Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

KUMBUKUMBU!

Pichani ni Dr. Hassy Kitine, PhD aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TISS (1978 - 1980) & Hayati Dr. Agustine Mahiga, PhD, Mkurugenzi TISS ( 1980 - 1983) wakiwa na fomu za kugombea Ubunge & Urais ndani ya CCM.

Hayati Jaji Augustino Ramadhani, CJ (2007 - 2010) akiwa na fomu ya kugombea Urais 2015 & Hayati mzee Jecha Salim Jecha aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume 'HURU' ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) akiwa na fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar 2020.
View attachment 2732199View attachment 2732200View attachment 2732201View attachment 2732202
Katika picha hizo ni Kitine tu ndiyo alijitofautisha na wenzake.
 
Kushoto Mjusi Shemboza katikati Da Tunu(Marehemu)na kulia ni Agrey Ndumbalo(Marehemu) ndani ya Vijana Social "Vijana Day" enzi zileeeee
FB_IMG_1695264762048.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemfatilia huyo golikipa hapo juu
° kazaliwa mwaka 1994
° ana urefu wa m 1.94
° anavaa jersey namba 94
° alifunga goli la kusawazisha dk ya 94

Ukifikiria kwa utulivu, unaweza kudhani mambo yanayotokea hapa duniani yapo kwa mfumo wa namba na yameshapangika, sisi tunayakamilisha tu.

Unaweza kubashiri yajayo kwa kuangalia mpangilio ambao ni namba tu.
 
Tupac died in 1996
Mohbad was born in 1996


Tupac was born in June
Mohbad was born in June.


Tupac died in September
Mohbad died in September

Lastly Tupac died at the age of 27 while mohbad also died at the age of 27.
What a wonderful coincidence!!
View attachment 2766198

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli Tupac kafariki akiwa na miaka 25

Kazaliwa June 16, 1971
Kafariki September 13, 1996
 
Hii picha imeongea.
Ni Kama John anamwambia Mama huyu kijana hakikisha anabaki kwenye system endapo sitokuwepo.

Angalia body language la John na Mama
 

Attachments

  • Screenshot_20231114-074450~2.jpg
    Screenshot_20231114-074450~2.jpg
    142.1 KB · Views: 46
Habarini wadau humu
Mnaendeleaje na hali zenu,
Uzi huu ni wa kweli na kupitia picha kuna sehemu nilifanya utabiri na umekuwa kweli
Naitwa mtabiri ukuuuu

IKO HIVI
kiongozi wangu aliweka status akiwa amepiga picha na wenye nafasi kama yake ila wanaoitumikia taasisi nje ya nchi ,YEYE tu ndio alikuwa mtanzania kwenye hiyo picha
Mimi nikamwambia haitachukua mda mrefu anahamishiwa nje akakataa,
Ila leo imetimia amepata barua ya KUHAMISHIWA nje ya nchi
Nakiri picha zinaongeaaaa
 
Back
Top Bottom