Katika picha hizo ni Kitine tu ndiyo alijitofautisha na wenzake.KUMBUKUMBU!
Pichani ni Dr. Hassy Kitine, PhD aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TISS (1978 - 1980) & Hayati Dr. Agustine Mahiga, PhD, Mkurugenzi TISS ( 1980 - 1983) wakiwa na fomu za kugombea Ubunge & Urais ndani ya CCM.
Hayati Jaji Augustino Ramadhani, CJ (2007 - 2010) akiwa na fomu ya kugombea Urais 2015 & Hayati mzee Jecha Salim Jecha aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume 'HURU' ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) akiwa na fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar 2020.
View attachment 2732199View attachment 2732200View attachment 2732201View attachment 2732202
Sio kweli Tupac kafariki akiwa na miaka 25Tupac died in 1996
Mohbad was born in 1996
Tupac was born in June
Mohbad was born in June.
Tupac died in September
Mohbad died in September
Lastly Tupac died at the age of 27 while mohbad also died at the age of 27.
What a wonderful coincidence!!View attachment 2766198
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok mimi nimeitoa fb kama unavyoona.. Mkweli halisi simjuiSio kweli Tupac kafariki akiwa na miaka 25
Kazaliwa June 16, 1971
Kafariki September 13, 1996
Hiyo picha ya juu 2025 December itapigwa ikulu.
Kafanyaje huyu, uhusiano na hii threads ni upi? Tupe maelezo?
Hiyo picha ina tafsiri yakeKafanyaje huyu, uhusiano na hii threads ni upi? Tupe maelezo?
Muda utasemaOya hii picha huyo aliyevaa shati la njano kafariki jana. Ilipigwa 2018. Vipi kuhusu huyo aliyevaa koti (sweta) ni mamlaka au ni nin..View attachment 2819127
Sent using Jamii Forums mobile app