hiyo inayoamua
Usimame wapi na kwa nini
Ukae wapi na kwa nini
Ufuatane na nani na kwa nini
Umtazame nani na kwa nini
Ni nguvu ya uvutano kwenye ulimwengu wa roho inayotengeneza matukio yote haya na huja kudhihirika baada ya kipindi fulani kupita...haya yanatokea si kwa utashi wetu wala uamuzi wetu wala nguvu zetu
Sijapata picha nyingine lakini naomba kuweka hii
-angalia mfanano wa rangi za mavazi
-body language
-nafasi kwenye kusimama
-umbali na ukaribu
Unafikiri walipanga kwa makusudi huu mkao?
View attachment 390085
Ukimsoma vzr Mshana Jr kwenye maelezo yake ya mwanzo utaelewa hiyo picha inaonyesha SLAA na LIPUMBA wanamuaga MBATIA ingawa kimwili walikuwa wote kwenye UKAWA lkn nguvu ya ziada inaonyesha hawako pamoja ndio maana unaambiwa hata ugonjwa kwa kawaida unaanzia mbali kwenye Ndoto usipuuzie ndoto zinamaana kubwa sana so alichoandika huyu jamaa nikiangalia hiyo picha nimeelewa vzrmh,sijaelewa bado katika hiyo picha mshana jr inamaana lipu na dr inawezekana kuwa kuna kitu nyuma ya pazia kimewalazimu kufanya waliyoyafanya?
Wakati Mshana Jr alipokuwa anaandika Mambo yanayohusu Uwepo wa uchawi na Ushirikina Bongo lala na wakurupukaji wote wakawa wanatokwa povu Mtu kitu hakielewi badala yakutulia aelewe analeta ubishi wakijinga Sasa kule aliibuka jamaa 1anaitwa Mtu mzito yule jamaa hakubakisha kitu ..Viwavi wote waliukimbia ule Uzi...nikawaida bongolala kujifanya wajuaji kumbe upuuzi tuUsiwe na wasiwasi kama hukuelewa au kama fikra zinakupeleka kwenye ushirikina.... vitu vimgine vinahitaji akili kubwa kuelewa..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] dolevaby umemsahau na jichawiWakati Mshana Jr alipokuwa anaandika Mambo yanayohusu Uwepo wa uchawi na Ushirikina Bongo lala na wakurupukaji wote wakawa wanatokwa povu Mtu kitu hakielewi badala yakutulia aelewe analeta ubishi wakijinga Sasa kule aliibuka jamaa 1anaitwa Mtu mzito yule jamaa hakubakisha kitu ..Viwavi wote waliukimbia ule Uzi...nikawaida bongolala kujifanya wajuaji kumbe upuuzi tu
Mi ni post moja eti 'maiti uwa wanagoma kuchukuliwa na watu flan ndo maana uwa wakati mwingine zinachanganywa'Mshana jr. Kali kuliko zote nimewahi ziona ni mtu kuibiwa kivuli chake, yani hata asimame juani hakionekani.
Uko juu kiongozi, kuhusu picha ngoja nikakague za kwangu za zaidi ya miaka 20 iliyopita, ila nishahisi kuna kitu ntagundua[emoji2] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Uko juu kiongozi, kuhusu picha ngoja nikakague za kwangu za zaidi ya miaka 20 iliyopita, ila nishahisi kuna kitu ntagundua
Mshana uko vizuri sana kwenye psychology na Buddhism philosophy. Vipi kuhusu meditation ya mshumaa inayofanywa usiku saa sita au saa tisa.
Hapana hii sijawahi fanya mimi nimefanya sana
Empty meditation
Wall meditation
Breathing meditation